Askofu Dr Bagonza: Mwongozo wa Kuhama Chama

Askofu Dr Bagonza: Mwongozo wa Kuhama Chama

Ukisikia PHD ndio hizi, huitaji kuambiwa kwamba wewe ni PHD holder. Tumeona wengine PHD holder wanaongea vitu nya ajabu mpaka unawaza aliipataje kama ndio anakuwa na frikra za namna hii! Anyway kizuri kinaoneka wala hakiitaji kupigiwa debe.
kwamba PhD holder lazma aongee kitu cha kukufurahisha then ndo awe PhD holder
 
Ameandika Baba Askofu Rev.Dr.Banson Bagonza (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe.

MWONGOZO WA KUHAMA CHAMA

Katika msimu wa Ligi yoyote, huwa kuna wachezaji kuhama club zao. Hata kwenye siasa, dini na hata ndoa, imeanza kuzoeleka watu kuhama au kuachana. Napendekeza Mwongozo wa kuhama:

1. Unapohama, tueleze uzuri wa unakokwenda, si ubaya wa unakotoka. Tayari tunajua utokako ni kubaya ndiyo maana umeondoka.

2. Tueleze uzuri na ubaya wako, si uzuri na ubaya wa watu unaoachana nao. Mapenzi yana upofu wa kudumu. Mwenye neno “MAPINDUZI” katika jina lake, anamshtaki mwenye harufu tu ya jina la “UHAINI”.

3. Jitahidi kukumbuka kuwa unayemwacha aliwahi kuwa mwema kwako (Baby) mpaka mkazaa watoto. Kwa ajili ya watoto, songa mbele kimya kimya.

4. Ukiweza hamia uendako kimya kimya, tutakuona ukiwa huko. Ukitaka kurudi, rudi kimya kimya. Usipoahidi kitu hudaiwi chochote. Maneno mengi yanamtisha mpenzi mpya.

5. KUMBUKA: Hakuna chuki ya kudumu wala mahaba ya kudumu. Mahaba ya kutongozea siyo ya kutunzia ndoa. Unakimbia kikwapa na kuangukia kwenye shombo.
20250509_200219.jpg
 
MWONGOZO WA KUHAMA CHAMA

Katika msimu wa Ligi yoyote, huwa kuna wachezaji kuhama club zao. Hata kwenye siasa, dini na hata ndoa, imeanza kuzoeleka watu kuhama au kuachana. Napendekeza Mwongozo wa kuhama:

1. Unapohama, tueleze uzuri wa unakokwenda, si ubaya wa unakotoka. Tayari tunajua utokako ni kubaya ndiyo maana umeondoka.

2. Tueleze uzuri na ubaya wako, si uzuri na ubaya wa watu unaoachana nao. Mapenzi yana upofu wa kudumu. Mwenye neno “MAPINDUZI” katika jina lake, anamshtaki mwenye harufu tu ya jina la “UHAINI”.

3. Jitahidi kukumbuka kuwa unayemwacha aliwahi kuwa mwema kwako (Baby) mpaka mkazaa watoto. Kwa ajili ya watoto, songa mbele kimya kimya.

4. Ukiweza hamia uendako kimya kimya, tutakuona ukiwa huko. Ukitaka kurudi, rudi kimya kimya. Usipoahidi kitu hudaiwi chochote. Maneno mengi yanamtisha mpenzi mpya.

5. KUMBUKA: Hakuna chuki ya kudumu wala mahaba ya kudumu. Mahaba ya kutongozea siyo ya kutunzia ndoa. Unakimbia kikwapa na kuangukia kwenye shombo.

Source fb page yake
Then akaweka picha hizi
View attachment 3330219
View attachment 3330220
akiacha na kujitenga na ufuska itapendeza zaidi 🐒
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
MWONGOZO WA KUHAMA CHAMA

Katika msimu wa Ligi yoyote, huwa kuna wachezaji kuhama club zao. Hata kwenye siasa, dini na hata ndoa, imeanza kuzoeleka watu kuhama au kuachana. Napendekeza Mwongozo wa kuhama:

1. Unapohama, tueleze uzuri wa unakokwenda, si ubaya wa unakotoka. Tayari tunajua utokako ni kubaya ndiyo maana umeondoka.

