Askofu Mkuu KKKT: Hakuna kiumbe/kiongozi yeyote atakayeweza kulitikisa Kanisa,hajazaliwa na hatozaliwa

Habari wakuu.

Huu ndio ujumbe alioutoa Mtumishi wa Mungu, Mchunga kondoo wa Bwana Mungu wa Majeshi (07 June 2018)

Hajawahi kutokea kiumbe ama binadamu yoyote, mwenye cheo chochote, ama ulinzi wowote anaedhani kwake ni fahari kulitisha Kanisa ama kulitikisa.

Kiumbe huyo ama kiongozi huyu hajazaliwa wala hatazaliwa.

Askofu Dr. Fredrick Shoo
Mkuu wa Kanisa KKKT
07 Juni 2018
Point, nami nasema hajazaliwa wala hatazaliwa
 
hako ka kipande ka twiter unge kasikirini shoti mkuuu
...ongezea na haka
IMG-20180607-WA0056.jpg
 
Habari wakuu.

Huu ndio ujumbe alioutoa Mtumishi wa Mungu, Mchunga kondoo wa Bwana Mungu wa Majeshi (07 June 2018)

Hajawahi kutokea kiumbe ama binadamu yoyote, mwenye cheo chochote, ama ulinzi wowote anaedhani kwake ni fahari kulitisha Kanisa ama kulitikisa.

Kiumbe huyo ama kiongozi huyu hajazaliwa wala hatazaliwa.

Askofu Dr. Fredrick Shoo
Mkuu wa Kanisa KKKT
07 Juni 2018
 
Habari wakuu.

Huu ndio ujumbe alioutoa Mtumishi wa Mungu, Mchunga kondoo wa Bwana Mungu wa Majeshi (07 June 2018)

Hajawahi kutokea kiumbe ama binadamu yoyote, mwenye cheo chochote, ama ulinzi wowote anaedhani kwake ni fahari kulitisha Kanisa ama kulitikisa.

Kiumbe huyo ama kiongozi huyu hajazaliwa wala hatazaliwa.

Askofu Dr. Fredrick Shoo
Mkuu wa Kanisa KKKT
07 Juni 2018
Huyu shoo atafikia muda atakuwa Soo

Sijawahi ona askofu mpenda siasa na majibizano ya Twitter /Instagram kama huyu

Nachomwomba Mungu atupe uzima kushuhudia tambo zake
 
Huyu shoo atafikia muda atakuwa Soo

Sijawahi ona askofu mpenda siasa na majibizano ya Twitter /Instagram kama huyu

Nachomwomba Mungu atupe uzima kushuhudia tambo zake
Hawezi kuacha kukemea maovu eti tu kwa sababu ya kuwafurahisha watu kama wewe.
 
36 Reactions
Reply
Back
Top Bottom