Hujamsikia mh Rais kule Chato Geita?..sijui SERIKALI watakuwa na kauli gani baada ya tamko hili.
..hatukupaswa kuacha kuvaa barakoa, na kunawa mikono.
Hujamsikia mh Rais kule Chato Geita?..sijui SERIKALI watakuwa na kauli gani baada ya tamko hili.
..hatukupaswa kuacha kuvaa barakoa, na kunawa mikono.
Nimaeneo gani hupati maelezo juu ya kujikinga na korona?? Mitandao yote inasema, hadi ATM Zote ukiiingia zinakwambia juuu ya korona. Ofisi zote kunatahadhali kedekede. Au nani hajui kama kunamlipuko wa korona??Hawajazuia kweli ila wamezuia kupashana habari utaishia pabaya. Unakumbuka yule dada sijui Malecela alisema sijui kuna ugonjwa gani akaishia kuondolea na kuhutumiwa kibaraka. Serikali ni wajibu wake kutoa miongozo kwa watu wake na kauli ya serikali ni nzito vinginevyo ni sawa na dereva uko makini barabarani lakini mwingine anavunja sheria tu anakugonga unakufa wewe makini lenye fujo linapona. Uwazi katika suala hili utatusaidia huko mbele ya safari lakini kama tumeamuwa kuishi kama kisiwa tuendelee tu huko mbele tutanyosheana vidole tu.