othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 7,524
- 11,860
Halafu morogoro angepiga hela, angejiweka pembeni ya samakisamaki pale asingekosa soko, pale mwanza ukienda unakuta wahudumu tu tena wanapiga mihayo na kwa nadra sn mteja mmoja mmoja na mwenyewe akitoka hapo harudi tena.Au hata Morogoro hivi
Huko kakosea sana location, hivi samaki samaki moro ipo kwa wapi?Halafu morogoro angepiga hela, angejiweka pembeni ya samakisamaki pale asingekosa soko, pale mwanza ukienda unakuta wahudumu tu tena wanapiga mihayo na kwa nadra sn mteja mmoja mmoja na mwenyewe akitoka hapo harudi tena.
Ukiwa superbite samakisamaki unatembea tu kwa mguu unafika.Huko kakosea sana location, hivi samaki samaki moro ipo kwa wapi?
Huyo tapeli bufee yake aliniuzia samaki peke yake 15k sina hamu naye.Biashara ya chakula n usimamizi, unatakiwa kua very punctual bila hivyo una poteza uhaalisia wa unacho tangaza na unacho uza koz wafanyakaz watakupa fake upost halafu wanacho hudumia n kingine๐ฎ, nampongeza esha buheti ana jitahidi
Kuwa serious mkuu mtwara wana bahari Songea wana ziwa iweje samaki wawe hadimu??Angepeleka labda mtwara huko, songea na maeneo ambayo samaki ni adimu
Zingatia neno samaki mkuuKuwa serious mkuu mtwara wana bahari Songea wana ziwa iweje samaki wawe hadimu??
Ni kweli,mwanza mihogo na samaki sio vitu vya kukimbiliaHiyo biashara kwa mwanza itamsumbua sn, mwanza hawana ushamba na.samaki angepeleka maeneo ambayo kidogo samaki ni changamoto
Hao hap samaki mkuu wanaovuliwa dar na wanaovuliwa mtwara wana tofauti gani?? Tena mtwara ina vua samaki kuliko hata dar na tangaZingatia neno samaki mkuu
Huna d mbili mkuuHao hap samaki mkuu wanaovuliwa dar na wanaovuliwa mtwara wana tofauti gani?? Tena mtwara ina vua samaki kuliko hata dar na tanga
Lakin kitamu, sifa zake mpe bhna na kuhusu bei we sema hukua na hela wakat huo๐๐๐Huyo tapeli bufee yake aliniuzia samaki peke yake 15k sina hamu naye.
Hata kama ndio titafute hela sio kwa gharama hizo aisee ile siku nilijua kujilipua....bajeti ya kula siku 5 nilikula kwa lunch tu.
Sahani nzima ilikuwa 47k.
Hawa toboi, ndo maana hata bei zake zime simama๐ซกEsha ndo wanataka kumpambanisha na shishi food aloo
Kazimoto nlienda ingawa mda kidogo i was so disappointed, chakula cha baridi huduma hovyo labda wawe wamejirekebisha saivi.Siku moja nataka nikajaribu kwenda kwa Kazimoto pork nione yaliyomo yamo maana huko mitandaoni naona watu wanafaidi
Mezea ewe mpishi mkuu usimuharibieKwahy nisisema ukweli hajui ๐๐ hivi ushawai kaanga samaki alie toka kwenye friji na uku muacha mda mrefu apoe? Ndio wao wanavyo pika wababua samaki
๐ค๐ค ila ndio ivyooMezea ewe mpishi mkuu usimuharibie
Ana babua samaki hakaangwiHata coco wanakaanga samaki ovyo sana, nilienda siku moja sitegemei kurudi hata kwa kulipwa.