ATCL bado sana kwenye Safari za anga

Naam lakini ATCL Watanzania wengi tulitoa onyo kwamba kwanza si kipaumbele cha Watanzania kwani ni usafiri wa gharama kubwa sana na ni 5% tu ya Watanzania wanaoweza kumudu gharama zake hivyo kusababisha hasara kubwa sana. Na hilo limekuwa kweli imagine hiyo 2 trillions ingeelekezwa kwenye vipaumbele vingine vya Taifa.
Mkuu embu tuwekane sawa kidogo.
Hivi ni kweli unafikiri lengo (target) ya ATCL ni abiria raia wa Tanzania pekee?
Acheni hizi siasa za kitoto, kuna mengi tu ya kuikosoa serikali au Magufuli lakini si kwa hoja za kitoto kama hii.
 
Umeifuatilia hiyo ishu tena au basi ndio umezila? Ingekuwa mimi ningewalima barua nyingine na e-mail kwa MD maana e-mail zao zipo open to the public.
I had to look for an alternative. Kuna mtu ilibidi atumwe na kwenda physically. Hawa watu sijui hata kama huwa wanasoma emails.
 
Mkuu embu tuwekane sawa kidogo.
Hivi ni kweli unafikiri lengo (target) ya ATCL ni abiria raia wa Tanzania pekee?
Acheni hizi siasa za kitoto, kuna mengi tu ya kuikosoa serikali au Magufuli lakini si kwa hoja za kitoto kama hii.
Mkuu mmechukua kikombe kiulaini mwaka huu basi ni shida . .... ..... hongereni kwa kunyakua EPL for the first time.
 
Inafaa muda mwingine kunyamaza. Sio kila kitu kinaweza kuwa ni makosa au ni kosa la kuzungumziwa sababu wote tunamapungufu kama alivyo mtu mwingine yeyote including the president Magu.

Tatizo mnamsimanga lakini katika mengi aliyofanya Magu kwa muda mchache nyie wenywe hamuwezi kufanya.

Magufuli, anayo speed, anataka speed na anaenda kwa speed.

Mnasubiri siku ndio mmkumbuke au afe ndio mmkumbuke. Hata Mkapa mlisema sana. Amekufa ndio mnasema alikuwa genius sijui nini.

Atcl haitakufa labda mfe nyinyi. Mungu ataendelea kubariki kazi za muheshimiwa RAisi Magufuli na utawala wake katika kuinua Tanzania na watanzania walio maskini.

Nyinyi ndio moja ya wale mijitu inasubiri Magufuli aondoke muendlee kufanya yenu. Kuiba, ufisadi ndio mnavyoviwaza.
Watu kama nyie ndio mkuu anawapenda sana....hamchambui vitu kwa logic bali kwa kufuata kile kinachoitwa uzalendo na kusifianasifiana.......safi sana mkuu!
 
Kwa reputation gani waliyokuwa nao ATCL hadi wasio Watanzania wasafiri nayo? Poor and very bad services ANY TIME CANCELLATION and you think travellers from other nations will be attracted to travel with ATCL?

Wasafiri wa ndege wengi HAWAKURUPUKI wanapotaka kusafiri na ndege huenda online kuangalia reputation ya shirika husika na kama wanaona madudu wanaliepuka.

Mkuu embu tuwekane sawa kidogo.
Hivi ni kweli unafikiri lengo (target) ya ATCL ni abiria raia wa Tanzania pekee?
Acheni hizi siasa za kitoto, kuna mengi tu ya kuikosoa serikali au Magufuli lakini si kwa hoja za kitoto kama hii.
 
I had to look for an alternative. Kuna mtu ilibidi atumwe na kwenda physically. Hawa watu sijui hata kama huwa wanasoma emails.
Hizo ndio changamoto kwenye nchi kama Tanzania ambayo inataka kuondoka kwenye umasikini. Just imagine UK wana kama 500 years kuweka mikakati ya kuwa wanafanya mambo yao kama gurudumu (BTW usisahau kwenye hiyo miaka wamekuwa na kipindi kirefu wanatumia cheap labour na kuzikamua nchi za Afrika na dunia nzima). Tunahitaji na sisi tufike huko tukianza na sisi wenyewe. Kwanza kuhakikisha IT network ya uhakika pili vijana ambao wanafahamu kutumia IT nk. Mimi nafahamu bado kazi kubwa inatakiwa kufanywa lakini hatuwezi kulialia na kutegemea uncle kutoka nje aje atufanyie. Change must begin with us.
 
