Atheism: Imani nusu na robo

Atheism: Imani nusu na robo

Nakuunga mkono ndugu mshana jr , tatizo kinachowapa jeuri atheist ni baadh ya mikanganyiko iliyopo kwenye vitabu vyetu vya dini… ila kiukwel ulichosema ni sahihi
Unaposema vitabu vyetu vya dini vinakanganya,inabidi uanishe ni vitabu gani na wapi vinakanganya.

Mathalani sisi katika dini yetu tunaamini ya kuwa maneno ya Mola wetu hayakanganyi.Kutokana na hilo,ndipo mwanazuoni wetu aitwaye al Imamu ash-Shawkaniy akasema "Maneno ya Mola hayagongani,ukiona au kuhisi yanagongana,basi cha kwanza ituhumu akili yako ya kuwa haijadiriki jambo hilo au ituhumu elimu uliyonayo,bila shaka umekosa kitu katika jambo husika".Au kama alivyosema imamu,Mola amrehemu.

Pia naomba msaada juu ya tamko "Atheist" kwa Kiswahili sanifu.
 
haya yapo tu popote pale tubaki na msingi wa mada...usidhani chagizo kama hizo zitanitoa kwenye mstari
Hiyo si chagizo.

Unadanganya wasiokujua kwamba "umekaa na atheists" wakati kiukweli umekimbilia uji wa temple.

Umeandika ujinga na uongo kwamba kila atheist haamini Mungu yupo kwa sababu Mungu haonekani.

Huu ni ujinga na uongo ambao haupaswi kuachwa bila kumulikwa.

Acha kupotosha watu.
 
Kwani Imani ni lazima iwe dini?

Tukija kwenye dini. Ukifanya Imani za dini ziwe kama mitindo ya kusuka nywele, atheist ni mtu anayeikataa mitindo yote ya kusuka nywele na kunyoa kipara

Unaweza kusema huyu mtu anayekataa kusuka nywele na kunyoa kipara kipara chake ni aina ya kusuka nywele?

Ukisema Atheism ni imani ya kidini ni sawa na kusema Flaviana kasuka nywele hapa.

22de081c758a1ca50b626fb31f73308f.jpg
Kipara ninini?kusuka ninini? Kunyoa ninini? Kwanini unaamini kuwa hali ya kutokuwa na hicho kinachoitwa nywele ni kipara? Kwanini unaamini kuwa hilo tendo la kunyonganyonga hicho kinachoitwa nywele ni kusuka?
*zingatia nimetumia neno kuamini
 
Kipara ninini?kusuka ninini? Kunyoa ninini? Kwanini unaamini kuwa hali ya kutokuwa na hicho kinachoitwa nywele ni kipara? Kwanini unaamini kuwa hilo tendo la kunyonganyonga hicho kinachoitwa nywele ni kusuka?
*zingatia nimetumia neno kuamini

You can't be serious.

Unaweza kuthibitisha kwamba kipara ni mtindo wa kusuka nywele?
 
Hiyo si chagizo.

Unadanganya wasiokujua kwamba "umekaa na atheists" wakati kiukweli umekimbilia uji wa temple.

Umeandika ujinga na uongo kwamba kila atheist haamini Mungu yupo kwa sababu Mungu haonekani.

Huu ni ujinga na uongo ambao haupaswi kuachwa bila kumulikwa.

Acha kupotosha watu.
naona umefika mwisho wa kufikiri au joto la mjadala limekuzidi ndio maana unaaza mipasho
Ningekuwa naandika upotoshaji au uongo au ujinga usingehangaika na mimi kiasi hiki..! Ungenipuuza in the first place
 
Kitendo tu cha kuandika kuwa Atheism ni imani kimetosha kuonyesha jinsi ulivyoandika mambo usiyoyajua kabisa
 
Unaweza kuthibitisha kwamba kipara ni mtindo wa kusuka nywele?
Jibu kwanza nilichokuuliza swali halijibiwi kwa swali ni dalili za kushindwa kushughulisha ubongo
 
naona umefika mwisho wa kufikiri au joto la mjadala limekuzidi ndio maana unaaza mipasho
Ningekuwa naandika upotoshaji au uongo au ujinga usingehangaika na mimi kiasi hiki..! Ungenipuuza in the first place
Hapana.

Ninakujibu kwa sababu unaandika uongo na ujinga.

Uongo na ujinga usipojibiwa unaweza kuaminiwa na wengine.

Nina wajibu wa kuumulika uongo na ujinga.

Sitaki kuupuuza uongo na ujinga, sina uvivu huo. Kama wewe ni mvivu, usifikiri kila mtu ni mvivu.

Sasa unajiongezea sifa.

Wewe si tu ni muongo na mjinga.

Wewe ni muongo, mjinga na mvivu.
 
Hapana.

Ninakujibu kwa sababu unaandika uongo na ujinga.

Uongo na ujinga usipojibiwa unaweza kuaminiwa na wengine.

Nina wajibu wa kuumulika uongo na ujinga.

Sitaki kuupuuza uongo na ujinga, sina uvivu huo. Kama wewe ni mvivu, usifikiri kila mtu ni mvivu.

