Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

hata lowasa inabidi awe makini na huyu mcongomani,asiwe anaropoka bila tahadhari,maana ngwajima anadai kurecord ndo kazi yake....

ananikumbusha enzi nasoma middle school,miaka ya 1960 Kulikua na mkurugenzi wa FBI kule marekani aitwa J Edga Hoover,huyu alikua na siri za karibu kila kibosile,kina kenedy,jack ,robert,ford etc,,,
matokeo yake wakawa wanamuogopa na alikua katika nafasi nzuri ya kuwablackmail,
hi ni hatari sana kwa usalama wa taifa


John Edgar Hoover (January 1, 1895 – May 2, 1972) was the first Director of the Federal Bureau of Investigation (FBI) of the United States, appointed director of the Bureau of Investigation—predecessor to the FBI—in 1924. He was instrumental in founding the FBI in 1935, where he remained director until his death in 1972 at the age of 77. Hoover is credited with building the FBI into a larger crime-fighting agency, and with instituting a number of modernizations to police technology, such as a centralized fingerprintfile and forensic laboratories.
Late in life and after his death, Hoover became a controversial figure as evidence of his secretive abuses of power began to surface. He was found to have exceeded the jurisdiction of the FBI[SUP][1][/SUP] and to have used the FBI to harass political dissenters and activists, to amass secret files on political leaders,[SUP][2][/SUP] and to collect evidence using illegal methods.[SUP][3][/SUP] Hoover consequently amassed a great deal of power and was in a position to intimidate and threaten sitting presidents.[SUP][4][/SUP] According to biographer Kenneth Ackerman, the notion that Hoover's secret files kept presidents from firing him is a myth.[SUP][5][/SUP] However, Richard Nixon was recorded as stating in 1971 that one of the reasons why he did not fire Hoover was that he was afraid of reprisals against him from Hoover.[SUP][6][/SUP]
According to President Harry S. Truman, Hoover transformed the FBI into his private secret police force. Truman stated that "we want no Gestapo or secret police. The FBI is tending in that direction. They are dabbling in sex-life scandals and plain blackmail. J. Edgar Hoover would give his right eye to take over, and all congressmen and senators are afraid of him"
 
Kitendo cha UKAWA kumwachia Gwajima awe msemaji kwa ajili ya kufanikisha ushindi ni vema kikaangaliawa kwa tahadhari. Hii ni kutokana na kujenga taswira isiyo sahihi kwa wapiga kura. Kama inawezekana viongozi wa UKAWA walifanyie kazi jambo hili. Huu ni ushauri wangu tu, kwa sababu sijui majukumu yake Gwajima ndani ya CHADEMA(UKAWA).
 
Waache wapuuzi hao ..chama kipo kipo tu kimeshatekwa na wenye pesa ndo wanakisemea chama kwa sahivi
 
Waache wapuuzi hao ..chama kipo kipo tu kimeshatekwa na wenye pesa ndo wanakisemea chama kwa sahivi

mkuu inasikitisha sana, sikuwahi kufikiri kama CHADEMA itafikia hatua hii ya leo.
 
Wakuu Mimi nakwenda Mbali zaidi, katika kuyajadili maneno ya huyu anayejiita Askofu Gwajima aliyoyatoa jana tar 08.09 katika ukumbi wa Landmark Hotel, kama majibu kwa Dr. Slaa kufuatia Dr. Slaa kumwita yeye (Gwajima} mshenga wa kukaribishwa kwa Mh. Edward Lowasa ndani ya CHEDEMA.

Ndugu zangu maneno ya Askofu Gwajima si tu yanashusha tu credibility ya Ukawa Ila Gwajima hanashusha hata credibility ya Maaskofu wenzake.

Gwajima anavyosema mambo ambayo yalikuwa siri kati yake na mtumishi wake wa dini Dr. Slaa ama Bi Mashumbushi, anadharirisha uaskofu wake, kwasababu kama baba wa kiroho unaanza kuropoka mambo ya siri ya kondoo zako, hivi ni nani? Leo mwenye akili timamu ataweza kukufuata na kukuambia jambo lake la siri.

Gwajima amejisifu kuwa yeye anakakitu kakurecordia, hivyo maongezi yote anayoyafanya huya-record yaani ni mtaalamu wa kurecord, sasa embu, Jiulize, muumini wake yupi Leo, mwenye akili timamu, atakaye weza kumfuata Askofu Huyu na kumweleza mambo yake ya siri ya kiroho yanayoitaji msaada wa kiroho, kama mtumishi huyu amekuwa mropokaji kwa kiwango hichi.

