Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 50,241
- 123,579
Hapa unazungumzia kwa mujibu wa kuran na allah sio?Kuna kiumbe kisicho hai ?
Nipe vigezo tu vya kitu kuwa kiumbe yaani vile vigezo vikuu.
Hapa unazungumzia kwa mujibu wa kuran na allah sio?Kuna kiumbe kisicho hai ?
Nipe vigezo tu vya kitu kuwa kiumbe yaani vile vigezo vikuu.
Hapa naongelea UKWELI mzee.Hapa unazungumzia kwa mujibu wa kuran na allah sio?
Haingii akilini mtoto wa darasa la pili kuadhibiwa kwa kosa la kufeli mathematics form six. Vile vile Mungu wetu hampi mtu adhabu ikiwa jambo fulani hakulijua ama hakuupata ujumbe. Lakini tambua kuwa, mfano ulioutoa hauendani na jibu nlilokupa.
Ona nlichokwambia;
Mfano, naweza kueka mazingira kuona kama je mtoto wangu wa kike atafanya zinaa au la
baada ya tayari nishamwambia kuwa ukifanya zinaa nitakuchapa .Sasa kupitia mfano wako, mtoto huyo ulimsomesha izo hesabu za form six? hata umuadhibu?
Allah anasema katika surat Israa aya ya 15; Anaye ongoka basi anaongoka kwa ajili ya nafsi yake. Na anaye potea basi anapotea kwa khasara yake mwenyewe. Wala habebi mbebaji mzigo wa mwengine. (184, 49, 47)]Wala Sisi hatuadhibu mpaka tumpeleke Mtume.
Na ndio maana nauliza ili nijue ukweli uli, Ukweli kwa muktadha wa dini ya kiisilam pamoja na kuran au?Hapa naongelea UKWELI mzee.
Nakukumbusha swali langu.
Ishu ni kupata ujumbe, huwezi kumhukumu mtu akiwa hajapata ujumbe, na kama umempa ujumbe, je umemfudisha? Uislam umekufundisha usifanye Zinaa, jiepusha na mabaya ila wewe unatenda maovu basi adhabu inakuhusu tu. Na mtoto vile vile kama umemfundisha na akafeli, basi una haki ya kumuadhibu, lakini kwa sababu umekariri kuwa adhabu lazima kichapo ndio maana unahisi kuwa mtoto huyo mdogo atakuwa anaonewa, unaweza ukamuadhibu hamna kucheza tu.Ishu sio kuupata ujumbe, hapo huna tofauti na huyo mwalimu aliyemuadhibu mtoto maana hata yeye atajitetea kua alitoa ujumbe siku tatu kabla ya mtihani ili kumpa mda huyo mtoto aweze kusoma vizuri past papers aweze kujibu vyema mtihani wake je utamuelewa??
Mfano haukuwa mfu, ni kwamba hupendi tu unapooneshwa uhalisia. Inawezekana mzee alikuwa na uhakika kuwa mwanawe atafanya zinaa ila amemetengezea mazingira kusudi amkamate akiwa na ushahidi ambao hatoweza kuupinga.mpaka hapa mfano wako ni mfu, kwasababu hujajua kwa hakika kile kitachokwenda kutokea na ndio maana umesema atafanya zinaa au la. Hiyo inamaanisha huna uhakika unafanya betting au pata potea hivyo ikitokea jambo limeenda tofauti na ulivyotaraji kumuadhibu kwako mtoto utakua uko sahihi kwasababu ulichokitegemea kua kitakua kimeenda tofauti.
Lakini mungu yeye alijua kwa hakika na ujuzi wake ni 100% perfect kabla hata hujazaliwa alikwisha jua kua utakosea
Kumuadhibu mtu kwa sababu ulimfundisha hapo mwanzo hakuondoshi ujuzi wa Allah kama vile kujua kwake khatma yako hakuondoshi uhuru wako wa kufanya jema au ovu. Kwanini mimi nielewe mafundisho yake ila wewe usielewe? Kutowafanya watu wote wamuelewa kunaondosha uhuru, na hivo ungekuja kulia kuwa huna uhuru umelazimishwa umuelewa.kumsomesha mtu ni kitu kingine na kumsomesha mtu akajua ulichomfundisha ni ishu nyingine
Mungu kama anaadhibu watu kwasababu alishawafundisha basi sio mjuzi wa yote kwasababu hakujua kua watu wake hawakuelewa mafundisho yake, na kama ni mjuzi wa yote kwamba aliweza kujua kua watu wake hawajamuelewa kwenye mafundisho yake basi mungu sio muweza wa yote kwasababu alishindwa kufanya watu wote waelewe
Mwalimu akikwambia kua alimfundisha huyo mtoto utarizika na adhabu aliyopewa mwanao???
