Machepele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2019
- 289
- 419
Ibada iliongozwa G. NyaisongaKosa ni udhaifu usio na mfano wa Mama Janet Magufuli aliyekubali mumewe azikwe na hasimu wake wa kisiasa, Askofu Mugenyizi.
Eti Askofu kadai "marehemu aliwahi kunambia utakuja kunizika." Maaskofu wenzake wakanunua stori, familia nayo imekaa tu na butwaa inapelekeshwa na maamuzi ya watu wasiojali chochote cha legacy ya marehemu.
Sasa Askofu Mugenyizi anaenda kuwa unhinged zaidi na zaidi.
Au mimi sikuwa makini?