Akilihuru
JF-Expert Member
- May 20, 2022
- 1,444
- 2,832
Wakuu inakuaje, nina amini kila mtu yuko vizuri kiafya au sio wakuu.
Sasa leo nawaletea mada muhimu, na yenye kueleweka vizuri kwa kila mtu atakaesoma thread hii. Mada hii inamhusu rapper maarufu wa muda wote 2pac Amaru Shakur, ambae pamoja na kwamba ameshafariki miaka 26 iliyopita, Lakini mziki wake au ujumbe wake katika mziki unaendelea kuishi.
2pac au makaveli, ambapo wamarekani wenyewe wamempa sifa kwa kumpachika jina la 'The GOAT,' kirefu chake 'The Great Of All Time' (msaani bora wa muda wote) ni msaani aliefanya mambo makubwa katika mziki huo, hadi kupelekea wasanii wengi wakubwa katika mziki huo, walitoka kimziki kupitia baadhi ya mistari waliyoiba au ku copy kutoka katika nyimbo za mfalme huyo wa hip hop au rap. Na wasanii hao walioiba au ku copy kutoka kwa 2pac nimewaweka katika makundi matatu ya A, B na C.
A) Wapo waliotoka kwa ku copy au kuiba beat zake. Wasanii hao ni👇
1) Jay z ft Beyonce - 'Me and my girlfriend', Jay z aliu copy wimbo huo kutoka katika ile nyimbo ya 2pac ya 'Me and my girlfriend.'
Kwa wafuatiliaji wa mambo ya hip hop bila shaka washawahi kuzisikia nyimbo hizi. Na ikumbukwe kabla ya 2pac kufa, 2pac na Jay walikuwa na diss (ugomvi) ndo maana 2pac alimchana jay z live katika wimbo wake wa 'Bomb first'
2) Nas - huyu ashawahi ku copy beat ya 2pac afu akaingiza mistari ambayo ilikuwa imechanganywa na baadhi ya mistari iliyo katika nyimbo za 2pac (wimbo nimeusahau) Lakini tofauti na wasanii wengine, Nas ali copy nyimbo ya 2pac huku 2pac mwenyewe akiwa hai.
Pac alipotoka hospital baada ya kutolewa risasi tano alizopigwa, kitu cha kwanza alitunga nyimbo kuhusiana na tukio hilo la kupigwa risasi tano. Sasa baada ya siku chache baadae Nasi nae akatoa ya kwake inayolingana na ya Pac ikiwa na beat pamoja na ujumbe unaofanana na ule wa 2pac, jambo lililopelekea 2pac achukie na kutunga nyimbo ya kumpaka Nas mazima. Wimbo huo unaitwa 'Against all odds' 2pac alimpaka Nas, pamoja na Puffy Daddy live bila kumung'unya mung'unya maneno. Hapo chini naweka baadhi tu ya maneno katika verse ya kwanza akimchana Nas baada ya ku copy kutoka kwa 2pac 👇
🎶 This little nigga named Nas thinks he live like me, talking bout how he left the hospita took five like me.
You living fantasies, nigga i reject your deposit🎶 Kwa tafsiri isiyo rasmi (Huyu dogo anaeitwa Nas anafikiri anaishi kama mimi, anaongelea kuhusu kutoka hospital baada ya kupigwa risasi tano kama mimi.
Unaishi kwa nguvu za soda dogo, nigga sikubaliani na kile ulichoimba) hapo chini aliendelea kumchana kupitia verse ya mwisho ya wimbo huo 👇
🎶 Hey Nas you whole damn style is weak you heard my melody, read bout my life in the papers.
All my run-in with authorities felonious capers now you want to live my life, so what's the deal niggas that don't ride right.
You've seen too many movies, load em up against the wall, close his eyes since you lie, you die, goodbyee.
Let the real life niggas hear the truth from me,
What would you do if you was me nigga (against all odds)
B) wapo waliotoka kwa ku copy tu mistari yake, wasanii hao ni 👇
1) 50 Cent - hail marry, wimbo huu 50 alikuwa akim diss Ja rule, kuna baadhi ya maneno mengi katika verse yake aliyatoa kwenye wimbo wa 2pac wa Against all odds. Ngoja nitawawekea mistari ya 2pac na 50 cent hapo chini muone ninachomaanisha 👇
Verse ya 2pac 👉 🎶 This little nigga named Nas thinks he live like me, talking bout he left the hospital took five like me.
You living fantasies, nigga i reject your deposit.
Verse ya 50 cent 👉 🎶 Lil nigga named Ja (Ja rule) think he live like me, talking bout he left the hospital took nine like me. You living fantasies, nigga i reject your deposit.
