Athari za Kiuchumi Oktoba 29,2025

Athari za Kiuchumi Oktoba 29,2025

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
562
Reaction score
522
Tume ilibaini kwamba sekta ya elimu iliathiriwa kiuchumi pia, hasa shule za binafsi ambazo zilipoteza mapato ya ada wakati shule zilipofungwa. Walimu wa shule hizo hawakupata mishahara yao, na familia zilizowaongoza watoto wao kwenye shule za mbali zaidi pia zilibeba gharama za ziada za usafirishaji na makazi kwa watoto wao. #UkweliUlibainika
#TumeYaUchunguziReport
Ripoti Ya Tume
IMG-20260519-WA0199.jpg
 
Bi mdashi aiachie ripoti kuliko kudiscuss paragraph moja moja tuu
 
Back
Top Bottom