Babylon
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 1,332
- 82
Uaskofu alisomea nchi gani za Magharibi au alifundishwa na walimu kutokea Nchi gani za western tukilijuwa hilo hapo tena tutaweza kunganisha na kulitolea ufafanuzi ,kwani kuna maradhi mengine hayatibiki sio rahisi ,namkumbuka mzee wetu Kingunge yalimkuta alipokuwa shule ikambidi awaulize wazungu why are you doing that to us !!!!!!! namnukuu mzee wetu na ndio mpaka leo anasema hatakji kusikia mambo ya Dini .