Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,473
- 19,269
mimi siabudu miungu inayosapoto sodoma na goroma kama wewe na askofu wako. mimi namwabudu Mungu wa kweli,Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo, Mungu wa Israel. na kwa kauli yako hiyo, ninaitengua na kuirudisha kwako hukohuko, hiyo corona ikupate wewe na familia yako yote hadi mjue kuna Mungu anayekataza ushoga. lakini nawaombea kwa Mungu msife. binafsi sitakufa kwa matakwa yako, nitaishi ili niyasimulie matendo makuu ya Mungu, kwa utukufu wa Jina la Yesu Kristo wa Nazareth.Kama ni kweli kwamba hasikilizwi na Mungu, basi sawa! Bali ikiwa Mungu aliye hai humsikikiza huyo bishop, na upigwe na corona, ufe umfuate Baba ako, huku umalaikani, au motoni, kufa hata leo!