Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,156
- 48,400
Askofu Bangonza kwenye waraka wake ameeleza mambo mengi sana kuhusu CCM kugeuza nyundo alama ya chama chao kuwagonga wasiokubaliana nao.
Lakini kamalizia na Aya aliyoijaza mambo yanayotaka TAFAKURI ya kina. Askofu Bagonza Kaandika hivi:
"Wamesahau Mungu wetu haongeki na hapokei maelekezo. Kwake ni HAKI tu. Tumuombe mapenzi yake yatimizwe. Ikimpendeza atatenda tena."
Ni kina nani hao ambao wamesahau kuwa Mungu anayemwabudu Askofu Bagonza hapokei rushwa wala maelekezo?
Kwa nini Askofu Bagonza aseme Kwa huyu Mungu anayemuabudu kuna haki tu? Ni wapi kaona hakuna haki?
Na anapomalizia kwa kusema tumuombe huyo Mungu mapenzi yake yatimizwe ni mapenzi gani hayo ambayo Askofu Bagonza anataka tuombe yatimizwe?
Na sentensi yake ya mwisho anaposema kuwa huyo Mungu ikimpendeza atatenda tena, kwani huyo Mungu aliwahi kutenda nini ambacho Askofu Bagonza anatamani kitendwe tena?
Sisi LY tusiojua mambo haya TUNATATIZIKA! Wenye "D" mbili hebu tuelimisheni wenzenu tuliosoma kwenye shule za vidumu na mifagio kuwa hapa huyo msomi mwenzenu alimaanisha nini?
Lakini kamalizia na Aya aliyoijaza mambo yanayotaka TAFAKURI ya kina. Askofu Bagonza Kaandika hivi:
"Wamesahau Mungu wetu haongeki na hapokei maelekezo. Kwake ni HAKI tu. Tumuombe mapenzi yake yatimizwe. Ikimpendeza atatenda tena."
Ni kina nani hao ambao wamesahau kuwa Mungu anayemwabudu Askofu Bagonza hapokei rushwa wala maelekezo?
Kwa nini Askofu Bagonza aseme Kwa huyu Mungu anayemuabudu kuna haki tu? Ni wapi kaona hakuna haki?
Na anapomalizia kwa kusema tumuombe huyo Mungu mapenzi yake yatimizwe ni mapenzi gani hayo ambayo Askofu Bagonza anataka tuombe yatimizwe?
Na sentensi yake ya mwisho anaposema kuwa huyo Mungu ikimpendeza atatenda tena, kwani huyo Mungu aliwahi kutenda nini ambacho Askofu Bagonza anatamani kitendwe tena?
Sisi LY tusiojua mambo haya TUNATATIZIKA! Wenye "D" mbili hebu tuelimisheni wenzenu tuliosoma kwenye shule za vidumu na mifagio kuwa hapa huyo msomi mwenzenu alimaanisha nini?