Acha siasa zako be objective. 😂😂😂


Kwa reputation gani waliyokuwa nao ATCL hadi wasio Watanzania wasafiri nayo? Poor and very bad services ANY TIME CANCELLATION and you think travellers from other nations will be attracted to travel with ATCL?

Wasafiri wa ndege wengi HAWAKURUPUKI wanapotaka kusafiri na ndege huenda online kuangalia reputation ya shirika husika na kama wanaona madudu wanaliepuka.
 
Kwa reputation gani waliyokuwa nao ATCL hadi wasio Watanzania wasafiri nayo? Poor and very bad services ANY TIME CANCELLATION and you think travellers from other nations will be attracted to travel with ATCL?

Wasafiri wa ndege wengi HAWAKURUPUKI wanapotaka kusafiri na ndege huenda online kuangalia reputation ya shirika husika na kama wanaona madudu wanaliepuka.
Kwa hivyo unataka kuniambia abiria wote wa route ya Mumbai (To-And-Fro) ni raia wa Tanzania pekee?
Huyo mzungu aliyepiga picha tairi kipara la ATCL ni raia wa Tanzania?

Kuna mambo lazima tufikiri mara mbili kabla ya kuandika au kuyasema. Tusikariri mambo ya zamani na kufikia jumuisho kwamba hadi sasa bado yapo hivyo hivyo kama zamani, mfano hoja ya ANY TIME CANCELLATION.

Tusikosoe vitu vya ajabu tukaonekana tuna chuki tu na watu flani kwa sababu zetu binafsi. Uzushi, visasi na majungu ni aibu kwa mtu makini.
 
Kwa reputation gani waliyokuwa nao ATCL hadi wasio Watanzania wasafiri nayo? Poor and very bad services ANY TIME CANCELLATION and you think travellers from other nations will be attracted to travel with ATCL?

Wasafiri wa ndege wengi HAWAKURUPUKI wanapotaka kusafiri na ndege huenda online kuangalia reputation ya shirika husika na kama wanaona madudu wanaliepuka.
Wacha uongo mimi anytime ATC wanapoanza safari za Europe sitatumia KLM wala Turkish Airways au Emirates pamoja na Qatar airways au Rwandair. Lazima nipande pipa letu no matter what. Charity begins at home.
 
Rais JPM anajitahidi kufufua shirika letu la ndege lakini namna linavyojiendesha ni tatizo. Tusipopiga kelele litakufa tena na juhudi za kulifufua zitakuwa zimehujumiwa.

Muhula wa masomo China umemalizika. Wanafunzi waliohitimu wanarudi makwao. Nchi nyingi zinachukua wanafunzi wake kwa ndege zao or any other chattered flights.

Serikali yetu imeamua kuchukua watu wake kwa ndege yetu ya Dreamliner ambayo imeondoka leo saa kumi jioni (one way, kutoka Guanzhou mpaka JNIA, Dar)
_
Lakini zoezi hili limekuwa na kasoro nyingi. Moja ni gharama kuwa juu karibu mara mbili kulinganisha na mashirika mengine. Lakini wamelazimika kulipa kwa sababu serikali imezuia kurudi kwa ndege nyingine isipokua ATCL kwa kile kinachoitwa Uzalendo.

Pili, mwezi mmoja uliopita wahitimu walitakiwa kutuma nakala za passport zao ili waandaliwe tiketi. Wakatuma na wakawa wanasubiri itinerary ili kupewa tiketi.

Juzi wakapokea ujumbe kutoka Ubalozi wetu China, kwamba ATCL imefanya makosa mengi kwenye tiketi. Wamekosea spelling, Lulu Kicheere ameitwa Lulu Kicheche. Wamekosea jinsia, John kaandikwa Female na Prisca Male. Wamekosea tarehe za kuzaliwa. Kuna waliozaliwa 1890 kabla ya vita vya Majimaji. Wamekosea mpangilio wa majina na makosa mengine mengi.

