Askofu wetu leo kasema “Hakuna amani bila haki”

Askofu wetu leo kasema “Hakuna amani bila haki”

Mbwichichi

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2018
Posts
347
Reaction score
1,842
Katika misa ya Alhamisi kuu leo Askofu wetu aliyeongoza misa, katika salamu zake za siku ya alhamisi kuu amesema

“Tuendelee kuombe nchi yetu iwe na amani,kwa sababu uwepo wa amani ndio unafanya tunapata nafasi ya kuabudu kwa uhuru kiasi hiki, lakini wakati tunaiwazia amani tuhamasike kuhakikisha tunapata haki zetu, kwa sababu amani ni matokeo ya haki”

Hajafafanua kwa uwazi amelenga kitu gani lakini baada ya ibada kuisha watu walikaa kwa makundi makundi kujadiliana anamaanisha kitu gani.
 
Watanzania amani tuliyonayo ni sababu tuna uoga na ujinga. Na hii ndio karata CCM anayotumia kupata ushindi.
 
Ubabe wa CCM ni polisi na Uwoga ni kivuli cha Amani
 
Back
Top Bottom