Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,671
- 40,912
Hawa Huwa wanaitwa Slow Learners, taratibu tu atakuelewa.Mkuu, alichoeleza ndugu mwenye uzi na anachoshauri ni haki ya kusikilizwa kwa wenye pingamizi, kwamba wasikilizwe na uamuzi utolewe. Uamuzi ni pamoja na kuliona pingamizi lililowekwa kuwa halina mashiko. Kanisa haliwezi kukaa kimya au kuamua tu bila kuwasikiliza wapingaji.
Ndicho anachoshauri mwanajamvi mwenzetu hapa. Masuala ya pingamizi kusimama au kushindwa hayo ni ya kimaamuzi baada ya usikilizaji wa pingamizi