johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
Askofu Gamanywa wa BCIC amesema Mwenye Haki hutwaliwa ili kumtenganisha na Waovu asije akaangamizwa pamoja nao
Askofu Gamanywa amesema Mpinga Kristo ambaye atakuja kiutawala hii Dunia ni Shoga na Dini yake ni Ushoga
Askofu amesisitiza kwa sasa hali ya Ushoga imefikia kiwango cha kutisha Duniani kote na silaha pekee ya Kupambana nao ni Injili Takatifu ya Yesu Kristo
Source: Shalom tv/ Wapo Radio
Askofu Gamanywa amesema Mpinga Kristo ambaye atakuja kiutawala hii Dunia ni Shoga na Dini yake ni Ushoga
Askofu amesisitiza kwa sasa hali ya Ushoga imefikia kiwango cha kutisha Duniani kote na silaha pekee ya Kupambana nao ni Injili Takatifu ya Yesu Kristo
Source: Shalom tv/ Wapo Radio