ATCL walipotakiwa kufanya marekebisho walidai muda uliobaki usingetosha kurekebisha makosa yote. Kama walipewa mwezi mzima wakafanya makosa mengi hivi, wangewezaje kurekebisha kwa siku mbili.

Kwahiyo ubalozi wetu China ikabidi uandae orodha ya majina itakayotumiwa na wasafiri. Jana Ubalozi umesema ticket za ATCL hazitatumika kama kigezo pekee cha kusafiri bali abiria watahakikiwa kupitia orodha ya majina iliyoandaliwa na ubalozi huo.

Jiulize, hivi tupo serious na biashara ya usafiri wa anga? Kama mwezi mzima ATCL wameshindwa kuandaa tiketi, tena kwa safari moja, je safari zikiwa kila siku itakuaje? Tumebaki kusifu idadi ya ndege, kumbe hatuna uwezo hata wa kuandaa tiketi? Leo watu wanapanda ndege kama daladala? Hakuna hata boarding pass, unakaa siti yoyote iliyo wazi kama mabasi ya Bukene Nzega. Aibu gani hii?

Kumbuka Nyerere aliacha shirika likiwa na ndege nyingi sana, lakini likafilisika kwa sababu ya management mbovu. Sasa tunarudi kulekule?

Malisa GJ
Jameni wakati hayo ya kiendelea na huko katika ujenzi wa SGR hali si shwari hata kidogo ktk LOT 1 yaani kipande kinachoanzia Dar es Salaam hadi Morogoro. Mkandarasi yaani YAPI MERKEZ ameishiwa pesa ambapo kwa sasa anadaiwa pesa kila kona hasa Wakandarasi wa Ndani ambao walimpatia YAPI MERKEZ magari na mashine na vifaa vingine mbalimbali kwa ajili ya ujenzi huo lakini Wakandarasi hao wanadai fedha kibao hawajalipwa kwa zaidi ya miezi saba sasa.

wakati huo huo YAPI MERKEZ amebandika tangazo kwamba Wafanyakazi wake watapokea mshahara nusu mwenzi huu wa saba. kwa kweli hali si shwari hata kidogo na hao Wakandarasi wanatarajia kumpeleka mahakani na kumshitaki Serikalini kupitia Wizara ya Ujenzi.
Wakati wowote mambo yatalipuka ya madeni anayodaiwa YAPI MERKEZ.
 
ATCL inaendeshwa kwa hasara kubwa sana na haitakuja kuendeshwa kwa faida hata baada ya miaka 15 ijayo.

Biashara ya usafiri wa anga ni ngumu sana na mashirika mengi duniani yanauzwa, kufa au kuingia kwenye ubia

ATCL haina ubavu wa kushindana na mashirika mengi duniani hivyo hasara zitaendelea mwaka hadi mwaka ni lini sasa Serikali itasema hizi ruzuku sasa imetosha!?

Kama Serikali HAIFICHI madudu na uozo ATCL kwanini CAG anazuiliwa kukagua gharama za kununua ndege na uendeshaji wa shirika hilo kinyume na utaratibu husika!?

Msiukimbie ukweli kuhusu ATCL, hilo shirika ni bomu na litaendelea kuwa bomu kwa miaka mingi ijayo kama Serikali haitastuka mapema.

Kwa hivyo unataka kuniambia abiria wote wa routre ya Mumbai (To-And-Fro) ni raia wa Tanzania pekee?
Huyo mzungu aliepiga picha tairi kipara la ATCL ni raia wa Tanzania?

Kuna mambo lazima tufikiri mara mbili kabla ya kuandika au kuyasema. Tusikariri mambo ya zamani na kufikia jumuisho kwamba hadi sasa bado yapo hivyo hivyo kama zamani, mfano hoja ya ANY TIME CANCELLATION.

Tusikosoe vitu vya ajabu tukaonekana tuna chuki tu na watu flani kwa sababu zetu binafsi. Uzushi, visasi na majungu ni aibu kwa mtu makini.
 
ATCL inaendeshwa kwa hasara kubwa sana na haitakuja kuendeshwa kwa faida hata baada ya miaka 15 ijayo.

Biashara ya usafiri wa anga ni ngumu sana na mashirika mengi duniani yanauzwa, kufa au kuingia kwenye ubia

ATCL haina ubavu wa kushindana na mashirika mengi duniani hivyo hasara zitaendelea mwaka hadi mwaka ni lini sasa Serikali itasema hizi ruzuku sasa imetosha!?

