Nimepata habari kwa mtu wa karibu kuwa walimuita kanisani binti kwa barua,lakini alipofika akaambiwa mzava kashindwa kufika sababu yupo safarini Dar.Kiimani huko Sina shida Nako, hiyo ndiyo ni makosa ila ,
Kisheria Binti anahoja , pingamizi lake lisikilizwe.