TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,910
- 11,306
Hadi Wachina wameikimbia.. ATCL itapelekwa UAW ili kukamilisha mtandao wao wa Sharjah kule..
Mwanakijiji... huu ndio mshtuko wangu!!! Tume- dillydally na kuwekeana vyeo na ulaji mpaka mwekezaji amekimbia... looking at our economic fragility na style ya uendeshaji ya marekani hakyanani hii ATC ni another TRL
Hivi kwanini sisi ni mabingwa wa ngojangoja??