Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,804
- 218,449
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba huko Mkoani Kilimanjaro , Jimbo la Hai kwenye Kijiji ambacho anatokea Mh Mbowe , leo kumefanyika hafla ndogo ya kuuaga mwaka 2022 na kuukaribisha mwaka 2023 , ambako Freeman Mbowe na Wanakijiji wenzake wamekutana na kufanya Tathmini ya yaliyotokea kwa mwaka huu , na kupanga mikakati ya kukivusha kijiji chao kwenye 2023 .
Miongoni mwa Wageni waliohudhuria hafla hiyo na kutoa neno ni Baba Askofu Dr Shoo , ambaye ni Mkuu wa Kanisa la KKKT Nchini Tanzania .
Nimevutiwa na hafla hii ambayo inaonyesha upendo wa kweli miongoni mwa wanakijiji hao .
Miongoni mwa Wageni waliohudhuria hafla hiyo na kutoa neno ni Baba Askofu Dr Shoo , ambaye ni Mkuu wa Kanisa la KKKT Nchini Tanzania .
Nimevutiwa na hafla hii ambayo inaonyesha upendo wa kweli miongoni mwa wanakijiji hao .