2) Eminem nae hakuwa nyuma kwenye wimbo huo akaimba baadhi ya mistari ya verse kwenye nyimbo husika wa 2pac (kabla ya hapo Eminem alikuwa anaimba rap katuni, ile ya uchale chale) kwa wafuatiliaji wa ngoma za Eminem kuanzia mwaka 2012 kushuka chini wanafahamu ukatuni wake 😂😂😂😂.
3) Lil Wayne huyu nae ashaiga mengi mpaka kupelekea kutunga nyimbo inayofanana na ya 2pac, alipohojiwa na yeye alieleza jinsi anavyomkubali na kumheshim 2pac hadi kupelekea kutunga nyimbo inayofanana na ya 2pac inayoita 'Keep ya head' wimbo huu 2pac alikuwa ameutunga mahsusi kwa wanawake.
Hili kundi 'B' wapo wengi ila kwa kufupisha mada acha niishie kwa hao wawili.
C) Wapo waliotoka kwa ku copy style ya maisha ya 2pac, aidha kwa kutembea kama Pac, kuvaa kama Pac, kuchora tattoo zinazotaka kufanana na za Pac nk.
Muda kidogo nitakuja na baadhi ya wasanii wakubwa walio copy style hizo nilizoandika hapo juu. Hii inaonesha ni jinsi gani mfalme huyo wa hip hop anavyoheshimika na kukubalika kuliko msanii yeyote wa mziki huo na ndio maana wengi wametoka kupitia nyimbo zake na style zake.
Baada ya picha ya Nas akionesha heshima (respect) na utiifu kwa Pac kwa kuvaa t-shirt yenye picha ya Pac pamoj na kitambaa cha kichwani. Hapo chini kabisa nimeweka video ya Em na 50 wakionesha na wao utiifu wao kwa King (mfalme) wa Hip Hop 2Pac Amaru Shakur ambae ndio nembo kuu ya mziki huo kama ilivyo kwa Bob Marley Reggae au Michael Jackson Pop.
Kama mtu hafamu lugha ya malkia waliyotumia kina Em na 50 Cent ni bora atafute wa kumtafsiria ili awe na uelewa wa kile kilichozungumzwa na wasaani hao wawili wakubwa wa Marekani kuhusu King wao. Najua wapo watakaopinga lkn hii haiwezi kuondoa ukweli maana kila kitu kipo wazi kupitia kauli zao, mavazi yao, tatoo zao na nyimbo zao.
Pac For Life
Sasa leo nawaletea mada muhimu, na yenye kueleweka vizuri kwa kila mtu atakaesoma thread hii. Mada hii inamhusu rapper maarufu wa muda wote 2pac Amaru Shakur, ambae pamoja na kwamba ameshafariki miaka 26 iliyopita, Lakini mziki wake au ujumbe wake katika mziki unaendelea kuishi.
2pac au makaveli, ambapo wamarekani wenyewe wamempa sifa kwa kumpachika jina la 'The GOAT,' kirefu chake 'The Great Of All Time' (msaani bora wa muda wote) ni msaani aliefanya mambo makubwa katika mziki huo, hadi kupelekea wasanii wengi wakubwa katika mziki huo, walitoka kimziki kupitia baadhi ya mistari waliyoiba au ku copy kutoka katika nyimbo za mfalme huyo wa hip hop au rap. Na wasanii hao walioiba au ku copy kutoka kwa 2pac nimewaweka katika makundi matatu ya A, B na C.
A) Wapo waliotoka kwa ku copy au kuiba beat zake. Wasanii hao ni👇
1) Jay z ft Beyonce - 'Me and my girlfriend', Jay z aliu copy wimbo huo kutoka katika ile nyimbo ya 2pac ya 'Me and my girlfriend.'
Kwa wafuatiliaji wa mambo ya hip hop bila shaka washawahi kuzisikia nyimbo hizi. Na ikumbukwe kabla ya 2pac kufa, 2pac na Jay walikuwa na diss (ugomvi) ndo maana 2pac alimchana jay z live katika wimbo wake wa 'Bomb first'
2) Nas - huyu ashawahi ku copy beat ya 2pac afu akaingiza mistari ambayo ilikuwa imechanganywa na baadhi ya mistari iliyo katika nyimbo za 2pac (wimbo nimeusahau) Lakini tofauti na wasanii wengine, Nas ali copy nyimbo ya 2pac huku 2pac mwenyewe akiwa hai.