Hakuna kiroja hapo, ninakuonesha nini Allah ametufundisha kuwa yeye haadhibu mtu ikiwa ujumbe haujamfikia. Sasa labda wewe ulete kiroja tena. mana kile cha uhuru kimemalizwaHaya sasa mahubiri, jenga hoja nje ya viroja
Sasa rejea kwanza pale tulipa anzia kisha ujibu swali nililo kuuliza tupate kuendeleeNa ndio maana nauliza ili nijue ukweli uli, Ukweli kwa muktadha wa dini ya kiisilam pamoja na kuran au?
Hapa tulipo bado tuko pale pale ukiona kama tumepiga hatua jitafakari umakini wakoSasa rejea kwanza pale tulipa anzia kisha ujibu swali nililo kuuliza tupate kuendelee
na huwezi kumhukumu mtu aliyepata ujumbe ambao ulijua kabisa kua hajauelewa na uwezo wa kumfanya aelewe unao. Mungu mjuzi wa yote na mwenye uwezo wote hatakiwi kutoa mafundisho, mungu akikupa mafundisho anapaswa kujua mfumo mzima wa ubongo wako bila hata kukupa mtihani.Ishu ni kupata ujumbe, huwezi kumhukumu mtu akiwa hajapata ujumbe, na kama umempa ujumbe, je umemfudisha?
uislam unauwezo wa kuniepusha zinaa bila kunifundisha namna ya kuepuka??? Kama hauna uwezo basi hata kukosea kwangu sitaulaumu kwasababu una imperfection, ila kama unao uwezo wa kunifanya niepuka bila kufundishwa basi ni ujinga kuendelea kunifundisha kitu ambacho kinaweza kuniepushia.Uislam umekufundisha usifanye Zinaa,
nijiepushe kivipi na mabaya wakati mungu tayari alishaona kua ntayakwaaa??? Kwaiyo mungu akijua kua nitafanya mabaya mimi naweza nikaepuka nikafanya mazuri???jiepusha na mabaya ila wewe unatenda maovu basi adhabu inakuhusu tu.
Wakati huo baba yake sio mjuzi wa yote na muweza wa yote ni kweli nitamuadhibu maana hayakua mategemeo yangu kumuona mtoto wangu anafeli wakati nilimfundisha na itakua hukumu ya haki kwake.Na mtoto vile vile kama umemfundisha na akafeli, basi una haki ya kumuadhibu
lakini kwa sababu umekariri kuwa adhabu lazima kichapo ndio maana unahisi kuwa mtoto huyo mdogo atakuwa anaonewa, unaweza ukamuadhibu hamna kucheza tu.
Kuna muumini mwenzako alisema mungu akiwa na sifa hii ya ujuzi wote halafu akakuadhibu kwa kile alichokiona kua utafanya halafu wewe ukawa huna namna ya kukikwepa basi huyu mungu ni snitch.Kumuadhibu mtu kwa sababu ulimfundisha hapo mwanzo hakuondoshi ujuzi wa Allah kama vile kujua kwake khatma yako hakuondoshi uhuru wako wa kufanya jema au ovu.
Inamaana huelewi kua mungu alikwishajua kua sitaelewa mafundisho yake mpaka unauliza hili swali? Hujui kila kitu kinachofanyika hakifanyiki kwa bahati mbaya??Kwanini mimi nielewe mafundisho yake ila wewe usielewe?
Ujumbe ukishamfikia huyo mtu allah anakua hajui kua huyo mtu hajaelewa?? Akijua kua hajaelewa kwanini hakumfanya aweze kuelewa zaidi inamaana allah hana uwezo wa kumfanya mtu akaelewa nje ya adhabu???Kutowafanya watu wote wamuelewa kunaondosha uhuru, na hivo ungekuja kulia kuwa huna uhuru umelazimishwa umuelewa.