Sasa unajiongezea sifa.

Wewe si tu ni muongo na mjinga.

Wewe ni muongo, mjinga na mvivu.
Duu muongo mjinga na mvivu naona limeongezeka jipya
Kama ni kweli basi ungeshaandika kile ambacho sio uongo wala sio ujinga lakini naona umeendelea kuzunguka pale pale na joto likikuzidi unaingiza mipasho kidogo
Baada ya kuona nimeandika uongo na ujinga ni nafasi yako sasa kuthibitisha kwa kuandika ambacho sio uongo wala sio ujinga...hili limekushinda kabisa
 
Mi toka majuzi nimewaunga mkono atheists maana nimefuatilia mijadala yao humu hasa Kiranga nimeona wako sahihi tu kuliko hawa wanaojifanya wafia Dini. Niko pamoja nao nafuatilia tena nifunguke zaidi kifikra kuliko kufungwa na imani za Dini.
Nashukuru kusikia hilo mkuu.

Watu wanajifunga kamba za akili wao wenyewe kwa makusudi.

Halafu wanashangaa kwa nini hatuendelei.
 
Natabiri nini wakati maandishi yako yanaanika ujinga wako ?

Kwa nini nihitaji kutabiri wakati umeanika utupu wako mwenyewe?
Bado unacheza tune ile ile ya mitazamo binafsi na kudhani ndio uhalisia
 
Mkuu unavyoongea ni kama vile una~assume jamaa assumptions zao zote ni za uongo, ila nikuulize kitu, una uhakika gani kua wenye imani ndio wako correct? kwa kifupi kila mtu anaamini anachokiamini ila ukweli ni kwamba hakuna mwenye 100% proof kua anachokiamini ndicho cha kweli.

Waislamu wanaamini kwa mtume, Wakristo wanaamini Yesu, Wahindi wapo wanaoamini ng'ombe, Wachina wapo wanaoamini Buddha, kuna dini zaidi ya 1000, na miungu zaidi ya 5000. Kila moja ya wafuasi wa hizi dini anaamini mungu wake ndiye wa kweli, anayeamini kwa Mungu moja yeye ana uhakika gani kua wa kwake ndiye wa kweli? Sanasana tunaongea lakini ukweli unabaki palepale, wengi tumeshika dini fulani kwa kua tumezaliwa na kukulia huko, ila ingekua mtu hufundishwi dini hadi ufikir umri labda miaka 18, leo hii dini ingeonekana kama story za The Avengers tu.

Cha muhimu ni kuheshimiana na kua tolerant, vitabu vingi vya dini vina mambo mazuri ndiyo, lakini vinayo mabaya pia, vipo vinavyoruhusu mauaji ya binadamu mwenzako, vingine vinaruhusu slavery, mambo ya kutoa kafara, ni vitu vya ajabu na watu watatafuta kila explanation kuziba huo ukweli ila ukweli uko palepale. Hivi vita hamtovimaliza, vilikuwepo zaidi ya miaka 2000 iliyopita, leo mnachofanya ni kurudia tu ila hamna kipya chochote, atakayekuja kuprove haya ni Mungu tu kama atajitokeza kweli au kama hatokuja kutokea milele then atakua hayupo ila hiyo milele sasa wengine hatutokuwepo by then kwa hiyo hatutojua, labda miaka 10,000 ijayo bado tu watakua wanamsubiri.

Mkuu wewe ni atheist au atheist sympathiser?

Sijui hata kama ulinielewa nilichokusudia hasa katika maelezo yangu. Mimi nimeelezea hawa atheists hususani tulionao humu wanavyojiona wana uelewa wa hali ya juu kuhusu swala zima la imani na hata kuwaadaa wengine wenye mtazamo tofauti na wa kiimani na wa kwao kwamba ni wajinga, wakati kimsingi wao ndio wa kuwahurumia kwa sababu wako ignorantly brainwashed.

Na hakuna mahala mimi nimesema mwenye imani tofauti na wao ndio yuko correct na wala sijasema kwamba wasiendelee kuamini wanachokiamini vile vile pia sikusema nina proof 100% kwamba imani yangu iko sahihi... so that all of these were spurious annotations and prevarications of yours.

Ukitaka kuona hawa wako ignorantly brainwashed wanatumia logical fallacy ambayo ni argumentum ad velecundium wanapo deal na ant-atheist, wanatumia philosophical explanations za wapinga Mungu wa magharibi kama back up ya huo uatheist wao. Sasa mtu kama huyu anaanza vipi kujiona yeye ana akili sana kama na hata kudharau wasiofanana na yeye?

Kuhusu kuheshimu imani ya mtu mimi sina tatizo ila tatizo isipokuwa sina heshima kwa mjinga mjinga anaeiga vitu ambavyo hata yeye mwenyewe hana uelewa navyo na kuvitumia kama fimbo ya kuwachapia wengine.

Pamoja na hivyo sehemu kubwa nakubaliana na wewe hasa hizo paragrah mbili za mwisho.
 
Back
Top Bottom