Aslay hizi sasa sifa zimezidi kipimo

Kwa hiyo tunyamaze?
Mkuu mwambie chumbani "baby fua chupi oga vizuri, mm napenda ukikata kiuno ataelewa sasa mkuu unavumilia miaka yote hiyo halafu mkiachana ndo unamwambia kama sio maneno ya mkosaji
 
HV ww ulishawahi kumwambia huyo mwanamke ulokutana nae kwamba ananuka zaidi ya kuja kulalamika Jf?? Nyie ndo hamjielewi sasa unakaaje na mwanamke wa vile muda huo wote bila kumwambia unasubiri muachane ndo umwambie . hahaaa mm mnanifurahishaga sometimes
Tumeumbwa na aibu,na ndio maana wakati mwingine ukigegeda mara moja unamblock kila mahali maana ile harufu inakuwa haitoki puani.
 
tatizo lake i kutaka kutoa nyimbo nyingi mno katika mwaka mmojasasa anakosa cha kuiimba na hatimaye anaimba utumbo,na ni dhahiri hana mshauri
Nachojua mm aliibiwa flash disk yenye nyimbo ambazo hajarelease ndo mana anafanya hivyo ili mtu asijetoa akajimilikisha
 
Mkuu mwambie chumbani "baby fua chupi oga vizuri, mm napenda ukikata kiuno ataelewa sasa mkuu unavumilia miaka yote hiyo halafu mkiachana ndo unamwambia kama sio maneno ya mkosaji
Maneno ya mkosaji wakati umegegda miaka 3?Hakuna mpaka uambiwe hayo yote we mwanamke wa vipi?
 
Tumeumbwa na aibu,na ndio maana wakati mwingine ukigegeda mara moja unamblock kila mahali maana ile harufu inakuwa haitoki puani.
Huyo wa Mara moja sawa hapa nazungumzia huyo alimuimba aslay kakaa naye muda wote huo alikuwa hayaoni mpaka amemuacha ndo alalamike redioni
 
Habari za mchana wana Jf , mimi binafsi ni shabiki mkubwa wa nyimbo za dogo aslay ukweli ni kwamba dogo anajitahidi ila kilonifanya niandike hii thread kuna wimbo wa aslay umetoka sijui kautoa mwenyewe au umevuja au vipi maana wimbo wenyewe una verse moja tu lakini mashairi ya wimbo huo hayajawafurahisha wanawake wengi ikiwemo Mimi.

Ni wimbo ambao unamdhalilisha mwanamke huyu dogo anapaswa atambue kwamba mashabiki wa mziki wake wengi ni wanawake hata kama umeachana na mwanamke huwezi kumtolea matusi kama ya kwenye wimbo wa aslay so aslay kama umo humu Jf acha kudhalilisha wanawake ambao ndo mashabiki zako wakubwa including Ray 4 real.
Baadhi ya mashairi katika huo wimbo;

Kiuno kizito kama engine ya fuso ,
Hauna lolote kitandani yaani upopo,
Unashindwa hata kufua vichupi vyako,
Unanuka jasho makwapani kama choo cha soko..

Hayo ni baadhi ya mashairi kwa kweli hayajatufurahisha wanawake na ni udhalilishaji
So aslay if u are also in Jf na ukasoma hii thread ujue umetudsappoint 90% ya wanawake Tz. Yangu ni hayo sema nimeshindwa kuapload hiyo audio.
Pole sana ila ndiyo kazi ya fasihi hapa anawakosoa wale wote wenye sifa hizo ili wajirekebishe ila tatizo hapa fasihi iliyotumika ni ya mtaani sana na isiyo na staha.
 
Nilileta uzi humu wa hizi harufu mwisho ukafutwa kwa sababu ya uchochezi na ugonvi wa rafiki yangu kapeace,Nendeni sasa mkafungie na nyimbo nyie modes si mnauwezo?
 
Maneno ya mkosaji wakati umegegda miaka 3?Hakuna mpaka uambiwe hayo yote we mwanamke wa vipi?
Tobaa ilahi kwahiyo unakaa miaka 3 na mwanamke kama wa aslay halafu baadae unakuja kulalamika.. Nyie alowaloga keshatangulia mbele za haki aisee
 
Tobaa ilahi kwahiyo unakaa miaka 3 na mwanamke kama wa aslay halafu baadae unakuja kulalamika.. Nyie alowaloga keshatangulia mbele za haki aisee
Kujipa moyo kuwa atabdilika lakini wapi!afu na ukute kiuno zero pia.Mkuu me nikikukuta na harufu ya prawns wallahi sirudi nakublock.
 
Habari za mchana wana Jf , mimi binafsi ni shabiki mkubwa wa nyimbo za dogo aslay ukweli ni kwamba dogo anajitahidi ila kilonifanya niandike hii thread kuna wimbo wa aslay umetoka sijui kautoa mwenyewe au umevuja au vipi maana wimbo wenyewe una verse moja tu lakini mashairi ya wimbo huo hayajawafurahisha wanawake wengi ikiwemo Mimi.

Ni wimbo ambao unamdhalilisha mwanamke huyu dogo anapaswa atambue kwamba mashabiki wa mziki wake wengi ni wanawake hata kama umeachana na mwanamke huwezi kumtolea matusi kama ya kwenye wimbo wa aslay so aslay kama umo humu Jf acha kudhalilisha wanawake ambao ndo mashabiki zako wakubwa including Ray 4 real.
Baadhi ya mashairi katika huo wimbo;

Kiuno kizito kama engine ya fuso ,
Hauna lolote kitandani yaani upopo,
Unashindwa hata kufua vichupi vyako,
Unanuka jasho makwapani kama choo cha soko..

Hayo ni baadhi ya mashairi kwa kweli hayajatufurahisha wanawake na ni udhalilishaji
So aslay if u are also in Jf na ukasoma hii thread ujue umetudsappoint 90% ya wanawake Tz. Yangu ni hayo sema nimeshindwa kuapload hiyo audio.


Wasanii wa bongo fleva wana mashairi mazuri?
 
Pole sana ila ndiyo kazi ya fasihi hapa anawakosoa wale wote wenye sifa hizo ili wajirekebishe ila tatizo hapa fasihi iliyotumika ni ya mtaani sana na isiyo na staha.
Nami najua na hakuna MTU anaependa tabia za mwanamke wa dizain hii lkn ule wimbo kwakweli maneno sio mazuri kuyatamka ktk jamii kumbuka kuna mama, Dada ,shangazi nao wanasikia
 
Back
Top Bottom