Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 11,269
- 14,093
Gwajima Pamoja kuwa bila kupepesa macho ni Mzinzi wa kutupwa ila kuna mahali Mungu amemtumia.
Mungu anaweza kukutumia ukiwa na dhambi zako na mwisho akakutia Jehanam.
Wako watu wengi Wameokoka Kikwelikweli kupitia hayohayo mafundisho na vituko vya Gwajima yaani Gwajiboy.
Gwajima ameokoa Roho nyingi sana kuliko hata wewe na mimi, na huo ndio mpango wa Mungu
Kuwaleta watu wake katika ufalme wake.
Ili aurithi Ufalme wa Mbingu Gwajima ni lazima atubu na aache kufanya uovu tena, na aache ule utapeli wake wa kujidai anafufua Wafu.
Mungu anaweza kukutumia ukiwa na dhambi zako na mwisho akakutia Jehanam.
Wako watu wengi Wameokoka Kikwelikweli kupitia hayohayo mafundisho na vituko vya Gwajima yaani Gwajiboy.
Gwajima ameokoa Roho nyingi sana kuliko hata wewe na mimi, na huo ndio mpango wa Mungu
Kuwaleta watu wake katika ufalme wake.
Ili aurithi Ufalme wa Mbingu Gwajima ni lazima atubu na aache kufanya uovu tena, na aache ule utapeli wake wa kujidai anafufua Wafu.