cmases
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 1,766
- 1,425
Kiongozi wa malaika lazima awe mtakatifu!!Hizi ni dalili za Tanzania kupata mtakatifu wa kweli siyo yule jamaa wa pale Mwisongo karibu na Nyamswa nayepigiwa chapuo
Kiongozi wa malaika lazima awe mtakatifu!!Hizi ni dalili za Tanzania kupata mtakatifu wa kweli siyo yule jamaa wa pale Mwisongo karibu na Nyamswa nayepigiwa chapuo
Mchunga Kondoo vs Wachunga Mbwa mwitu
Kwa wakati ganiIla japo na-support ule Waraka wa KKKT....Ni bora Askofu Shoo angekaa kimya kulikoni hii mipasho anayoitoa....
"Speech is Silver, but Silence is Gold"....By Pope Francis
Kweli.....Ila japo na-support ule Waraka wa KKKT....Ni bora Askofu Shoo angekaa kimya kulikoni hii mipasho anayoitoa....
"Speech is Silver, but Silence is Gold"....By Pope Francis
Ujumbe mfupi unao elewwka.Na sii zaidi wala pungufu ya hapo
Njoo nikukojolee weweKakojoe ulale
Polepole kapongeza zote mbili,ya kutishia kufuta kapongeza na ya leo ya kubatilisha kapongezaNasikia miccm imekana leo huo waraka wa msajili
goodKwa wakati gani
Unajua siyo vizuri kumsingizia askofu wa CDM Shoo kuwa ametoa ujumbe huo wakati mnatengeneza tweeter akaunti yake fake au unataka tuwaumbue??Habari wakuu.
Huu ndio ujumbe alioutoa Mtumishi wa Mungu, Mchunga kondoo wa Bwana Mungu wa Majeshi (07 June 2018)
Hajawahi kutokea kiumbe ama binadamu yoyote, mwenye cheo chochote, ama ulinzi wowote anaedhani kwake ni fahari kulitisha Kanisa ama kulitikisa.
Kiumbe huyo ama kiongozi huyu hajazaliwa wala hatazaliwa.
Askofu Dr. Fredrick Shoo
Mkuu wa Kanisa KKKT
07 Juni 2018
Tunamshukuru mtumishi wa Mungu kwa kuendelea kuiambia jamii ukweli.Na sote tunatakiwa kutambua ni kazi ya viongozi wa kiroho kukemea maovu pamoja na kusema iliyo kweli ya Kimungu.Ubarikiwe sana BABA ASKOFU.Habari wakuu.
Huu ndio ujumbe alioutoa Mtumishi wa Mungu, Mchunga kondoo wa Bwana Mungu wa Majeshi (07 June 2018)
Hajawahi kutokea kiumbe ama binadamu yoyote, mwenye cheo chochote, ama ulinzi wowote anaedhani kwake ni fahari kulitisha Kanisa ama kulitikisa.
Kiumbe huyo ama kiongozi huyu hajazaliwa wala hatazaliwa.
Askofu Dr. Fredrick Shoo
Mkuu wa Kanisa KKKT
07 Juni 2018
Mtumishi wa Mungu akae kimya! Kwa faida ya nani kwa mfano!Ila japo na-support ule Waraka wa KKKT....Ni bora Askofu Shoo angekaa kimya kulikoni hii mipasho anayoitoa....
"Speech is Silver, but Silence is Gold"....By Pope Francis
Ulaya ndiyo yalipo makao makuu ya Kanisa Katoliki. Usitishie watu nyau.Huu ni uzushi!
Hajatamka haya maneno walahi!
Mbona makanisa mengi tu yamefungwa huko ulaya?
Australia ndiyo yamegeuzwa ma discotheque
Eti mi ningeona ningelia!tz maajab sana, nilikua nachek habari hapa itv huko simiyu gari ya zimamoto imeenda kuzima moto et imefka tu maji yakamwagika kutoka kweny gar, nimecheka nusura mzee anipige kibao
Weeh!Niwaambie kitu? Jiwe hatamaliza Cinq ans lazima achanganyikiwe!!
Would've been a bad move...They would've said he listened to the opposition leaders from the parliament.Ila japo na-support ule Waraka wa KKKT....Ni bora Askofu Shoo angekaa kimya kulikoni hii mipasho anayoitoa....
"Speech is Silver, but Silence is Gold"....By Pope Francis
Sijui kwanini hutaki kuacha hii tabia ya kujichekesha lakinihahahaha SHOO bado ana maumivu ya kubwagwa kwa Lowasa kwenye uchaguzi mkuu hahaha
Huu ujumbe ametungiwa na wana chadema