Kama Serikali HAIFICHI madudu na uozo ATCL kwanini CAG anazuiliwa kukagua gharama za kununua ndege na uendeshaji wa shirika hilo kinyume na utaratibu husika!?

Msiukimbie ukweli kuhusu ATCL, hilo shirika ni bomu na litaendelea kuwa bomu kwa miaka mingi ijayo kama Serikali haitastuka mapema.
Ethiopian Airlines imewezaje kufikia kujiendesha kwa faida?
How Ethiopian Airlines Is Going From Strength To Strength - Simple Flying
Nafikiri tukiweka mikakati na nidhamu nzuri tunaweza kutengeneza faida baada ya muda flani.
 
Aviation is bad business today, why do so many people still want to get in?

Loizos Heracleous | The Conversation | | Last Updated at February 23 2019 11:28 IST


Yet another airline has collapsed – this time British operation Flybmi, costing almost 400 jobs as hundreds of flights were cancelled at short notice. It is the latest in a string of recent European airline failures, including Air Berlin, Alitalia, Monarch, Primera, Azur and Cobalt. This is despite years of good growth in worldwide air passenger demand, including in Europe. So why are so many airlines going out of business?

Aviation is an unattractive industry from an investor point of view at the best of times, notwithstanding the passenger growth.

Aeroplanes are expensive assets with few alternative uses, which limits the ability of airlines to reduce their capacity during lean periods – compared to, say, a manufacturing business that can close a plant and lay off workers. Airlines also have to deal with fluctuating expenses like fuel, which accounts for around a third of total costs. There is also extensive regulation, combative unions, relatively low barriers to entry and the fact that travellers can so easily shop around.
The sector did become more profitable in the early years of this decade, but this was due tolower fuel prices rather than any underlying improvements. When fuel prices began climbing again in 2016, airlines were hit. This is particularly true of those like Flybmi and Monarch which were buying fuel in pounds sterling, since the currency has weakened in the wake of the 2016 Brexit vote. The political uncertainty has not helped British airlines either – though equally we must generally beware of companies using this as a scapegoat for bad performance.

The future’s not bright
The net result is that it is very difficult for airlines to consistently turn a profit. Business failings are particularly likely to be punished – in the case of Flybmi, for instance, neither the company’s costs nor its fares were low enough to compete effectively. It didn’t have enough passengers for the number of routes it was offering, and could not change capacity without incurring more costs.

It seems extremely likely that there will be more collapses in the sector, and more consolidation as weaker players get weeded out – Ryanair’s takeover of the Austrian airline Laudamotion is one recent example; another is the Virgin Atlantic tie-up with Flybe. The attractions of growing through acquisition are much the same as in many sectors: it gives you greater control of purchasing costs by boosting your negotiating power, while also potentially reducing the downward pressure on ticket prices by taking competitors out of the market.

Takeovers are not a panacea, however, since fuel prices will still fluctuate and underlying negatives like high sunk costs into aeroplanes don’t go away. At the same time, there is no shortage of competition from new entrants who are seemingly oblivious to the challenges in the industry.

In 2017, for example, 79 new airlines launched around the world at the same time as 25 went bust. In Europe, it was 29 entrants and 14 collapses. This rate of market entry is surely unsustainable, particularly in a mature market. It’s also financially irrational when you reflect that the airlines sector produces among the poorest returns on investment. Yet even during recessions, the rate of airline launches sometimes increases – see the graphic below.

Your chances of launching a successful airline nowadays are far lower than, say, in the 1970s, when far fewer went under: there is overcapacity across the industry now, with one in five passenger seats empty across the world.

Today’s competition rules also make it much harder for nations to prop up failed airlines. The trouble is that this is a sexy industry; who wants to make widgets when you can pose in front of a plane? There is also a lot of hubris – driven by the handful of airlines that do make good returns, even as most do not.