2. Tueleze uzuri na ubaya wako, si uzuri na ubaya wa watu unaoachana nao. Mapenzi yana upofu wa kudumu. Mwenye neno “MAPINDUZI” katika jina lake, anamshtaki mwenye harufu tu ya jina la “UHAINI”.

3. Jitahidi kukumbuka kuwa unayemwacha aliwahi kuwa mwema kwako (Baby) mpaka mkazaa watoto. Kwa ajili ya watoto, songa mbele kimya kimya.

4. Ukiweza hamia uendako kimya kimya, tutakuona ukiwa huko. Ukitaka kurudi, rudi kimya kimya. Usipoahidi kitu hudaiwi chochote. Maneno mengi yanamtisha mpenzi mpya.

5. KUMBUKA: Hakuna chuki ya kudumu wala mahaba ya kudumu. Mahaba ya kutongozea siyo ya kutunzia ndoa. Unakimbia kikwapa na kuangukia kwenye shombo.

Source fb page yake
Then akaweka picha hizi
View attachment 3330219
View attachment 3330220
Hivi Askofu Dk. Bagonza yule mtoto wake aliyemtelekezaGA aliishaanza kumhudumia? Kuna watu wana roho ngumu!!
 
Hivi Askofu Dk. Bagonza yule mtoto wake aliyemtelekezaGA aliishaanza kumhudumia? Kuna watu wana roho ngumu!!
NIbora mwenye roho ngumu kwani hata kukufa hakufi,kuliko mwenye akili ngumu kama Mtoto wa shule.
 
muft wa bongo nae tusome sehemu ameandika kama hivyo
Kaishia la ngapi? Only intellectuals can write what he wrote. Sana sana huyo kuonesha busara zake, kaamua kukaa zake kimya and hence wenye nchi hawajui hata anawaza nini? Hi nayo ni hekima kutoka kwa Mungu
 
Hivi Askofu Dk. Bagonza yule mtoto wake aliyemtelekezaGA aliishaanza kumhudumia? Kuna watu wana roho ngumu!!
Wewe ndio mama wa mtoto? Tupatie ushuhuda kama hutojali, anakutunza au kaacha? Maanake huwezi kuandika kwa uhakika kama hivi if humjui vizuri
 
MWONGOZO WA KUHAMA CHAMA

Katika msimu wa Ligi yoyote, huwa kuna wachezaji kuhama club zao. Hata kwenye siasa, dini na hata ndoa, imeanza kuzoeleka watu kuhama au kuachana. Napendekeza Mwongozo wa kuhama:

1. Unapohama, tueleze uzuri wa unakokwenda, si ubaya wa unakotoka. Tayari tunajua utokako ni kubaya ndiyo maana umeondoka.

2. Tueleze uzuri na ubaya wako, si uzuri na ubaya wa watu unaoachana nao. Mapenzi yana upofu wa kudumu. Mwenye neno “MAPINDUZI” katika jina lake, anamshtaki mwenye harufu tu ya jina la “UHAINI”.

3. Jitahidi kukumbuka kuwa unayemwacha aliwahi kuwa mwema kwako (Baby) mpaka mkazaa watoto. Kwa ajili ya watoto, songa mbele kimya kimya.

4. Ukiweza hamia uendako kimya kimya, tutakuona ukiwa huko. Ukitaka kurudi, rudi kimya kimya. Usipoahidi kitu hudaiwi chochote. Maneno mengi yanamtisha mpenzi mpya.

5. KUMBUKA: Hakuna chuki ya kudumu wala mahaba ya kudumu. Mahaba ya kutongozea siyo ya kutunzia ndoa. Unakimbia kikwapa na kuangukia kwenye shombo.

Source fb page yake
Then akaweka picha hizi
View attachment 3330219
View attachment 3330220

Ushauri wa busara kubwa sana!
 
Back
Top Bottom