Mimi ni mkatoliki sisi kwetu tunakitu tunaita sacrament ya kitubio, Ambapo Mlei umfuata Padri nakukiri dhambi zake\kuungama Dhambi/Maungamo, hapo kwenye Maungamo mnakuwa na padri tu, na unamueleza dhambi ulizozitenda, kisha padri utamka maneno Fulani kisha dhambi zile kwa imani yetu tunaamini huondoka, sasa kinachofanyika pale huwa ni siri yako wewe unayetubu Padri, na Mungu wenu pekee,

Katika mazingira hayo watu uungama na kutaja dhambi mabalimblali, wengine unakuta alishawahi kuua na kuiba, unamkuta mtu anataja kuwa alishawahi kuzini na Mke Wa katekista pengine, sasa japo huyu padri anamjua Mke Wa katekista na katekista mwenyewe kama msaidizi wake ila hawezi kumfuata na kumwambia lolote Yale yanabaki kuwa siri na kwavile ni maungamo tunaamini yanakuwa yamekwisha lakini haimaanishi Bw. Huyo Mlei ameacha ama kukoma kutenda dhambi.

Huo ni mfano tu wa padri wa kanisa katoliki, haya sasa mfananishe huyu Gwajima kama angelikuwa Padri, si angekuja Jana kutuambia yote Ambayo Mama Mashumbushi. Mke Wa Dr Slaa aliyatubu kwake? Hakika huu ni mfano wa Upuuzi wa kiwango cha PHD.

Lakini mbali na hapo Gwajima ni Muhuni, kwasababu yeye mwenyewe alishawahi kumtolea maneno ya kashfa sana Kiongozi wangu Wa kanisa, Aliyenipa Kipaimara, Askofu Polycop Kardinali Pengo alimwita majina ya hovyoovyo na ni wazi kabisa kuwa yalikuwa matusi. Embu sasa tazama mambo yake Alafu Leo mtu yule yule Muhuni aliyemtukana kiongozi Mkuu wa kanisa katoliki nchini, anarudi kwetu kuwakemea watu wengine tena walei wake mwenyewe wanapowatukana Maaskofu. Kwani si yeye aliyewafunza?

Pengine Dr. Slaa alikuwa sahihi aliposema Maaskofu wananunuliwa kwa kumchukulia mfano wa Askofu mmoja tu, Askofu Gwajima ambaye ameonekana wazi wazi kabisa kununuliwa na Mh. Edward Lowasa.

Gwajima amejiaibisha na kuwaaibisha Maaskofu wenzake wa Madhehebu mengine, wala asijibaraguze yeye hawezi hata siku moja kafanana na Askofu Pengo, kwasababu yeye mwenyewe hana maadili wala hana utakatifu ni Muhuni tu kama wahuni wengine walioko kule Tandale kwa mtogole ama Manzese.
 
Bureeee!!

Kitendo cha UKAWA kumwachia Gwajima awe msemaji kwa ajili ya kufanikisha ushindi ni vema kikaangaliawa kwa tahadhari. Hii ni kutokana na kujenga taswira isiyo sahihi kwa wapiga kura. Kama inawezekana viongozi wa UKAWA walifanyie kazi jambo hili. Huu ni ushauri wangu tu, kwa sababu sijui majukumu yake Gwajima ndani ya CHADEMA(UKAWA).
 
WE MLETA MADA BADO HUJAELEWA LABDA...GWAJIMA AMEKWENDA KUMJIBU SLAA KUTOKANA NA SLAA KUMUHUSISHA NA BAADHI YA ISSUE ........SLAA ASINGEMLIPUA USINGEMUONA GWAJIMA ANAJIBISHANA NA SLAA........ndio maana hukumsikia gwajima anajibu hoja za richmond pale ....gwajima anaweza kushiriki harakati zozote zile za chama cha siasa ..hukumbuki kauli ya maaskofu kuwa kikwete chaguo la mungu...hukumbuki kakobe alivyomnadi
 
Kuna Siku Nilisema Katika Ukulasa Wangu Wa Fb Nikimshauli Dr Slaa Jinsi Upepo Wa Kisiasa Unavyokwenda Na Gharika Lilimkuta Nilimwambia Leo Ndio Siku Ya Kuimalisha Heshma Yako Au Kuipoteza Milele, Nilifanya Vile Si Kwamba Nimemzidi Akili Mzee Huyu! Hapana Nilifanya Vile Kwakujua Kabisa Mzee Hayuko Katika Akili Yake Ya Kawaida, Cha Kusikitisha Mzee Akaangukia Kundi La Kifo Na Kuipoteza Kabisa Heshma Yake Nilisikitika Sana, Alizidi Kupotea Zaid Alivyohama Mada Na Kuanza Kutukana Watumishi Wa Mungu Hapa Ndipo Alipogusa Pabaya Na Ndio Mwisho Wa Heshma Yake Hawa Amefanya Kazi Yake,
 
