Askofu: Shetani anatufundisha kubadili mawe kuwa mkate, Waziri baada ya miezi mitatu tu ana ghorofa kumi, mabasi 100

Askofu: Shetani anatufundisha kubadili mawe kuwa mkate, Waziri baada ya miezi mitatu tu ana ghorofa kumi, mabasi 100

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
"Tunafundishwa daima na shetani kubadili mawe kuwa mkate, wewe ni waziri katika nchi badili mawe haya kuwa mkate, kweli waziri huyu baada ya miezi mitatu tu ana ghorofa 10, ana mabasi 100. Na nyie vijana wangu chochote utakachokipata, kama viongozi na hata kama ni waumini shetani yupo nyuma anataka kuwajaribu, badili mawe kuwa mkate. Ukimkubalia utaingia katika uovu na dhambi"

Mhashamu Renatus Nkwande, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza ameyasema hayo leo Aprili 29, 2025 katika adhimisho la Misa Takatifu ya shukrani kwa Miaka 2025 ya Ukristo duniani, itakayoambatana na uzinduzi wa Majengo ya Madarasa, katika Chuo Kikuu cha Kikatoliki Mbeya (CUoM).
 
"Tunafundishwa daima na shetani kubadili mawe kuwa mkate, wewe ni waziri katika nchi badili mawe haya kuwa mkate, kweli waziri huyu baada ya miezi mitatu tu ana ghorofa 10, ana mabasi 100. Na nyie vijana wangu chochote utakachokipata, kama viongozi na hata kama ni waumini shetani yupo nyuma anataka kuwajaribu, badili mawe kuwa mkate. Ukimkubalia utaingia katika uovu na dhambi"

Mhashamu Renatus Nkwande, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza ameyasema hayo leo Aprili 29, 2025 katika adhimisho la Misa Takatifu ya shukrani kwa Miaka 2025 ya Ukristo duniani, itakayoambatana na uzinduzi wa Majengo ya Madarasa, katika Chuo Kikuu cha Kikatoliki Mbeya (CUoM).
View attachment 3319634
Ngoja waje wazee wa kukabia juu watatukana hao 😄😄
 
Ndio maana CCM hawataki kuachia madaraka hata wakishindwa uchaguzi, kila kiongozi kwa sasa ni bilionea kwa kodi na tozo zetu. Kuanzia ràis mpaka chini kabisa.

Fikiria mtu ana pesa ya kununua pikipiki na kugawa nchi nzima, mkwe wake juzujuzi kanunua maghorofa ya wachina kwa mabilioni ya kwa pesa taslimu, Mwigulu ananunua timu za mpira kama ananunua sigara, huku shule chungu mzima hazina madawati na madarasa ya kutosha. Inasikitisha sana
 
Shikamoo baba askofu,hali ni tete sanq naomba wafundishwe kurudisha kama Zakayo alivyotaka kurudisha.Hivi siku hizi hakuna toba ya kurudisha ulivyoiba!!?
 
"Tunafundishwa daima na shetani kubadili mawe kuwa mkate, wewe ni waziri katika nchi badili mawe haya kuwa mkate, kweli waziri huyu baada ya miezi mitatu tu ana ghorofa 10, ana mabasi 100. Na nyie vijana wangu chochote utakachokipata, kama viongozi na hata kama ni waumini shetani yupo nyuma anataka kuwajaribu, badili mawe kuwa mkate. Ukimkubalia utaingia katika uovu na dhambi"

Mhashamu Renatus Nkwande, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza ameyasema hayo leo Aprili 29, 2025 katika adhimisho la Misa Takatifu ya shukrani kwa Miaka 2025 ya Ukristo duniani, itakayoambatana na uzinduzi wa Majengo ya Madarasa, katika Chuo Kikuu cha Kikatoliki Mbeya (CUoM).
View attachment 3319634
😀😀😀
 
Viongozi wanatamaa sana.mfano Abdul hakuwa na Mali nyingi lakini mama yake tu alipoukwaa urais Kwa Sasa Mali anzomiliki ni balaa japo hapendi kuzionesha
 
Padrii ameshindwaje kuinyokea moja kwa moja ccm na kusema yenyewe ndo shetani mkuu anayebadiri mawe kuwa mkate?

CCM inasifa zote hizo, na ndiyo maana ndani ya ccm hakuna hata mtu mmoja anayekemea wizi, mauwaji, utekaji na hawana uwezo wowote wa kuyaondoa hayo kwa kuwa ndiyo machaguo yao

Hawapo tayari kuweka mazingira rafiki ya uchaguzi kwa sababu wanajua fika, hawatakuwa na uwezo tena wa kubadiri mawe kuwa mkate

Siku CCM ikitokea wamekubaliana na matakwa ya washindani wao, ujuwe ndio itakuwa ni mwisho wa shetani ccm kuwepo mamlakani milele
 
"Tunafundishwa daima na shetani kubadili mawe kuwa mkate, wewe ni waziri katika nchi badili mawe haya kuwa mkate, kweli waziri huyu baada ya miezi mitatu tu ana ghorofa 10, ana mabasi 100. Na nyie vijana wangu chochote utakachokipata, kama viongozi na hata kama ni waumini shetani yupo nyuma anataka kuwajaribu, badili mawe kuwa mkate. Ukimkubalia utaingia katika uovu na dhambi"

Mhashamu Renatus Nkwande, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza ameyasema hayo leo Aprili 29, 2025 katika adhimisho la Misa Takatifu ya shukrani kwa Miaka 2025 ya Ukristo duniani, itakayoambatana na uzinduzi wa Majengo ya Madarasa, katika Chuo Kikuu cha Kikatoliki Mbeya (CUoM).
View attachment 3319634
Katoliki wanakabia juu sana.
 
Huu ndio ukweli ambao watanzania wote tunapaswa kuuishi na sio kuanza kumhukumu Askofu na dini yake.

Wizi unaofanywa na viongozi katika nchi hii ni mkubwa sana ndio maana wako tayari kujua na kuumiza ili waendelee kuwa viongozi, Sheria zinapaswa sasa kufanya kazi dhidi ya hawa wezi wa mali za umma.

Wananchi tunataka uchaguzi wa haki ili tumchague yule atakayepambana na haya mamujinga bila kuogopa.
 
Ngoja waje wazee wa kukabia juu watatukana hao 😄😄

Kuna kitu kimoja huwa tunajisahau. Kwenye nchi ya takribani watu milioni sabini, mema ya nchi wakila wachache huwa inaleta shida.
Na hakuna mwenye nguvu za kuzuia hizo shida zitokanazo isipokuwa matendo ya haki tu. 😂 😂 😂 😂
 
Kanisa katoliki ndio walimuua Yesu, leo kwa unafiki wanamhubiri
 
Ngoja waje wa upande wa pili utaskia ni udini tu hawampendi rais kwakuwa ni muislam wanasahau hata dini yao hairuhusu mwanamke kuwa kiongoz
 
Back
Top Bottom