MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,090
- 22,353
Askofu hayuko sahihi. Mbowe sio gaidi ila ni mtuhumiwa kwenye kesi ya ugaidi. Pia aelewe gaidi sio kibaka wa mtaani anaenyoa kiduku. Magaidi ni watu wasomi wasiojihusisha na mambo ya kipuuzi mtaani. Ni watu ambao wakiwa wanakamatwa utaona wanaonewa ila utaamini siku likitokea tukio. Askofu aache mahakama ifanye kazi yake. Serikali imefanya fair kumshtaki ili apate nafasi ya kujitetea na kujiondolea hizo tuhuma.