Askofu Bagonza: Kuna watu wanasali Novena kumlilia Mungu leo siku ya tano

Anaandika Askofu Bagonza

Chanjo Mbowe ,Katiba mpya, Tozo za miamala na Rais Samia.

Mambo haya 5 yameshikilia mustakabali wa nchi kwa sasa. Amani, haki, Maendeleo na ustawi vinatikiswa. Jiulize...
Mungu wetu atajibu kwa uaminifu na tutaona matendo makuu ya Mungu!
 
Usinichokoze.

Mie nasema kwamba hiyo tuhuma ni ndogo. Kuna kubwa zaidi. Kwa mfano, Mbowe alifadhili matukio ya ughaidi wa mabomu ya Olasiti Arusha.

Watu kadhaa walikufa. Msimamizi Mkuu wa ughaidi huo alikuwa mwanachadema aitwaye Mohammed Mtoi. ..
Huu ushahidi uliwahi kuuripoti polisi? hilo tukio la bomu na ajali uliyounganisha havina uhusiano wa moja kwa moja, umetengeneza picha yako kichwani ukatuwekea hapa tuisome, ushahidi zaidi unahitajika.

Sasa ngoja nikupe tukio moja lenye uhusiano wa moja kwa moja; lile bomu la Soweto ni nani alielipua? na ni nani aliewaambia wafuasi wa Chadema siku ile ya mkutano kuna bomu litalipuka hivyo kwa usalama wao wasiende kwenye ule mkutano? jibu unalijua, kama hulijui ni Madelu.
 
kumeibuka watu wqanaojiita maaskofu kumbe niwachumia tumbotu kama huyu aliyeharisha hapa na yule mwenzie mwanaharakati uchwara mwamakula wanaingilia mambo yasiyowahusu na ndiyo maana hawatafaulu katikaharakati zao....
Niliposoma hoja yako ya pili nikagundua wewe kwa Elimu yako ya ngumbalo huwezi mjibu baba askofu. Yaani wewe kwa uelewa wako Wana ccm Ni viongozi tu?

Sasa nikuambie mie wazazi wangu ni wafia dini wa ccm. Lakini hawataki kabisa kusikia hiyo kitu inaitwa chanjo. Huo ni mfano tu lakini Kuna kundi kubwa Sana la Wana ccm hawataki chanjo. Shida yako upo maporini huko unalima ulezi huwezi jua yanayoendelea duniani
 
Hivi wewe una akili kweli??unajua 99%ya umasikini wetu unaletwa na katiba mbovu...raisi sio Mungu anafanya makosa awamu zote sita wangekuwa jela Sasa hivi..
 
Tunaendelea kumlilia Mungu wa Yakobo
 
Wanaouliza kwa nini Mbowe amekamatwa sasa na si vinginevyo wanasahau kuwa Mbowe, Lema, Meya wa zamani Ubungo Boniface walikamatwa mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa na kabla Rais hajaapishwa kwa kuchochea maandamano yasiyo na kikomo kupinga matokeo. Mambosasa alihojiwa na vituo vya ITV na TBC na kutoa madai hayo hayo ya ugaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…