Ciprofloxacin.
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 1,583
- 2,696
TB Joshua alisema,jiwe linaweza kufa kabla ya 2025 kwa sababu litamkufuru Mungu.Jiwe ni mpuuzi na ni wa kupuuzwa tu, anapenda kuabudiwa na kuogopwa. Anavyopenda yeye vyote anastahili Mungu Mwenyezi.
.
.
Anatamani watanzania wafike mahali wakitaka kula basi tumuombe yeye chakula, yaani tusifanye kitu pasipo kumuomba yeye.
.
.
Jiwe ni mpuuzi na ni mpumbavu kama walivyo watawala wengine wapumbavu, akasome vizuri kitabu cha Kutoka pale ambapo Farao alopambana na Mtumishi wa Mungu Mussa ama Sauli alivyotaka kumuua Daudi.
.
.
Jiwe ni mtawala aliyechaguliwa na serikali ya kuzimu ya tanzania, utawala wake hautokani na kusudi la Mungu aliyeumba Mbingu na Nchi.