Athari za kuwa bikira

Athari za kuwa bikira

Heee mungu atuepushie hasa kama hiyo damu haikutoka si utaonekana umefanya utundu:crying::crying:



Kwa mwanaume mwenye akili zake lazma ataelewa tuu, kuna tofauti ya virginity na hymen
 
hahaha...best yangu mwanaume ukiwaza hivyo basi kila mara utajikuta wasaidiwa.
kwa kuwa sisi ni wanaume basi hapo kwenye kukakamaa ndio wakati tunapoonesha ufundi wa kupalainisha hadi parojeke...
wewe kuja na bikra yako hata ya miaka 300, mwanaume fundi ataichokonoa hadi iwe lainiii...na zaidi atamfunza mwenzi wake namna ya kugegedana.

Duh hapa umeniacha hoi kwa kweli!
Why shouldn't I . . . . . . . . . . . . . . LMAO!
 
Wasalaam wanajf,

Nimeshawasikia wasichana wengi wakiwaponda wenzao ambao wana zaidi ya miaka 25 wakiwa bado bikira. Mfano juzi juzi tu niliwasikia wadada fulani wakimponda ndugu yao mwenye miaka 36 ambaye hajaolewa...walikuwa wakionyesha kumuonea huruma sana eti ni heri angekuwa ashatolewa bikira.


Swali langu ni je kuna limitation ya muda wa kuwa bikira? Kuna athari gani zinazompata mtu ambaye ni bikira hususani mtu mwenye miaka zaidi ya 35?

Mimi nilidhani kuwa ni heri mtu mwenye age hiyo akiwa bikira kuliko kuwa ashapata exposure ya mapenzi na akakosa mwenzi....nilidhani mtu mwenye exposure ya mapenzi atateseka zaidi ya yule ambaye bado bikira.

Wewe unaonaje?

Unamaanisha ya <<<< au ya >>>>? Asibane sana italiwa na nyenyere ila kweli kabisa ni hasara kuwa na bk mbili (kama Zipo hai zote) kwa umri huo!! At least auwe moja
 
Hakuna zawadi nzuri ambayo mwanamke anaweza mpa mme wake zaidi ya BIKRA!

Ila ziwe zote isiwe ile moja tu tuliyozoea, mabinti wa secondari Siku hizi ni bkr front exit, ila rear exit ni ma.jaaa.nga!!!
 
Nahisi za hao hapo juu waliotolewa mifano expiry date yake imepita hata kuzivunja itakuwa ngumu-kwa sababu pale mahali pameziba na kile kigozi kinachotakiwa kuwa chembamba(hymen) kitakuwa kigumu miaka 35-40 kama cha ngozi ya kenge(it hardens when a woman gets older)hyo ndo mechanism yake refer law of use and disuse of organ,its about to disappear hicho kipochi cha manyoya kwa sababu hakitumiki ipasavyo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Hahahaaaaa
 
Kuwa na bikira mpaka age ya 40 lazima anatatizo au atoe maelezo ya kutosha .

Wapo ila ukiwaangalia tu unaona kuna something wrong somewhere. Tembea yao, ongea yao, vaa yao utagundua tu kuna shida na usiombe apate cheo hapo kazini ni chaos
 
Back
Top Bottom