yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,553
- 3,515
Hahhaa vipi mama wewe ndo una kiuno kizito kama injini ya Fuso? Maana umeguswq kweli kweli.
Kibamia, dume suruali n.k mbona hayasemwi chumbani ni mitandaoni ila vidume hatusemi tunadhalilishwaKuna mambo ambayo ni ya kuongea chumbani ukishaweka hadhalani umemdhalilisha mlengwa au unafikiri ukimwambia mwanaume hujui Kazi kitandani watu wakasikia si umemdhalilisha
Mkuu mwambie chumbani "baby fua chupi oga vizuri, mm napenda ukikata kiuno ataelewa sasa mkuu unavumilia miaka yote hiyo halafu mkiachana ndo unamwambia kama sio maneno ya mkosajiKwa hiyo tunyamaze?
Ndo maana kuna haki za mwanamke hakuna haki za mwanaumeKibamia, dume suruali n.k mbona hayasemwi chumbani ni mitandaoni ila vidume hatusemi tunadhalilishwa
Tumeumbwa na aibu,na ndio maana wakati mwingine ukigegeda mara moja unamblock kila mahali maana ile harufu inakuwa haitoki puani.HV ww ulishawahi kumwambia huyo mwanamke ulokutana nae kwamba ananuka zaidi ya kuja kulalamika Jf?? Nyie ndo hamjielewi sasa unakaaje na mwanamke wa vile muda huo wote bila kumwambia unasubiri muachane ndo umwambie . hahaaa mm mnanifurahishaga sometimes
Nachojua mm aliibiwa flash disk yenye nyimbo ambazo hajarelease ndo mana anafanya hivyo ili mtu asijetoa akajimilikishatatizo lake i kutaka kutoa nyimbo nyingi mno katika mwaka mmojasasa anakosa cha kuiimba na hatimaye anaimba utumbo,na ni dhahiri hana mshauri
Maneno ya mkosaji wakati umegegda miaka 3?Hakuna mpaka uambiwe hayo yote we mwanamke wa vipi?Mkuu mwambie chumbani "baby fua chupi oga vizuri, mm napenda ukikata kiuno ataelewa sasa mkuu unavumilia miaka yote hiyo halafu mkiachana ndo unamwambia kama sio maneno ya mkosaji
Huyo wa Mara moja sawa hapa nazungumzia huyo alimuimba aslay kakaa naye muda wote huo alikuwa hayaoni mpaka amemuacha ndo alalamike redioniTumeumbwa na aibu,na ndio maana wakati mwingine ukigegeda mara moja unamblock kila mahali maana ile harufu inakuwa haitoki puani.
Pole sana ila ndiyo kazi ya fasihi hapa anawakosoa wale wote wenye sifa hizo ili wajirekebishe ila tatizo hapa fasihi iliyotumika ni ya mtaani sana na isiyo na staha.Habari za mchana wana Jf , mimi binafsi ni shabiki mkubwa wa nyimbo za dogo aslay ukweli ni kwamba dogo anajitahidi ila kilonifanya niandike hii thread kuna wimbo wa aslay umetoka sijui kautoa mwenyewe au umevuja au vipi maana wimbo wenyewe una verse moja tu lakini mashairi ya wimbo huo hayajawafurahisha wanawake wengi ikiwemo Mimi.
Ni wimbo ambao unamdhalilisha mwanamke huyu dogo anapaswa atambue kwamba mashabiki wa mziki wake wengi ni wanawake hata kama umeachana na mwanamke huwezi kumtolea matusi kama ya kwenye wimbo wa aslay so aslay kama umo humu Jf acha kudhalilisha wanawake ambao ndo mashabiki zako wakubwa including Ray 4 real.
Baadhi ya mashairi katika huo wimbo;
Kiuno kizito kama engine ya fuso ,
Hauna lolote kitandani yaani upopo,
Unashindwa hata kufua vichupi vyako,
Unanuka jasho makwapani kama choo cha soko..
Hayo ni baadhi ya mashairi kwa kweli hayajatufurahisha wanawake na ni udhalilishaji
So aslay if u are also in Jf na ukasoma hii thread ujue umetudsappoint 90% ya wanawake Tz. Yangu ni hayo sema nimeshindwa kuapload hiyo audio.
Tobaa ilahi kwahiyo unakaa miaka 3 na mwanamke kama wa aslay halafu baadae unakuja kulalamika.. Nyie alowaloga keshatangulia mbele za haki aiseeManeno ya mkosaji wakati umegegda miaka 3?Hakuna mpaka uambiwe hayo yote we mwanamke wa vipi?
Kujipa moyo kuwa atabdilika lakini wapi!afu na ukute kiuno zero pia.Mkuu me nikikukuta na harufu ya prawns wallahi sirudi nakublock.Tobaa ilahi kwahiyo unakaa miaka 3 na mwanamke kama wa aslay halafu baadae unakuja kulalamika.. Nyie alowaloga keshatangulia mbele za haki aisee
Kwani unazo hizo sifa alotaja Asley hapo juu???
Habari za mchana wana Jf , mimi binafsi ni shabiki mkubwa wa nyimbo za dogo aslay ukweli ni kwamba dogo anajitahidi ila kilonifanya niandike hii thread kuna wimbo wa aslay umetoka sijui kautoa mwenyewe au umevuja au vipi maana wimbo wenyewe una verse moja tu lakini mashairi ya wimbo huo hayajawafurahisha wanawake wengi ikiwemo Mimi.
Ni wimbo ambao unamdhalilisha mwanamke huyu dogo anapaswa atambue kwamba mashabiki wa mziki wake wengi ni wanawake hata kama umeachana na mwanamke huwezi kumtolea matusi kama ya kwenye wimbo wa aslay so aslay kama umo humu Jf acha kudhalilisha wanawake ambao ndo mashabiki zako wakubwa including Ray 4 real.
Baadhi ya mashairi katika huo wimbo;
Kiuno kizito kama engine ya fuso ,
Hauna lolote kitandani yaani upopo,
Unashindwa hata kufua vichupi vyako,
Unanuka jasho makwapani kama choo cha soko..
Hayo ni baadhi ya mashairi kwa kweli hayajatufurahisha wanawake na ni udhalilishaji
So aslay if u are also in Jf na ukasoma hii thread ujue umetudsappoint 90% ya wanawake Tz. Yangu ni hayo sema nimeshindwa kuapload hiyo audio.
Nami najua na hakuna MTU anaependa tabia za mwanamke wa dizain hii lkn ule wimbo kwakweli maneno sio mazuri kuyatamka ktk jamii kumbuka kuna mama, Dada ,shangazi nao wanasikiaPole sana ila ndiyo kazi ya fasihi hapa anawakosoa wale wote wenye sifa hizo ili wajirekebishe ila tatizo hapa fasihi iliyotumika ni ya mtaani sana na isiyo na staha.
wapi imeandikwa hiyo haki mkiwa wachafu muambiwe chumbani tu, alaf usiwe selfish coz hizo haki ni moja ya njia za kumsupport mwanamke asinyanyasike tu, usijidanganye wanawake ndo mna haki wanaume hawanaNdo maana kuna haki za mwanamke hakuna haki za mwanaume