mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Ifahamike kuwa wakati baadhi ya wafanyabiashara hawakuweza kulipa kodi, kuna wenzao waliweza kulipa kodi kwa aina hiyo hiyo ya biashara na soko hilo hilo.
Mfanyabiashara anapopanga bei ya bidhaa zake anatilia maanani gharama aliyotumia ikiwemo ulipaji wa kodi.
Sasa kama mfanyabiashara mmoja ukimsamehe kodi utakuwa umempa faida kwenye ushindani wa kibiashara dhidi ya yule mwaminifu aliyelipa kodi.
Matokeo yake huyu mwaminifu wa kodi bidhaa zake hazitanunukiwa maana bei yake itakuwa ni kubwa ukilinganisha na huyu ambaye amesamehewa kodi.
Huyu mlipa kodi utakuwa umemwandalia mazingira ya kushindwa kulipa kodi na tunarudi huko huko tunakotaka kuondoka!!
Kodi lazima ILIPWE cha msingi ni kuwaandalia utaratibu rafiki wa kulipa kodi hiyo aidha kwa kuwaongezea muda wa kulipa kodi hiyo.
Wasaidizi wa RAIS wanayajua yote haya lakini kwa sababu zao wenyewe wanamwacha mama afanye mambo yanayodhalilisha taasisi ya URAIS. Rais asivuke mamlaka yake ya kikatiba!
Mfanyabiashara anapopanga bei ya bidhaa zake anatilia maanani gharama aliyotumia ikiwemo ulipaji wa kodi.
Sasa kama mfanyabiashara mmoja ukimsamehe kodi utakuwa umempa faida kwenye ushindani wa kibiashara dhidi ya yule mwaminifu aliyelipa kodi.
Matokeo yake huyu mwaminifu wa kodi bidhaa zake hazitanunukiwa maana bei yake itakuwa ni kubwa ukilinganisha na huyu ambaye amesamehewa kodi.
Huyu mlipa kodi utakuwa umemwandalia mazingira ya kushindwa kulipa kodi na tunarudi huko huko tunakotaka kuondoka!!
Kodi lazima ILIPWE cha msingi ni kuwaandalia utaratibu rafiki wa kulipa kodi hiyo aidha kwa kuwaongezea muda wa kulipa kodi hiyo.
Wasaidizi wa RAIS wanayajua yote haya lakini kwa sababu zao wenyewe wanamwacha mama afanye mambo yanayodhalilisha taasisi ya URAIS. Rais asivuke mamlaka yake ya kikatiba!