This brings me to Ryanair, the biggest carrier in Europe, which has itself issued several profit warnings – the most recent in January. The Irish airline, which boasts a 15% market share and 142m passengers, blamed the warning on reduced ticket prices in response to cutthroat competition.
But don’t look to Ryanair to become another of the casualties: chief executive Michael O'Leary still expects the company to make profits after tax of around €1 billion to €1.1 billion (£871 billion to £958 billion) for the financial year 2019. This is in line with the operating margins in the region of 20% that the company has achieved in recent years, higher than any European competitor.
As the airline with the highest internal efficiency by some distance, the lowest customer fares, an ambitious expansion plan and the greatest geographical coverage in Europe, Ryanair retains its fundamental competitive advantages. Softer fares might have hurt the company, but they will have hurt other European airlines much more. Besides all the other factors that make life so difficult for the likes of Flybmi, getting thumped by Ryanair is another almost inevitable pitfall of being in the airline business.
Aviation-is-bad-business-today-why-do-so-many-people-still-want-to-get-in

Kwa hivyo unataka kuniambia abiria wote wa route ya Mumbai (To-And-Fro) ni raia wa Tanzania pekee?
Huyo mzungu aliyepiga picha tairi kipara la ATCL ni raia wa Tanzania?

Kuna mambo lazima tufikiri mara mbili kabla ya kuandika au kuyasema. Tusikariri mambo ya zamani na kufikia jumuisho kwamba hadi sasa bado yapo hivyo hivyo kama zamani, mfano hoja ya ANY TIME CANCELLATION.

Tusikosoe vitu vya ajabu tukaonekana tuna chuki tu na watu flani kwa sababu zetu binafsi. Uzushi, visasi na majungu ni aibu kwa mtu makini.
 
ATCL inaendeshwa kwa hasara kubwa sana na haitakuja kuendeshwa kwa faida hata baada ya miaka 15 ijayo.

Biashara ya usafiri wa anga ni ngumu sana na mashirika mengi duniani yanauzwa, kufa au kuingia kwenye ubia

ATCL haina ubavu wa kushindana na mashirika mengi duniani hivyo hasara zitaendelea mwaka hadi mwaka ni lini sasa Serikali itasema hizi ruzuku sasa imetosha!?

Kama Serikali HAIFICHI madudu na uozo ATCL kwanini CAG anazuiliwa kukagua gharama za kununua ndege na uendeshaji wa shirika hilo kinyume na utaratibu husika!?

Msiukimbie ukweli kuhusu ATCL, hilo shirika ni bomu na litaendelea kuwa bomu kwa miaka mingi ijayo kama Serikali haitastuka mapema.

ATCL hawawezi kupata faida baada ya mwaka wa kwanza au wa pili baada ya kuanza kazi. FYI mashirika mengi ya ndege hayafanyi kazi kupata faida bali ni service kama unavyoona Hospitali, Mashule nk. British Airways hawapati faida bali ni reputation kwa nchi yao. KLM etc. Hata Emirates hawapati faida kama unavyofikiria. Ni mashirika machache sana duniani ya ndege yanayofanya hiyo biashara kwa faida. Virgin Airways na galactica yake alikuwa anabebwa na UK Government etc. Kinachotakiwa ni kuona hiyo service itawasaidiaje Watanzania kuweza kufanya mambo mengine makubwa zaidi kwa urahisi. Fikiria nje ya box.
 
ATCL hawawezi kupata faida baada ya mwaka wa kwanza au wa pili baada ya kuanza kazi. FYI mashirika mengi ya ndege hayafanyi kazi kupata faida bali ni service kama unavyoona Hospitali, Mashule nk. British Airways hawapati faida bali ni reputation kwa nchi yao. KLM etc. Hata Emirates hawapati faida kama unavyofikiria. Ni mashirika machache sana duniani ya ndege yanayofanya hiyo biashara kwa faida. Virgin Airways na galactica yake alikuwa anabebwa na UK Government etc. Kinachotakiwa ni kuona hiyo service itawasaidiaje Watanzania kuweza kufanya mambo mengine makubwa zaidi kwa urahisi. Fikiria nje ya box.
Mkuu huyo hawezi kufikiria nje ya box! Ulishamwona mwanasaccos anafikiria nje ya box?
 