Pac alipotoka hospital baada ya kutolewa risasi tano alizopigwa, kitu cha kwanza alitunga nyimbo kuhusiana na tukio hilo la kupigwa risasi tano. Sasa baada ya siku chache baadae Nasi nae akatoa ya kwake inayolingana na ya Pac ikiwa na beat pamoja na ujumbe unaofanana na ule wa 2pac, jambo lililopelekea 2pac achukie na kutunga nyimbo ya kumpaka Nas mazima. Wimbo huo unaitwa 'Against all odds' 2pac alimpaka Nas, pamoja na Puffy Daddy live bila kumung'unya mung'unya maneno. Hapo chini naweka baadhi tu ya maneno katika verse ya kwanza akimchana Nas baada ya ku copy kutoka kwa 2pac 👇
🎶 This little nigga named Nas thinks he live like me, talking bout how he left the hospita took five like me.
You living fantasies, nigga i reject your deposit🎶 Kwa tafsiri isiyo rasmi (Huyu dogo anaeitwa Nas anafikiri anaishi kama mimi, anaongelea kuhusu kutoka hospital baada ya kupigwa risasi tano kama mimi.
Unaishi kwa nguvu za soda dogo, nigga sikubaliani na kile ulichoimba) hapo chini aliendelea kumchana kupitia verse ya mwisho ya wimbo huo 👇
🎶 Hey Nas you whole damn style is weak you heard my melody, read bout my life in the papers.
All my run-in with authorities felonious capers now you want to live my life, so what's the deal niggas that don't ride right.
You've seen too many movies, load em up against the wall, close his eyes since you lie, you die, goodbyee.
Let the real life niggas hear the truth from me,
What would you do if you was me nigga (against all odds)
B) wapo waliotoka kwa ku copy tu mistari yake, wasanii hao ni 👇
1) 50 Cent - hail marry, wimbo huu 50 alikuwa akim diss Ja rule, kuna baadhi ya maneno mengi katika verse yake aliyatoa kwenye wimbo wa 2pac wa Against all odds. Ngoja nitawawekea mistari ya 2pac na 50 cent hapo chini muone ninachomaanisha 👇
Verse ya 2pac 👉 🎶 This little nigga named Nas thinks he live like me, talking bout he left the hospital took five like me.
You living fantasies, nigga i reject your deposit.
Verse ya 50 cent 👉 🎶 Lil nigga named Ja (Ja rule) think he live like me, talking bout he left the hospital took nine like me. You living fantasies, nigga i reject your deposit.
2) Eminem nae hakuwa nyuma kwenye wimbo huo akaimba baadhi ya mistari ya verse kwenye nyimbo husika wa 2pac (kabla ya hapo Eminem alikuwa anaimba rap katuni, ile ya uchale chale) kwa wafuatiliaji wa ngoma za Eminem kuanzia mwaka 2012 kushuka chini wanafahamu ukatuni wake 😂😂😂😂.
3) Lil Wayne huyu nae ashaiga mengi mpaka kupelekea kutunga nyimbo inayofanana na ya 2pac, alipohojiwa na yeye alieleza jinsi anavyomkubali na kumheshim 2pac hadi kupelekea kutunga nyimbo inayofanana na ya 2pac inayoita 'Keep ya head' wimbo huu 2pac alikuwa ameutunga mahsusi kwa wanawake.
Hili kundi 'B' wapo wengi ila kwa kufupisha mada acha niishie kwa hao wawili.
C) Wapo waliotoka kwa ku copy style ya maisha ya 2pac, aidha kwa kutembea kama Pac, kuvaa kama Pac, kuchora tattoo zinazotaka kufanana na za Pac nk.
Muda kidogo nitakuja na baadhi ya wasanii wakubwa walio copy style hizo nilizoandika hapo juu. Hii inaonesha ni jinsi gani mfalme huyo wa hip hop anavyoheshimika na kukubalika kuliko msanii yeyote wa mziki huo na ndio maana wengi wametoka kupitia nyimbo zake na style zake.
Baada ya picha ya Nas akionesha heshima (respect) na utiifu kwa Pac kwa kuvaa t-shirt yenye picha ya Pac pamoj na kitambaa cha kichwani. Hapo chini kabisa nimeweka video ya Em na 50 wakionesha na wao utiifu wao kwa King (mfalme) wa Hip Hop 2Pac Amaru Shakur ambae ndio nembo kuu ya mziki huo kama ilivyo kwa Bob Marley Reggae au Michael Jackson Pop.
Kama mtu hafamu lugha ya malkia waliyotumia kina Em na 50 Cent ni bora atafute wa kumtafsiria ili awe na uelewa wa kile kilichozungumzwa na wasaani hao wawili wakubwa wa Marekani kuhusu King wao. Najua wapo watakaopinga lkn hii haiwezi kuondoa ukweli maana kila kitu kipo wazi kupitia kauli zao, mavazi yao, tatoo zao na nyimbo zao.
Pac For Life