Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 2,790
- 1,232
KabisaMungu yupo na anaona yote!
Bila Shaka atajibu kwa kishindo!
KabisaMungu yupo na anaona yote!
Bila Shaka atajibu kwa kishindo!
Huyo shoo hajielewi. Kesi ipo mahakamani yeye anazungunza Kama nani?Heshimu viongozi wa dini hata kama siyo DINI au DHEHEBU lako..
Umenena yaliyo na mashiko. Hivi Mbowe akikutwa na hatia kwa ushahidi usio na shaka ataweka wapi uso wake?Utetezi wa kijinga sana,rohoni kwa mtu ni mbali sana,askofu aache upuuzi,dola ina mkono mrefu sana
Ndio maana ameomba Haki itendeke bwashee!Umenena yaliyo na mashiko. Hivi Mbowe akikutwa na hatia kwa ushahidi usio na shaka ataweka wapi uso wake?
Askofu mkuu wa KKKT Dr Shoo amesema anamfahamu vizuri Freeman Mbowe ambaye amewahi pia kuwa mbunge wake na hakuwahi kuiona tabia ya ugaidi moyoni kwake, hivyo atashangaa sana kama Freeman ni gaidi
Askofu Shoo amesema haki itendeke katika kesi hii ambayo inafuatiliwa na watu wenye mapenzi mema duniani kote.
Dr Shoo amesema haya kwenye mazishi ya mama mkwe wa Freeman Mbowe amnapo aliongoza misa ya mazishi.
Mungu ni mwema wakati wote!
Kwahiyo Gwajima ni askofu wa CCM!!Askofu wa Chadema huyo, ulitegemea nini? Ukiachilia mbali ni mchaga mwenzake.
Kwahiyo Gwajima ni askofu wa CCM!!
Kwahiyo kigezo cha kugombea ubunge pale CCM ni KABILA.Who told you Gwajima ni Askofu? Wa wapi? Nani kampa uaskofu? When? Where? Amegraduate wapi?
Anyway ngoja nikujibu tu.
Gwajima who is 100% fake bishop ni CHADEMA, hajawahi kuwa CCM, Mwendazake alilazimisha agombee ubunge sbb ya ukabila tu hakuna kingine, tokea lini Gwajima 100% fake bishop ni CCM?
Kwahiyo kigezo cha kugombea ubunge pale CCM ni KABILA.
Mwambieni huyo Shoo aisome vizuri sheria ya Ugaidi ya mwaka 2002, apate picha kamili kuhusu Ugaidi ni kitu gani na makosa yake yakoje.Askofu mkuu wa KKKT Dr Shoo amesema anamfahamu vizuri Freeman Mbowe ambaye amewahi pia kuwa mbunge wake na hakuwahi kuiona tabia ya ugaidi moyoni kwake, hivyo atashangaa sana kama Freeman ni gaidi
Askofu Shoo amesema haki itendeke katika kesi hii ambayo inafuatiliwa na watu wenye mapenzi mema duniani kote.
Dr Shoo amesema haya kwenye mazishi ya mama mkwe wa Freeman Mbowe amnapo aliongoza misa ya mazishi.
Mungu ni mwema wakati wote!
Baadae unaweza kusema hata Shaka amebebwa!I said, mwendazake alimbeba tu Gwajima sbb ya ukabila, sijasema wengine na sio kigezo cha CCM.
Tukiweka mbali dini, itikadi, vyama na vikundi vyote vya kijamii, akili ya kawaida huonesha HAKI ilipo.
Ujinga na chuki una madhara makubwa sana katika maamuzi ya viongozi wa taasisi mbali
Uko sahihi mkuuTukiweka mbali dini, itikadi, vyama na vikundi vyote vya kijamii, akili ya kawaida huonesha HAKI ilipo.
Ujinga na chuki una madhara makubwa sana katika maamuzi ya viongozi wa taasisi mbalimbali.
Baadae unaweza kusema hata Shaka amebebwa!
Najaribu kumtafakari sabaya na utetezi wake dhidi ya kesi yake, na kama alichosema kwamba alikua anapokea order from upstairs basi nadhani inabidi tuangalie upya terrorism issues kwa nchi yetu.Kama dau la kufanikisha matukio ya kigaidi hapa nchini ni Tsh 600,000/- basi wasiwasi wa Askofu Shoo utakuwa ni wenye kutiliwa shaka. Vinginevyo ni hakika ya kwamba Jeshi la Polisi nchini litakuwa na makamanda wa hovyo sana.
Na endapo mahakama itashindwa kumtia hatiani Mh. Mbowe kwa kosa la ugaidi, basi jeshi hili litapaswa kupuuzwa sana. Na hapo ndipo maneno ya hekima ya Askofu yatakapo thibitika.
Kwahiyo wananchi wa Kawe wana ukabila?Mbona huelewi? Shaka alikuwa sio CCM? Nachokwambia Gwajima hakuwahi kuwa CCM, Gwajima fake pastor ni CAHDEMA, ni Mwendazake kambeba tu sbb ya ukabila. Unaanza kuchanganya mambo sasa. Shaka is CCM, na ww unajua, hata kama kapewa Ukatibu uenezi, ila ni CCM. Mm nachosema Gwajima hakuwahi kuwa CCM, kapewa tu ubunge sbb ya ukabila. Umenielewa?
Amuonye nani? Mi mwenyewe nina uwezo wa kumuonya!Unaweza kuona umeandika jambo la maana, kumbe unachafua hali ya hewa. moja ya jukumu la viongozi wa dini ni kufundisha, kuonya na kushauri. Wewe kwa akili yako umeaona makosa gani kwa kauli hii ya baba Askofu ?, au ndio unatafuta umaarufu kupitia kwa watumishi wa Mungu. JITAFAKARI SANA
Huna hojaI said, mwendazake alimbeba tu Gwajima sbb ya ukabila, sijasema wengine na sio kigezo cha CCM.
Kama kiongozi wa dini anaongea upuuzi, uhalali wa yeye kuheshimiwa unatoka wapi?Heshimu viongozi wa dini hata kama siyo DINI au DHEHEBU lako..