Atayaweza majukumu huyu kweli?

Atayaweza majukumu huyu kweli?

Lile tendo halihitaji mfahamiane kwa miaka kadhaa.... Siku mbili tu wengine wanakuwa washaanza kuchujiana protini.

Ni maisha yao.....kwani wote tuna fomula moja ya maisha?
 
inawezekana akawa na hali mbaya kifedha kaa nae umuulize vzr. pengine ndio maana huwa anapita kwako anajua asipopita ndo kapiga desh
 
Unakuja kuomba ushauri JF hivi ndoa yako/uchumba wako utapona kweli???? labda uwe ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana kiakili kwenye kuchambua mawazo ya watu ndipo unaweza kupata hitimisho sahihi,vinginevyo umekuja kumalizia mahusiano yako hapa LOL!!

kwel kabisa na sitak kumleta mamsapu huku maana.
 
Stop dreaming my dear! Huyo mwanaume hakufai kabisa...na majukumu yake hasa ni yapi kama hawezi kusaidia hats hela ya chakula kwa ampendae!??
Acha kujipa moyo kwenye hamna.....am telling you! Nyota njema huonekana asubuhi!
 
Stop dreaming my dear! Huyo mwanaume hakufai kabisa...na majukumu yake hasa ni yapi kama hawezi kusaidia hats hela ya chakula kwa ampendae!??
Acha kujipa moyo kwenye hamna.....am telling you! Nyota njema huonekana asubuhi!

The thread is irrellevant, jamaaa alishapigwa chini kitambo tu.
 
So hata lunch /dinner hakutoi?be careful usije kuwa unapoteza mda hawana shukran hawa kwenye hard times unamjali kwa kila halo ila akipata vijisent baadae anakuona wa kaz gani lol......wanaume you need to Think like a man and act like a lady ndo unawaweza
 
Kimbia,toka nduki,toka faster,ukiangua ukiumia inuka vumilia,mkimbie sana mario huyo,sio husbund type kabisa

te te te....wanaitwa ganda la ndizi aka utelezi hawataki majukumu kaz yao kukamua tu...pole
 
Usiolewe ukitegemea mabadiliko ya Tabia ndani ya ndoa ni ngumu mno .lakn kama unahis utavumilia go on.....
 
Nimefanyaje tena....yani mimi ndo nikufanye uikatie tamaa jf?

kati ya ID ambazo naziheshimu sana mojawapo ni hii ya kwako..., nikawa nakuona kama upo kushauri wengine as Great thinker, hata hivyo nlijisahau kuwa kumbe mganga hajitibu.

naamini hujanielewa vibaya, si lengo langu kukukwaza.
 
Back
Top Bottom