MWANAWAVITTO
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 258
- 220
Hivi kumbe hata mabishop wanatembea na pisto? nilifikiri ulinzi wa bwana wanaemtumikia na kutufundisha unatosha!
kabla ya kushabikia post.
Tumuulize mtoa mada, kikao chenyewe kilihusu nini?
Hivi kumbe hata mabishop wanatembea na pisto? nilifikiri ulinzi wa bwana wanaemtumikia na kutufundisha unatosha!
CCM WALIPENYEZA WAASI WA ANGLIKANI KAMA WALIVYOFANYA KTK makanisa ambayo Maaskofu wake hawaitaki CCM.WAASI WA ANGLIKAN WALIKWENDA KUOMBA MSAADA KWENYE TAASISI YA MTIKILA IITWAYO LIBERTY INTERNATIONAL ANAYOTUMIA KUTAPELI WATU.HIVI MTIKILA AKAWA ANASULULISHA HUKU ANADAI RUSHWA. Mokiwa hakujua utapeli wa Mtikila na tayari amekula 5minawezekana vipi kwa MTIKILA asiye MUUMINI WA KANISA ANGLIKANA kuwa MJUMBE KWENYE KIKAO CHA NDANI CHA WAANGLIKAN?
Naanza kupata wasiwasi. Inakuwaje Mtikila anashikwa makalio na mtu mwingine halafu anakuja kukuambia wewe? au wewe ndiyo mwenye mali nini? Maana nyinyi akina ustaadhi kwa mambo 'pwani' !
Mtikila ni Mwizi na wasiomjua wanaliwa!!Anatesa sana wachungaji na viongozi kwa kutishia kuwapeleka mahakamani hukuwa akipewa kibari na viongozi wa serikali.!Inasikitisha serikali inagonganisha viongozi wa dini kwa kumutumia Mtikila kama kibaraka wao! Ingekuwa serikali hainufaiki na Mtikila wamengechunguza taasisi ya Liberty International inayotapeli watu! Najua Mtikila hapendwi na wachungaji wala haaminiki sifa yake na umarufu umeshuka na kesi hii itawafumbua macho wengi.Huyo anayeitwa Maisha Mchunguzi amemtapeli Mtikila na amemfukuza katika chama chake Maisha Mchunguzi 0718 233334 na Mtikila ni majambazi ktk kundi moja la Liberty international.Ifika mahari watu wamujue Mtikila na kumuepuka kama ukoma.Ni rafiki yake mkubwa na Mama Rwakatare na ni majirani wema lakini wanagombania mali za utapelikabla ya kushabikia post.
Tumuulize mtoa mada, kikao chenyewe kilihusu nini?
Mtikila amefungua kesi ya madai 1bls lakini hakutoa taarifa yoyote polisi tangia juni 2011.Kutokana na madai ya Mtikila inaonyesha kuwa Mokiwa alimtishia kwa Bastola na kumushika Makalio kwa nguvu.Hapa ni sawa na ubakaji ambapo mhusika harusiwi kuoga kuhofia kupoteza ushahidi.Hapa kuna kesi ya unajisi na kesi ya madai sasa jinai hakuna lakini madai makubwa sasa hapa pana biashara ya Makalio ya Mtikila.Mokiwa, kulikoni kumpapasa makalio Mtikila.
CCM inamtumia Mtikila kuchochea migogoro ya Makanisa na Maaskofumtikila ni mchungaji wa kanisa la FULL SALVATION, kwenye MAKAO makuu ya ANGLIKAN tena kwenye kikao akiwa ni MJUMBE ALITOKA WAPI na INAWEZEKANA VIPI?
yote haya kuwapandikiza watu ni ili raia wapoteze concetration kwenye masuala muhimu kama M4C.. Yana mwisho.Kumbe angeshikwa makalio na askofu wa kanisa lisilokubali ushoga angekubali tu
HE IS GENDER SENSITIVE HA ha haTarehe 10dec 2011 Ijumaa, Mtikila alikwenda Nyumbani Kwa Mama Rwakatare Asubuhi.Katika kupisha Mama Rwakatare alimgusa Makalio Mtikila lakini hakumushitaki.Sasa kwa nini iwe kwa Ask Mokiwa?
Mtikila kaniambia kashikwa makalio na Mokiwa ndio maana kafungua kesi ya madai.
Kushikwa makalio Mtikila kuna uhusiano gani na CCM...cha kujiuliza kwa nini Mokiwa kamshika Mtikila makalio.
Mtikila amefungua kesi ya madai 1bls lakini hakutoa taarifa yoyote polisi tangia juni 2011.Kutokana na madai ya Mtikila inaonyesha kuwa Mokiwa alimtishia kwa Bastola na kumushika Makalio kwa nguvu.Hapa ni sawa na ubakaji ambapo mhusika harusiwi kuoga kuhofia kupoteza ushahidi.Hapa kuna kesi ya unajisi na kesi ya madai sasa jinai hakuna lakini madai makubwa sasa hapa pana biashara ya Makalio ya Mtikila.