mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
Baada ya muungano wa upinzani kufanya mkutano wa kihistoria ktk viwanja vya kibandamaiti jumatano iliyopita, viongozi wa CCM ZANZIBAR wameanza kuchanganyikiwa. Katika kutuliza hofu ya baadhi ya wafuasi wao, wameanza kufanya MIKUTANO YA NDANI wakiwaambia kuwa watafanya kila hali kuhakikisha WANAWATENGANISHA WAPINZANI. Hofu ya wafuasi wa ccm imekuja kutokana na kile wanakiamini kuwa USHINDI WA CCM ZANZIBAR UNATEGEMEA MABAVU YA SERIKALI YA MUUNGANO.
Wanaccm wengi hapa zanzibar wanaamini kuwa iwapo tanganyika ccm itaangushwa na chadema, au na ushirikiano wa chadema na cuf, basi hatakama wameiba kura, haitowasaidia kuizuia cuf kuingia madarakani. Hali hiyo hata cuf wanaifahamu, na ndio maana HABARI ZA NDANI ZINASEMA HUENDA VIONGOZI WA CUF WAKAKUBALI KUUNGANA NA CHADEMA NA KUMUUNGA MKONO MGOMBEA WA CHADEMA. Mwanzo suala hili lilikuwa gumu kwa ile kauli ya chadema kuwa cuf ni CCM B, lakini mtoa chanzo chetu kutoka cuf, kinasema kuwa suala hili limeshapatiwa ufumbuzi tayari. Hofu ya ccm zanzibar kwa sasa iko wazi, hasa baada ya baada ya kubainika kuwa zanzibar haikushirikishwa kweli kuandaa sheria ya katiba.
Katika moja ya mikutano iliyofanyika katika matawi ya wilaya ya mjini Unguja, kiongozi mmoja alihoji kwa nini polisi lisiwazuie chadema kufanya mikutano zanzibar wakati wanajua ni wa chochezi? mjumbe huyo alienda mbali zaidi kwa kusema, ccm zainzibar haitoondoshwa madarakani na cuf, bali ushindi wa chadema bara ndio utakuwa mwisho wa ccm zanzibar. CHANZO HASA CHA HOFU HII NI KAULI YA MBOWE ALIPOSEMA KATIKA MKUTANO KIBANDA MAITI KUWA ATAWAUNGA MKONO WAZENJ KUWA NA MAMLAKA KAMILI KAULI ILIYOIBUA FURAHA MKUTANONI HAPO.
PIA KIEMBESAMAKI CCM HOI, Wanatumia nguvu kubwa kutaka kuwaambia watu kuwa kumfukuza MANSOUR ilikuwa sahihi lakini inaonesha vijana wamehamaki. Tusubi tuone nini kitatokea. WAKATABAHU.
Wanaccm wengi hapa zanzibar wanaamini kuwa iwapo tanganyika ccm itaangushwa na chadema, au na ushirikiano wa chadema na cuf, basi hatakama wameiba kura, haitowasaidia kuizuia cuf kuingia madarakani. Hali hiyo hata cuf wanaifahamu, na ndio maana HABARI ZA NDANI ZINASEMA HUENDA VIONGOZI WA CUF WAKAKUBALI KUUNGANA NA CHADEMA NA KUMUUNGA MKONO MGOMBEA WA CHADEMA. Mwanzo suala hili lilikuwa gumu kwa ile kauli ya chadema kuwa cuf ni CCM B, lakini mtoa chanzo chetu kutoka cuf, kinasema kuwa suala hili limeshapatiwa ufumbuzi tayari. Hofu ya ccm zanzibar kwa sasa iko wazi, hasa baada ya baada ya kubainika kuwa zanzibar haikushirikishwa kweli kuandaa sheria ya katiba.
Katika moja ya mikutano iliyofanyika katika matawi ya wilaya ya mjini Unguja, kiongozi mmoja alihoji kwa nini polisi lisiwazuie chadema kufanya mikutano zanzibar wakati wanajua ni wa chochezi? mjumbe huyo alienda mbali zaidi kwa kusema, ccm zainzibar haitoondoshwa madarakani na cuf, bali ushindi wa chadema bara ndio utakuwa mwisho wa ccm zanzibar. CHANZO HASA CHA HOFU HII NI KAULI YA MBOWE ALIPOSEMA KATIKA MKUTANO KIBANDA MAITI KUWA ATAWAUNGA MKONO WAZENJ KUWA NA MAMLAKA KAMILI KAULI ILIYOIBUA FURAHA MKUTANONI HAPO.
PIA KIEMBESAMAKI CCM HOI, Wanatumia nguvu kubwa kutaka kuwaambia watu kuwa kumfukuza MANSOUR ilikuwa sahihi lakini inaonesha vijana wamehamaki. Tusubi tuone nini kitatokea. WAKATABAHU.