Km hausiani na chadema maswala ya siasa wkt yy ni mtu wa dini inamuhusu nn? Mbona lowasa mwnyewe hakujibu tuhuma hizo
 
Mchungaji Josephat Gwajima nakusalimu bwana Yesu asifiwe.....

Hii ni saa ya ufufuo na uzimaaaaaaaaa..........halafu mbioo
Mchungaji jana wakati unazungumza na waandishi wa habari pale Land Mark nilidhani utajibu hoja za Daktari wa theolojia, falsafa na sheria za kanisa Padre Wilbroad Peter Slaa lakini ukaenda kuzungumza maisha yake binafsi,
Ulisahau kwenye eneo hilo bora Dkt. Slaa kuliko wewe unayevunja ndoa za waumini wako hata kufikia hatua ya kutaka kuvunja ndoa ya muimbaji wa nyimbo za injili FLORA MBASHA. Tuhuma hizi ni doa kubwa kwako kama mchungaji.


Unadai Dkt. Slaa aliwatukana viongozi wa dini wakiwemo maaskofu na masheikh wa kiislamu mbona katika mazungumzo ya Slaa na wanahabari hayo hayakuwepo! Lakini Mch. GWAJIMA inaonekana unasahau sana kama viongozi wanaokutumia ambao ni LOWASSA na MBOWE. Umeshasahau kuwa ni wewe uliyemtukana Kadinali Polycarp Pengo hata kufikia hatua ya kumuambia Kadinali Pengo ni kama mtoto mdogo anavishwa pampers, umesahau? Kati ya wewe na SLAA nani mwenye kuwatukana maaskofu?


Maneno yako kwa Askofu PENGO yalileta taharuki kubwa miongoni mwa waumini wa Kikatoliki na watanzania waliowengi ambao utamaduni wa kutukana viongozi wa dini hawajauzoea lakini nampongeza sana Kadinali PENGO kwani alionyesha ni kiasi gani kiongozi wa kiroho anavyopaswa kuishi kwani Mungu alimpa hekima ya kukujibu kwa kusema anakusamehe kwa moyo mweupe na Mungu akupe rehema ubadilike na akawaomba wote waliokwazika kwa kauli yako ya kumtukana na kumdhalilisha waungane naye kukusamehe na kukuombea ubadilike. Nilitegemea wewe au waliokutuma mngeomba msamaha kwa kupotoka ila mlikaa kimya sababu ni hulka yako kutukana wengine!


NIRUDI KWENYE MADA KUU


Mchungaji GWAJIMA ulitakiwa kujibu hoja hizi za DKT. SLAA

1. Kuwa wewe ndiye uliyempigia simu ya kumpa taarifa ya kukatwa kwa LOWASSA na hivyo CHADEMA wakaribishe, jambo ambalo ulilikubali.

2. Ushiriki wako kwenye mazungumzo ya kamati kuu ya CHADEMA ulienda kama nani?

3. Wewe ulimueleza SLAA kuwa wamkubali LOWASSA sababu viongozi wote wa dini wanamuunga mkono wakiwemo kanisa analosali LOWASSA yaani KKKT, masheikh na maaskofu wa 30 kati ya 34 wa kikatoliki ambao kila mmoja LOWASSA alimpa katili ya Milioni 60-300. Tulitaka ukubali au ukatae au ufafanue. Hukufanya hivyo! Maadam hukujibu tujue wewe ni kiongozi wa kanisa unayeunga mkono matumizi makubwa ya fedha kuwanunua watu hasa viongozi wa kiimani ili kupata madaraka jambo ambalo anapaswa ukafanye TOBA Mchungaji!

4. Dkt. SLAA alimtuhumu LOWASSA kwa kuidanganya CHADEMA kuwa angehamia na wenyeviti wa CCM wa Mikoa 22, wa Wilaya 88, na wabunge wanaomaliza muda wao 50. Kitu ambacho hakikufanyika hivyo LOWASSA akawa LIABILITY badala ya ASSET! Wewe uliyekubali kuwa ulikuwa mshenga hukueleza hili?

