Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
ATCL inatia kinyaa, ilipewa offer ya kuazimwa ndege na KLM atcl ikakataa ati itakuwa imevunja procurement act na kwamba lazima makubaliano yapite kwa wakala. Wakapewa tena offer na kampuni ya boeing ya marekani ili wachukue ndege mpya walipe taratibu nalo pia wakakataa kuwa sheria ya manunuzi hairuhusu- kisa Mataka na wakubwa wake waliona hakuna uwezekano wa kupata mgao. Ajabu saa hizi wanatafuta second hand.......... Tutalipa madeni mpaka tukome.