Ndechumia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,102
- 417
Wajamen na wataalam wa jf, eti kuna ukweli wowote juu ya kutumia administrator acc wakati wote? Manake kuna mshkaji kanishauri nisitumie admn acc wakatai nafanya shughuli zangu za kawaida kwenye comp, ila akaniambie hiyo acc niwe naitumia tu wakati wa ku-inslalu au ku-anistalu programu tu.
wakuu kuna ukweli wowote au ananizingua tu,
nategemea ushauri wenu.
wakuu kuna ukweli wowote au ananizingua tu,
nategemea ushauri wenu.