Hakuna kiroja hapo, ninakuonesha nini Allah ametufundisha kuwa yeye haadhibu mtu ikiwa ujumbe haujamfikia. Sasa labda wewe ulete kiroja tena. mana kile cha uhuru kimemalizwa
Hatujaanzia hapa. Unakumbuka ulisema hakuna kisicho kiumbe ? Kisha ukataja vigawanyo vya kiumbe ?Hapa tulipo bado tuko pale pale ukiona kama tumepiga hatua jitafakari umakini wako
Hatujaanzia hapa. Unakumbuka ulisema hakuna kisicho kiumbe ? Kisha ukataja vigawanyo vya kiumbe ?
Mimi nikaja nikakuuliza nini maana ya kiumbe na nikauuliza kwa ufafanizi juu ya kiumbe ili kiwe kiumbe huwa kina sifa gani kuu ?
Mgawanyo wa kiumbe hai na kinyume chake baada ya kuwepo kiumbe,sasa nataka uniambie kabla ya mgawanyo wa kiumbe hai na kisicho hai,mlijuaje kipi ni kiumbe na kipi si kiumbe?
na ndio maana natoa majibu marahisiSwali rahisi sasa kupoteza muda hakusaidii na kama swali ukiwa huelewi ni bora uulize.
Sasa nimekufafanulia na kukuonyesha hapa ni baada ya kutoka huko.
Nasubiri jibu la swali langu.
Na ndio maana nakuambia bado tunacheza kwenye duara lile lile la kiumbe
bado uko palepale kwenye "kiumbe" hujavuka border
Unapenda kupoteza muda sana,jambo jepesi ni kujibu lakini unakimbia kimbia,kama hujui sema tu hujuo,hakuna atakae kulaumu kwa kutokujua kwako.
Poa,sasa nijibu swali langu,kwamba Kiumbe ni nini na ili kitu kiwe kiumbe kinatakiwa kiwe na sifa gani kuu,sifa ambayo inaingia katika hiyo migawanyiko miwili.
Kwanza maana yako si sahihi.Hii ni mara ya pili nakujibu labda niweke msisitizo kua kila kinacho exist ni kiumbe eidha kiwe hai au sio hai kwa mantiki hiyo hakuna kisicho kiumbe na hii ndiyo nature
Kwanza maana yako si sahihi.
Unakubali kwamba Jua ni kiumbe ? Upepo nao ni kiumbe ?
Sharti kuu ya Kiumbe lazima kiwe kimeumbwa. Nashangaa ukawa unakimbia kimbia.
Hilo sharti la kusema kila kiumbe ni lazima kiwe kimeumbwa umetoa wapi???? Hicho kilichoumbwa na kilichoumba both are either livings things or non living things. Hakuna kisicho kiumbe labda kisiwepoKwanza maana yako si sahihi.
Unakubali kwamba Jua ni kiumbe ? Upepo nao ni kiumbe ?
Sharti kuu ya Kiumbe lazima kiwe kimeumbwa. Nashangaa ukawa unakimbia kimbia.
Na mimi ndio nakuonyesha uongo wa kauli yako,na usiwe una andika jambo usilo kuwa na ujuzi nalo sababu unakuwa unaiokosea adabu elimu.Nikikwambia kua hakuna kisicho kiumbe maana yake you have to stop asking such kind of silly questions
Acha utoto wa kukwepa maswali unayo ulizwa,jibu maswali yangu kisha nikujibu yako.Hilo sharti la kusema kila kiumbe ni lazima kiwe kimeumbwa umetoa wapi????
Hii kauli unatakiwa uithibitishe na kuonyesha ukweli wake,usitumie tamko "Labda" katika uhalisia.Hicho kilichoumbwa na kilichoumba both are either livings things or non living things. Hakuna kisicho kiumbe labda kisiwepo
Acha utoto wa kukwepa maswali unayo ulizwa,jibu maswali yangu kisha nikujibu yako.
Hilo sharti nimelipata katika misingi ya lugha na matumizi ya tamko hilo na asili yake.
Hii kauli unatakiwa uithibitishe na kuonyesha ukweli wake,usitumie tamko "Labda" katika uhalisia.