35 old halafu bikra! huyo ana misuse hicho kiungo
Kwani huwa zina EXPIRY date hizi FIRIGISI??
Wasalaam wanajf,
Nimeshawasikia wasichana wengi wakiwaponda wenzao ambao wana zaidi ya miaka 25 wakiwa bado bikira. Mfano juzi juzi tu niliwasikia wadada fulani wakimponda ndugu yao mwenye miaka 36 ambaye hajaolewa...walikuwa wakionyesha kumuonea huruma sana eti ni heri angekuwa ashatolewa bikira.
Swali langu ni je kuna limitation ya muda wa kuwa bikira? Kuna athari gani zinazompata mtu ambaye ni bikira hususani mtu mwenye miaka zaidi ya 35?
Mimi nilidhani kuwa ni heri mtu mwenye age hiyo akiwa bikira kuliko kuwa ashapata exposure ya mapenzi na akakosa mwenzi....nilidhani mtu mwenye exposure ya mapenzi atateseka zaidi ya yule ambaye bado bikira.
Wewe unaonaje?
35 old halafu bikra! huyo ana misuse hicho kiungo
Reall? Hembu nitumie namba yake then nitampigia aje nimpe dawa yake afurahie maisha kabisa!!mada imenigusa kwakweli maana nina ndugu yangu nae ana aproach 40 na hajawahi kuwa na mwanaume wana hana dalili ana kila kitu umbo sura nzuri mchapa kazi heshima yaani sijui nitaje nn lakini hajawahi kuwa na mwanaume mpaka sasa tuna mshawishi ata azae tu maana na menopaz imejongea ila kubaki na bikra si tatizo shida kubwa ni pale utapobeba mimba nyonga zitakuwa zimekaza na kushindwa kupitisha mtoto so kulazimika c/section
Kwani bikra inaweza kutoka bila ya tendo la ndoa?
Bikra haiwezi kutoka bila ya sex, lazma iwepo penetration ya penis ili bikra itoke lkn kuna kitu inaitwa hymen, huu ni kama utando flani hivi unakuepo ktk vigana, huu ndo inasababisha damu itoke mara ya kwanza msichana anafanya tendo hilo, huu utando unaeza kutoka kwa njia nyingi, mfano kuendesha baiskeli au kwa kupanda mti or kufanya mazoezi, endapo hymen itatoka dats y waschana wengi hawatokwi na damu first time wanafanya sex cz hymen inakua haipo, lkn bikra inatoka endapo kutakua na penetration tuu!
A woman who can remain a vergin until that age is a courageous and a Godly woman, nawala watu wasiwakatishe tamaa, there is absolutely nothing wrong with being a virgin kwa hizo age, losing ur virginity should be special banaa..... As we only have it once and then it's gone forever....!!!!!!! Waacheni mpaka watakapopata right person wa kukizi haja zao kwa muda muafaka!!!!!!!!!!!!