Mie SIKURUPUKI ATCL ni 💣 mwacheni CAG aanike UOZO tangu kununua hizo ndege za trillion 2 na uendeshaji wake badala ya kumwaga ruzuku za mabilioni pesa za walipa kodi huku mkijiita wazalendo. Uzalendo wa kuficha ukweli wa yanayojiri ndani ya ATCL si uzalendo bali ni UHUNI, WIZI na UFISADI

Na serikali zote za ccm zinajulikana kwa kashfa kubwa sana za WIZI na UFISADI kuanzia EPA, IPTL, KIWIRA, Meremeta, Richmond/Dowans, Escrow etc na hii ATCL endeleeni kuficha WIZI NA UFISADI kwa kumzuia CAG asikague financial statements. ATCL ni kashfa nyingine kubwa sana kuliko kashfa zote zilizowahi kutokea Nchi hii in TRILLIONS OF SHILLINGS.

Unadhani ni kwanini huyo aliyekupora mke JIWE alitaka sheria imkinge ili asishtakiwe kwa maovu yake akiwa madarakani?

Fungua akili yako wewe acha kutetea UZEMBE, WIZI na UFISADI halafu nenda kachukue mke wako ACHA WOGA!



Acha siasa zako be objective. 😂😂😂
 
Mie SIKURUPUKI ATCL ni 💣 mwacheni CAG aanike UOZO tangu kununua hizo ndege za trillion 2 na uendeshaji wake badala ya kumwaga ruzuku za mabilioni pesa za walipa kodi huku mkijiita wazalendo. Uzalendo wa kuficha ukweli wa yanayojiri ndani ya ATCL si uzalendo bali ni UHUNI, WIZI na UFISADI

Na serikali zote za ccm zinajulikana kwa kashfa kubwa sana za WIZI na UFISADI kuanzia EPA, IPTL, KIWIRA, Meremeta, Richmond/Dowans etc na hii ATCL endeleeni kuficha WIZI NA UFISADI kwa kumzuia CAG asikague financial statements.

Unadhani ni kwanini huyo aliyekupora mke JIWE alitaka sheria imkinge ili asishtakiwe kwa maovu yake akiwa madarakani?

Fungua akili yako wewe acha kutetea UZEMBE, WIZI na UFISADI halafu nenda kachukue mke wako ACHA WOGA!
Hata haueleweki!!
 
Nilisafiri sana kwa mashaka. Ila hiyo ndo ukweli wenyewe. Nilitaka kupiga picha lakini kwasababu ya uzalendo na nilikaa jirani na kiongozi flan katika moja wapo ya mashirika ya umma nchini
Mkuu Marashi ,ungepiga picha na kuipeleka kwa Mh. JPM,hakika ungekuwa mzalendo halisi,maana nina imani hatua kali na stahiki zingechukuliwa.
Mimi naamini kabisa kabisa kuwa kama tukiwa na ushahidi wa madudu yanayotokea serikalini na mashirikani,hatua kali zitachukuliwa na wahusika.
 
Ww nimekugundua ni mpuuzi mmoja tu yn reference yako ni Jf? Hyo hasara umeitolea wapi wkt statement of comprehensive Income ya Atcl ina mda hawajaifanyia disclosure umepata wapi kujua km the corporation has been operating under a loss? Hata kama ina operate under under a loss hyo ni kitu tunachotegemea cz tng walifufue shirika limekuwa likilipa madeni yaliyopita yn limekuwa likipunguza madeni so kwa mtu yeyote makini hawezi kutegemea profit kwa Atcl recently.

But all in all shirika lipo linapiga kazi na ndege zinazd kuongezeka hvyo basi kwenu ninyi wanasiasa itawawia vigumu sana kipindi hiki cha huyu mzee cz hataki siasa nyingi kwenye kazi ambapo inawapelekea muwe na wakati mgumu mno cz siasa ndiyo kazi yenu.
Mkuu,wewe ni yule binti wa Masoko ambaye huna uwezo wa nafasi hiyo? Yule ambaye ana "walk" na babayake profeseri?
 
Nasimama na mleta mada. Pamoja na juhudi kubwa za Mh. Rais za kufufua shirika letu la ndege, kama uongozi na wafanyakazi wa ATCL hawatafanya kazi kwa weledi shirika litakufa. Uzembe ni lazima ukemewe. Tuache kuendekeza uzembe kwa kigezo cha 'mapungufu ya kibinadamu'.
Halafu wana sera yao fulani ya "ticket refund". Eti huwezi kupata refund mpaka miezi sita ipite ndiyo uanze kufuatilia hiyo refund yako.
 
Back
Top Bottom