TANZIA Askofu Sarah Wega afariki kwa ajali ya bodaboda

TANZIA Askofu Sarah Wega afariki kwa ajali ya bodaboda

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
24,636
Reaction score
43,927
Askofu wa Kanisa la The House of Prayer International Ministry, Kanda ya Songwe na muimbaji wa nyimbo za injili, Sarah Wega, amefariki dunia baada ya Pikipiki (bodaboda) aliyokuwa akisafiria kupata ajali ya kugongwa na lori iliyotokea Machi 16, 2026 katika eneo la Chapwa, Wilaya ya Momba mkoani Songwe.

1773760219560.jpg
 
Askofu wa Kanisa la The House of Prayer International Ministry, Kanda ya Songwe na muimbaji wa nyimbo za injili, Sarah Wega, amefariki dunia baada ya Pikipiki (bodaboda) aliyokuwa akisafiria kupata ajali ya kugongwa na lori iliyotokea Machi 16, 2026 katika eneo la Chapwa, Wilaya ya Momba mkoani Songwe.

View attachment 3559095
RIP PASTOR
 
Back
Top Bottom