Aslay mihogo Mwanza

Tushajua leo ulikula mihogo kwa Aslay. Umeeaanzaaa mbaaali.
 
Biashara ya chakula n usimamizi, unatakiwa kua very punctual bila hivyo una poteza uhaalisia wa unacho tangaza na unacho uza koz wafanyakaz watakupa fake upost halafu wanacho hudumia n kingine🚮, nampongeza esha buheti ana jitahidi
 
Wakina Martin, Ringo, shafii watoa scene huko kila siku na misamaki mikubwa inameremeta😆
 
Biashara ya chakula n usimamizi, unatakiwa kua very punctual bila hivyo una poteza uhaalisia wa unacho tangaza na unacho uza koz wafanyakaz watakupa fake upost halafu wanacho hudumia n kingine🚮, nampongeza esha buheti ana jitahidi
Esha ndo wanataka kumpambanisha na shishi food aloo
 
Sato fresh kabisa au sangara walionona mapanki ni isues za mutandaoni na propaganda tu ukishindwa kabisa unakula furu zako za kutosha.

Nani kakwambia tunahangaika?
 
Labda ujaribu huko lkn aslay mihogo wa mwanza biashara lazima imkate, nikitaka samaki hasa sato huwa nashuka kule sokoni samaki unamuona anatoka majini halafu unakaangiwa vizuri.
Kwa huko Mwanza samaki ni wengi, watu hawana mzuka na samaki
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…