5. Dkt. SLAA anasema alieleza kabla ya LOWASSA kupokelewa aitishe waandishi wa Habari ajisafishe na makandokando ya ufisadi halafu ndio ahamie CHADEMA, Kitu ambacho hakikufanyika na hivyo kuendelea kuwa mchafu yaani FISADI. Tulitaka mshenga ufafanue hili kama kweli au si kweli?


DKT. SLAA BADO NI SHUJAA NA MSHUMAA WA SIASA ZA UPINZANI HAPA TANZANIA MAANA ALIZUNGUMZIA MISINGI YA KIONGOZI WA UMMA NA USALITI UNAOFANYWA DHIDI YA WANAMAGEUZI WALIOJENGA UPINZANI KWA JASHO NA DAMU HALAFU HARAKATI HIZO ZINASALITIWA KWA TAMAA YA FEDHA AU MADARAKA HUKU MISINGI ILIYOWEKWA IKIKIUKWA HASA YA UADILIFU.
 
Habarinjema kwa UKAWA... na kilio kwa CCM uchaguzi, 25 Oct. 2015, nisiwachoshe, let'sdig in...!!!

SABABU KUU ZA CCM kuanguka...!!

1: KATIBA mpya ya WARIOBA.... huu ndio masumari mkuu, na wananchi WANA HASIRANA HILI.. na CCM walichakachua, na wako kimya...hata Ilani yao hawasemi hilo

2: UFISADI.... hadi sasa CCM hawana SERA... wanaongelea Lowassa, Lowassa,Lowassa, Lowassa... hawana policies kabisa...Watu wanahoji na wanajua CCM ndioina ufisadi wa kutisha, sio Lowassa, Lowassa hana kesi au kutuhumiwa sehemuyoyote na vyombo vya Dola... eg TAKUKURU, DPP, MAHAKAMA, POLICE, TUME YAMAADILI YA VIONGOZI WA UMMA na hata KAMATI ya maadili ya CCM haijawahi mshutumumaisha yake yote akiwa CCM na Serikalini... so CCM hawana points, sasa watuwanajua mengiii kuhusu ufisadi... kuna

a) ESCROW... wizi wa wazi...

b) EPA... wizi wa wazi..

c) WANYAMA hai kwenda na Ndege hadi Twiga... hii ni hatari kuu

d) RICHMOND... sio ya Lowassa na kaikana, na hata Obama alipelekwa Ubungo nakuipongeza... so utajua ni ya nani hapo..

e) IPTL... hili ndio ZIMWI LINALO TUMALIZA... na mnajua mmiliki wake... watuwanajua haswaaa...!!!

f) MIKATABA YA GESI NA MAFUTA.. hapa hata PAC, hawajui nn hii mikataba TAIFAlinafaidika... tunaibiwa mchana
mchana tena.. hadi TPDC wenyewe hawajui kuna nn ndani... hatari sana

g) MEREMETA...

h) KIWIRA...

i) TEMBO wanuawa sana, na wahusika wanajulikana, hadi meli zake... so wananchiwanajua,kinana ni muusika mkubwa kwenye ili. WACHINA ndio wanashirikiana nae,jambazi mkuu wa swala hili... Wachina wamemaliza nchi yetu...

j) MKOPO WA BOMBA LA GESI from CHINA... Tshs. 1.6 TRILLION... yaani Dollarbillion 1 kwa rate ya wakati ule wa mkopo... Hizo fedha watu wanahoji fedhahizo kama zimetumika, ZIMEFICHWA SANA SANAAA... na wanasema almost nusu tu ndioimetumika kulaza mabomba ya Gesi from Mtwara hadi Dar... Zingine ndiohivyo..refer Freeman Mbowe..

k) MABEHEWA FEKI... tshs 252 Bilioni, jamani... na Mwakyembe akiwa waziri waUchukuzi, hatari sana hii... billions zote zilitolewa na kulipwa kwa wakatimmoja kinyume na taratibu za manunuzi... you have to pay half kikawaida, thenbidhaa au VIFAA vikisha tengenezwa na kuwa tested to standard na kuona viko toSTANDARD... ndio UNALIPA NUSU YA FEDHA ZILIZOBAKIA...

