Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Tena anamchomaUkiona mpaka umemfungulia uzi ujue anaushawishi sana.
Tena anamchomaUkiona mpaka umemfungulia uzi ujue anaushawishi sana.
Amina , mwanakondoo ameshindaWewe anonymous una ujasiri gani wa kuhoji uhalali wa mtu aliyejitoa wazi wakati wa dictator.!?
Yule jamaa ni mwamba.
Nyambaf.
Labda wa kuvunja katibaHivi ndugai anamsaada gani?
Wewe hata msaada kwa familia yako huko kwenu rwanda huna .Sio kweli, nimepima nikaona hana ushwawishi ndio maana hata hakumsaidia Lissu wakati wa kampeni.
Kutukana badala ya hoja hiyo siyo tabia ya watamzania hivyo wewe ni mnyarwandaWe kenge kaa kimya.
Naona baada ya mungu wenu kuwaacha ghafla wajane wake mnapata kweli shida masikini ya MunguNasikia ndiye Msemaji wa Chadema kwa sasa.
Mkuu Idugunde, nenda ukapime kwanza kama akili zako ziko sawa.Huyu Bishop ambae huwa anajinasibu kuwa ni mwanachadema kindakindaki hana ushawishi wowote kisiasa. Ni mlopokaji na mpiga kelele na kelele zake ni kama kelele za chura.
Nilishangaa sana kumsikia Mambo Sasa amemkamata eti anataka kuitisha maandamano. Huyu jinsi anavyopuuzwa na watu ndio wa kushawishi umma uandamane?
Kama anaushawishi mbona alizunguka na Lissu wakati wa Kampeni za uchaguzi mkuu na hakuleta ushasishi wa kuvutia watu na kujazia kura za Lissu.
Chadema tafuteni mikakati mingine,sio kutumia watu kama Mlwamakula ambao hawana ushawishi kabisa. Unadhani askofu mwenye ushawishi akisema neno nchi inatulia?
Uliona wapi mtoto wa nyoka anakuwa na moyo wa kondoo?YOU ARE HATER, Chuki imeujaa moyo wako hadi inajidhihirisha kwenye maandishi yako
Huo ukweli kausemee kwenu bujumburaKusema kweli imekuwa chuki?
Hapa siyo kwenuKwa nini? We ni nani uzuie haki za watu kujieleza.
atawasaidiaje wkt si mwanachama?Huyu Bishop ambae huwa anajinasibu kuwa ni mwanachadema kindakindaki hana ushawishi wowote kisiasa. Ni mlopokaji na mpiga kelele na kelele zake ni kama kelele za chura.
Nilishangaa sana kumsikia Mambo Sasa amemkamata eti anataka kuitisha maandamano. Huyu jinsi anavyopuuzwa na watu ndio wa kushawishi umma uandamane?
Kama anaushawishi mbona alizunguka na Lissu wakati wa Kampeni za uchaguzi mkuu na hakuleta ushasishi wa kuvutia watu na kujazia kura za Lissu.
Chadema tafuteni mikakati mingine,sio kutumia watu kama Mlwamakula ambao hawana ushawishi kabisa. Unadhani askofu mwenye ushawishi akisema neno nchi inatulia?
Nafikiri hoja hapa ni kiasi gani huyu askofu ana ushawishi. Kama anaushawishi mbona hakusaidia kuleta kura za kutosha Chadema? Mbona hajawahi kuleta hamshahamsha ya kisiasa hapa bongo? Mengine ya kuleta kashfa ni dharau.Mkuu Idugunde, nenda ukapime kwanza kama akili zako ziko sawa.
Maana unaleta thread ya kumuelezea mtu ambaye hana ushawishi. Askofu Mwamakuka angekuwa hana ushawishi, usingetumia muda wako kuileta thread hapa
JPM yu pamoja nasi. Mama yu pamoja nasi. Mungu yu pamoja nasi.Naona baada ya mungu wenu kuwaacha ghafla wajane wake mnapata kweli shida masikini ya Mungu