The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,325
Askofu mkuu wa jimbo katoliki la Dar es Salaam amewasihi waumini kufuata taratibu za kisayansi kupambana na corona.
Askofu ameomba tusaidiane na Mungu kupambana na corona.
Askofu amesisitiza kuwa corona bado ipo na kuwasihi waumini waendelee kuvaa baracoa, kunawa mikono na maji tiririka pamoja na kupunguza mikusanyiko isiyo ya lazima.
Ndugu zangu tuchukue tahadhari, covid inatisha na inaua kwa haraka sana.
Askofu ameomba tusaidiane na Mungu kupambana na corona.
Askofu amesisitiza kuwa corona bado ipo na kuwasihi waumini waendelee kuvaa baracoa, kunawa mikono na maji tiririka pamoja na kupunguza mikusanyiko isiyo ya lazima.
Ndugu zangu tuchukue tahadhari, covid inatisha na inaua kwa haraka sana.