Askofu Niwemugizi ashuhudia jinsi baadhi ya maaskofu 'walivyoomba poo' baada ya kitisho kutoka kwa mamlaka

Kosa ni udhaifu usio na mfano wa Mama Janet Magufuli aliyekubali mumewe azikwe na hasimu wake wa kisiasa, Askofu Mugenyizi.

Eti Askofu kadai "marehemu aliwahi kunambia utakuja kunizika." Maaskofu wenzake wakanunua stori, familia nayo imekaa tu na butwaa inapelekeshwa na maamuzi ya watu wasiojali chochote cha legacy ya marehemu.

Sasa Askofu Mugenyizi anaenda kuwa unhinged zaidi na zaidi.
Ibada iliongozwa G. Nyaisonga

Au mimi sikuwa makini?
 
Ibada iliongozwa G. Nyaisonga

Au mimi sikuwa makini?
Ambacho hujaelewa nini ndugu? Nyaisonga alisoma Misa kama misa lakini sehemu ya pili kwwenye ibada ya Mazishi na kuzika alifanya Niwemugizi , na kumbuka pia kulikua na Maaskofu wengine mfano yule wa Mwanza yeye alitafakari neno na kuna wengine hawakuwa na role kabisa kwenye ile siku japo walikuwepo. Kwahiyo yale maneno wewe ni mavumbi na mavumbini tunakurudisha lakini Bwana atakufufua siku ya mwisho ndio yalisemwa na Niwemugizi.
 
Kwa hiyo na wewe ni askofu?
Labda utakua askofu wa mashoga, kwa tabia zako za humu na yale matusi kisha ukawa askofu? Acha utani basi.

Na kama utakua askof basibuatakua ni
1 mwamakula
2 mpemba
3 bagonza
4
Pole sana kwa maumizvu yenu na faraja zenu kwa sasa, ila utawala ni ule ule
Jifariji kwa maneno ya kinafiki
 
Kosa ni udhaifu usio na mfano wa Mama Janet Magufuli aliyekubali mumewe azikwe na hasimu wake wa kisiasa, Askofu Mugenyizi.

Eti Askofu kadai "marehemu aliwahi kunambia utakuja kunizika." Maaskofu wenzake wakanunua stori, familia nayo imekaa tu na butwaa inapelekeshwa na maamuzi ya watu wasiojali chochote cha legacy ya marehemu.

Sasa Askofu Mugenyizi anaenda kuwa unhinged zaidi na zaidi.
Hata kinyesi hustiriwa vizuri, akuna shida yoyote Askofu Niwemugizi, kumstiri mjaa laana yule ili Tanganyika ipumue..
Askofu amefanya wajibu wake, iliobaki ni Mtupoli kuchezea "vitasa" vya moto wa Jehanamu.. DADEKI...
🤸🏽‍♀️🤸🏾‍♂️🤸🏽‍♀️🤸🏾‍♂️🤸🏽‍♀️🤸🏽‍♀️🤸🏾‍♂️🤸🏽‍♀️
 
Huwa nafikiria huyu mzee asingekufa halafu wakabadili katiba ili agombee je miaka 10 toka sasa ingekuaje? Tulikua tunaenda kuwa another Zimbabwe for sure.
 
Mbona waliitwa Ikulu wakaandaliwa tafrija na kumwaga sala pale kama zote...
 
Back
Top Bottom