Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Siwezi kuamini kwamba mwaandishi makini kama Mzee Mwanakijiji ameshindwa kukaa na habari yake mpaka asikilize upande wa pili alafu ndio atuletee habari kamili...? Sio habari nusu ijaziliwe na wananchi...
Hahaha... sijui uandishi lakini kwa speed hii!!! Taifa linazama...
Kwi kwi kwi Kasheshe,
Ndio maana imeandikwa kuwa inaendela,..... moja ya news inayoendelea huwa ni kuwa yaweza kubadilika ..... siamini hukuona hilo mzee......lol