Salaam, Shalom.
Askofu Shoo ametoa kauli iliyojaa HEKIMA na BUSARA, akitoa maoni Kwa niaba ya CCT, amesisitiza kuwa maoni ya wananchi yatolewayo kuhusu namna Gani uchaguzi huru na HAKI ufanyike, yaheshimiwe, yatiliwe maanani na yatekelezwe.
Amesema pia kuwa Si vyema mchakato huo ukatawaliwa na usanii. Ametoa kauli hiyo katika mkutano mbele ya baadhi ya wabunge waliohudhuria mkutano huo.
Amesema kuwa ikiwa mambo hayo matatu yatafanikiwa, watabarikiwa.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Amen.
Karibuni 🙏.
Source: Mwananchi digital.
Askofu Shoo ametoa kauli iliyojaa HEKIMA na BUSARA, akitoa maoni Kwa niaba ya CCT, amesisitiza kuwa maoni ya wananchi yatolewayo kuhusu namna Gani uchaguzi huru na HAKI ufanyike, yaheshimiwe, yatiliwe maanani na yatekelezwe.
Amesema pia kuwa Si vyema mchakato huo ukatawaliwa na usanii. Ametoa kauli hiyo katika mkutano mbele ya baadhi ya wabunge waliohudhuria mkutano huo.
Amesema kuwa ikiwa mambo hayo matatu yatafanikiwa, watabarikiwa.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Amen.
Karibuni 🙏.
Source: Mwananchi digital.