L) MELI YA SAMAKI ya Magufuli...Serikali imeshindwa kesi...na sasa inadaiwabillions.. huu ni ufisadi, yaani unamkamata mwizi, kaiba samaki wetu, alafuunashindwa kesi, HAPA SBB MELI NI YA CHINA TU... so WACHINA WANATUMALIZA HADIBAHARI YETU.. WACHINA HAWAFAI...

m) NYUMBA ZA SERIKALI... yaani hapa ndio DHAMANI YA MA TRILLIONS zilipotea...bure kabisa, Magufuli ndio kahusika... BILLIONS of ASSETS incl..Prime Areasziligawiwa hovyo na kuwapa ndugu, vimada, hapa Serikali ilipoteza matrillions... hii ni hasara kubwa sana saanaaa...

n) LOLIONDO... ule mradi wa waarabu ni ni wizi mtu wa kuwinda wanyama, ORTELOgroup... nchi haifaidiki na chochote... na KINANA alihusika kuwapa waarabu waleLOLIONDO...

o) BANDARI YETU... hapa CCM na serikali yake ndio imekuwa kichaka cha kuchumafedha, na kutoa misamaha ya kodi BILLIONS kwa wiki tu... mfano kampuni moja tuya mtoto wa kigogo, inasamehewa Tshs. 16 billions kwa wiki moja tu... ni hatarisana...

p) MIKATABA YA MADINI... hapa tumeliwa hadi basi... we lost TRILLIONS ofTshs... na wafaidika ni CCM na vigogo wake... wananchi maeneo husika ya migodiwamekuwa vilema na maskini fukara wa kutupa...mikataba ya migodi INAFICHWAKULIKO SEHEMU ZA SIRI ZA MWANADAMU WA LEO...

q) MADAWA YA KULEVYAAAAAA... wote mnajua hata siandiki kitu hapa... yaani...

r) NET GROUPS solutions... yaani wee acha tu..

HAYO ni kwa UCHACHE TU MADHAMBI na UFISADI WA CCM

....SERA za CCM sasa ktk UCHAGUZI HUU... ni hakuna kitu... sera zao tuone..

1: Lowassaaaa, Lowassaaa... Lowassaaaa, Lowassaaaaaaaa..nonsense...

2: MSIFANYE MABADILIKO mtakuwa kama Libya, sijui Tunisia... what..?? hatamgombea wao hajui LIBYA na Tunisia hawakupiga kura wala MAPINDUZI YAOHAUJATOKANA NA KURA.. nashangaa mifano mfu kabisa.. wanatisha watu hovyo... ilahawatolei mifano KENYA, MALAWI, ZAMBIA ambayo ni mifano halisi na yetu...

3: NITAFUNGUA MAHAKAMA YA MAFISADI... eeeehh.. hii ndio priority ya watanzaniakweli...?????

4: UDINI... badala wauze sera bora, wamebaki kusema udini, huku wakijua niuongo kabisa.. walianza na Ugonjwa, ukanda, ukabila vyote vimegonga mwamba...

5: KUWA SAMBARATISHA VIONGOZI WAKUU WAWILI WA UKAWA... Dr. Slaa na Lipumba..mbinu hizi mbili kuu ndio ilikuwa SILAHA kuu za CCM, na zote zimeshindwakabisa.. wananchi wamebaki na UKAWA.. na hakuna alio wafuata hao, na sasaWANANCHI WANAWAONA WASALITI WAKUU.. so mbinu hii au sera hii imefeli vibaya..

6: MGOMBEA URAIS CCM, anaongea kama mpinzani, na yeye ANATAKA MABADILIKO..anashangaa DAWA HAKUNA, VIWANDA VIMEKUFA... ANASHANGAA UFISADI, na hata anasemaKUNA MCHWA WENGI SERIKALINI sana, sasa hapo anamchongea boss wake kwa wananchi,na ANASHANGAZA... YUKO KAMA HAGOMBEI CCM vile...

7: ETI kitandani kikiingia KUNGUNI wawili utachoma kitanda au utawatafutaKUNGUNI wawili utawaua... hii sio sera jamani... this is TOO LOW....

8: CCM wananchi wameichoka sana, ulizia kila group la watu, kila kona yanchi... na hata wana CCM wengii wataipigia kura UKAWA... yaani wengi bado wanamatumaini sana na Lowassa , hii ndio hatari kubwa CCM kuliko yote.. na hawatakikuona hili...

CCM ikifuatilia kwa makini, hawana JIPYA... kabisa kabisa...

SOON nakuja na SERA ZA UKAWA muone sasa...kwnn CCM inakufa.. hapa chini...

 
Kwanini Gwajima ausike katika mchakato huu, alafu vp katiba inasemaje mtu kuingia kamati kuu kama c mjumbe,
 
Back
Top Bottom