Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Inaruka ikiwa na chini ya abiria 100 (nadhani ina uwezo wa kuchukua abiria 150). Sijui bei yake ni bora kuliko ndege nyingine zinazoenda Afrika ya Kusini... halafu imepewa kikomo cha umbali wa kuruka angani kutokana ma masuala ya kiufundi....
Natamani kujua ki-ufundi hii ina maana gani?