Mtaacha lini uzushi!!! Wakti walomshambulia ni watu wake!!
Halafu alikuwa anasema allah akbarBBC wanasema kapigwa nawaumini wenzake waliopishana kauli juu ushoga ndani ya kanisa
Kila action ina reaction.Leta ukweli wako
Anapinga ushogaHuyu si mpinga uislamu, acha ungese wewe. Huyu ni mpinga ushoga LGBTQ. Na kuna wakati alipinga dawa za corona huyu.
Watu wa DSTV bongo tunamfahamu sana huyu bwana, Naa haata uislamu anauongelea vizuri sana. Yeye ni mpenda ukweli na mpinga uongo. Yaani sio padri tu wa hovyo hovyo.
Last thing. Kwenye maisha yako kabla hujafa usiongelee Dini kama hivo. Jitahidi kuwa na staha. Donot be this sensitive. Hata kama unajua maambo.
HapanaAnapinga ushoga
Anakosoa uislamu
Pia anakosoa wayahudi
ila kwa kesi ya Jana ni dogo wa kiislamu ndo alitaka kumdunga
Kweli huyo mungu yesu nami namshangaa. Labda atakuwa issa wenu. Sisi tunamtambua Yesu, ambaye kwa maandiko alisema atakufa na siku ya tatu atafufuka. Shida kwenu hamjui hata taswira ya mohamediKama bile Mungu yesu alivyoshindwa kujiokoa akapigwa na watu alowaumba mwenyewe na kilio juu alilia haya ni maajabu jamani!!
Yasni uache kushangaa mungu yesu ukashangae waislam mzima kweli wewe!!!
Allah akbar anatetewa na abdoools🤣🤣🤣Kama bile Mungu yesu alivyoshindwa kujiokoa akapigwa na watu alowaumba mwenyewe na kilio juu alilia haya ni maajabu jamani!!
Yasni uache kushangaa mungu yesu ukashangae waislam mzima kweli wewe!!!
Dini gani wewe au ni Joker? due Katika Ukristo Yesu alikuwa anatimiza Maandiko, na Katika Uislam Allah aliruhusu Yesu afe and then afufuke. this with Evidance.Hata mfu yesu alishindwa kujiokoa msalabani
Jesus knew that he must die, because the Scriptures said so. “Why then is it written that the Son of Man must suffer much and be rejected?” (Mark 9:12; 9:31; 10:33-34).Jesus began to explain to his disciples that he must go to Jerusalem and suffer many things at the hands of the elders, chief priests and teachers of the law, and that he must be killed and on the third day be raised to life. Peter took him aside and began to rebuke him. “Never, Lord!” he said. “This shall never happen to you!” (Matthew 16:21-22)
It happened according to God’s plan: Herod and Pilate did only what God “had decided beforehand should happen” (Acts 4:28). In the Garden of Gethsemane, when Jesus knew that he would soon be crucified, Jesus asked his Father if there might be some other way, but there was none (Luke 22:42). His death was necessary for our salvation.Beginning with Moses and all the Prophets, he explained to them what was said in all the Scriptures concerning himself…. “This is what is written: The Christ will suffer and rise from the dead on the third day.” (Luke 24:26-27, 46)
Uislamu unawapa kiwewe sana hawa wabarikiwa Kwa idhini ya sharksBBC wanasema kapigwa nawaumini wenzake waliopishana kauli juu ushoga ndani ya kanisa
Watakwambia yule alikua anaenda kuslimu kesho yake.Kwa hiyo huyo mtu katumwa na Uislam?
Mbona huongelei na vifo vya Australia ""Sydney's City Mall muders" vimefanywa na nani?