Askofu Mwamakula ana msaada gani kwa CHADEMA? Mbona kama hamna anachowasaidia, kwa ujumla hana political influence

Huyu Bishop ambae huwa anajinasibu kuwa ni mwanachadema kindakindaki hana ushawishi wowote kisiasa. Ni mlopokaji na mpiga kelele na kelele zake ni kama kelele za chura.

Nilishangaa sana kumsikia Mambo Sasa amemkamata eti anataka kuitisha maandamano. Huyu jinsi anavyopuuzwa na watu ndio wa kushawishi umma uandamane?

Kama anaushawishi mbona alizunguka na Lissu wakati wa Kampeni za uchaguzi mkuu na hakuleta ushasishi wa kuvutia watu na kujazia kura za Lissu.

Chadema tafuteni mikakati mingine,sio kutumia watu kama Mlwamakula ambao hawana ushawishi kabisa. Unadhani askofu mwenye ushawishi akisema neno nchi inatulia?
Mkuu Idugunde, nenda ukapime kwanza kama akili zako ziko sawa.

Maana unaleta thread ya kumuelezea mtu ambaye hana ushawishi. Askofu Mwamakuka angekuwa hana ushawishi, usingetumia muda wako kuileta thread hapa
 
Huyu Bishop ambae huwa anajinasibu kuwa ni mwanachadema kindakindaki hana ushawishi wowote kisiasa. Ni mlopokaji na mpiga kelele na kelele zake ni kama kelele za chura.

Nilishangaa sana kumsikia Mambo Sasa amemkamata eti anataka kuitisha maandamano. Huyu jinsi anavyopuuzwa na watu ndio wa kushawishi umma uandamane?

Kama anaushawishi mbona alizunguka na Lissu wakati wa Kampeni za uchaguzi mkuu na hakuleta ushasishi wa kuvutia watu na kujazia kura za Lissu.

Chadema tafuteni mikakati mingine,sio kutumia watu kama Mlwamakula ambao hawana ushawishi kabisa. Unadhani askofu mwenye ushawishi akisema neno nchi inatulia?
atawasaidiaje wkt si mwanachama?
 
Mkuu Idugunde, nenda ukapime kwanza kama akili zako ziko sawa.

Maana unaleta thread ya kumuelezea mtu ambaye hana ushawishi. Askofu Mwamakuka angekuwa hana ushawishi, usingetumia muda wako kuileta thread hapa
Nafikiri hoja hapa ni kiasi gani huyu askofu ana ushawishi. Kama anaushawishi mbona hakusaidia kuleta kura za kutosha Chadema? Mbona hajawahi kuleta hamshahamsha ya kisiasa hapa bongo? Mengine ya kuleta kashfa ni dharau.
 
Back
Top Bottom