Phlagiey
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,500
- 1,688
Khantwe umeamua kuja kunisemea huku si ungeniambia tu kama haupendezwi na hiyo tabia.
Mbona huwa unachukia nisipokuja kula kwako...
Mbona nikikuambia niko bar na marafiki nakula nyama unanuna.
Mbona kodi ya nyumba nilikulipia mwaka mzima sikuona shida yoyote.
Ile tv na subwoofer nani alikununulia kama sio mimi.
Alie kutafutia hiyo kazi na akatoa pesa ya kuhonga ukaipata sio mimi mbona sikudai hiyo pesa.
Ukiugua huwa unamdekea nani kama sio mimi na huwa nagharamia matibabu yote, je nikudai?
Mbona nilikuambia nina mpango wa kuwa na kula hotelini ukasema nadharau chakula chako.
Chakula unakuja kunisemea huku, wakati nikila usiku asubuhi nakwenda kujisaidia msalani.
Sasa nikikuoa utavumilia kuishi na ndugu ambao wataishi kwetu wakiwa hawana kazi si utasema wanajaza choo.
Kweli Khantwe nilie kuita mke mwema leo unauvua utu wangu sababu ya chakula.
Ina maana kutochangia kununua chakula kwako kumefuta mema yangu yote.
Upendo wako uko wapi au nikwenye kuchangia chakula tu?[/B]
Mbona huwa unachukia nisipokuja kula kwako...
Mbona nikikuambia niko bar na marafiki nakula nyama unanuna.
Mbona kodi ya nyumba nilikulipia mwaka mzima sikuona shida yoyote.
Ile tv na subwoofer nani alikununulia kama sio mimi.
Alie kutafutia hiyo kazi na akatoa pesa ya kuhonga ukaipata sio mimi mbona sikudai hiyo pesa.
Ukiugua huwa unamdekea nani kama sio mimi na huwa nagharamia matibabu yote, je nikudai?
Mbona nilikuambia nina mpango wa kuwa na kula hotelini ukasema nadharau chakula chako.
Chakula unakuja kunisemea huku, wakati nikila usiku asubuhi nakwenda kujisaidia msalani.
Sasa nikikuoa utavumilia kuishi na ndugu ambao wataishi kwetu wakiwa hawana kazi si utasema wanajaza choo.
Kweli Khantwe nilie kuita mke mwema leo unauvua utu wangu sababu ya chakula.
Ina maana kutochangia kununua chakula kwako kumefuta mema yangu yote.
Upendo wako uko wapi au nikwenye kuchangia chakula tu?[/B]