Askofu Bagonza: Kuna watu wanasali Novena kumlilia Mungu leo siku ya tano

Yani tozo,mbowe,chanjo sijaelewa kabisa imekuwaje?

Kuna jambo litatokea,moyo wangu umeshaanza kuona jambo mbele ya safari.

Mfikishieni hili ono samia
 
.
IMG-20210802-WA0020.jpg
 
kumeibuka watu wqanaojiita maaskofu kumbe niwachumia tumbotu kama huyu aliyeharisha hapa na yule mwenzie mwanaharakati uchwara mwamakula wanaingilia mambo yasiyowahusu na ndiyo maana hawatafaulu katikaharakati zao.

1. hakuna sehemu serikali imetumia nguvu kuwataka watu wakachanjwe maana ni hiari na siyo lazima kwahiyo huyu jamaa ni muongo.

2. hakuna mwana ccm aliyepinga chanjo umeona ni kiongozi gani wa ccm ameibuka na kuipinga chanjo? huo ni uongo na uzandiki.

3.suala la mbowe wanaolivalia njuga kulipinga ni wana chadema pekeyao ulishaona mwana ccm analizungumzia suala ambalo liko mahakamani? usimhusishe kila mtu hao nchadema pekeyao.

4.suala la tozo mmeshaambiwa linashughurikiwa kwanini mnalifanya kama ajenda tena?

5.suala la katiba liko chadema lini umelisiukia kwa ccm huo ni uongo na askofu muongo huyo siaskofu bali ni mchumia tumbo mmekula hela za mabeberu zitapikeni tu hamna jinsi

Mengine yote hayana umuhimu askofu acha uchnganishi kama umekula hela za watu rudisha ulinde heshima yako najidharirisha
Take a chill pill.
 
Anaandika Askofu Bagonza


Chanjo Mbowe ,Katiba mpya, Tozo za miamala na Rais Samia.

Mambo haya 5 yameshikilia mustakabali wa nchi kwa sasa. Amani, haki, Maendeleo na ustawi vinatikiswa. Jiulize:

1. Kwa nini itumike nguvu na jitihada za ziada kuwaaminisha watu wakachanje wakati afya ni mali yao?

2. Kwa nini wana CCM wapinge chanjo wakati afya ni sera ya ilani yao ya Uchaguzi?

3. Kwa nini suala la Mbowe kufunguliwa mashtaka ya ugaidi linapigiwa kelele na watu bila kujali itikadi zao?

4. Kwa nini tozo za mihamala zimeligawa bunge na serikali na kuusambaratisha uwajibikaji wa pamoja?

5. Kwa nini madai ya Katiba Mpya sasa yanaanza kusikika ndani ya CCM kuliko ilivyokuwa katika awamu ya 5?

6. Kwa nini watu wengi wakiwamo Wana CCM wanamlaumu Rais SSH kwa yote 4 (Mbowe, Tozo, Katiba Mpya na Chanjo)?

Ukweli usiotamkwa
a). Awamu ya 5 ilimwaga sumu kali kupinga chanjo na uwepo wa Corona. Waliopinga chanjo na corona hawawezi kuvinadi leo ikakubalika. Watafutwe wengine kutoka makundi yote.

b). Serikali na Chama tawala vimegawanyika juu ya chanjo. Kila mtu anatamani katiba mpya inayoruhusu Rais kuhojiwa bila ya anayehoji kupata madhara. Kuna wengi waliomuunga mkono lakini sasa wanafikiri vinginevyo.

c). Tuhuma za ugaidi dhidi ya Mbowe zimeligawa Taifa. Zimefuta mazuri yote ya awamu ya 6. Zimechochea madai ya Katiba Mpya. Waliomshauri Rais hawalitakii mema Taifa. Hata chama tawala wanataka haki za Binadamu. Urais uko mnadani.

c). Mpaka sasa mawaziri (wa fedha na Waziri wa Miamala ya simu) hawajatoa hoja zenye nguvu kuhalalisha tozo za juu kwa watumiaji. Wengi wanaona mawaziri wanamhujumu Rais au Rais ameruhusu kuhujumiwa.

d). Rais Samia ni "Rais wa Katiba" kwa mujibu wa Katiba. Kuna "wapotoshaji" pande zote (CCM na Upinzani) wanaosema Rais hapendi katiba mpya kwa sababu hii anaiona nzuri kwa kumleta madarakani. Muungano huu wa "wapotoshaji" si salama kwa Rais. Rais ana fursa nzuri ya kuweka historia. Anaelekea kuipoteza.

Muhimu
Kumshikilia Mbowe kwa tuhuma zinazoonekana "bambikizi", kunaua uwezekano wa maridhiano na mazungumzo ya kuliunganisha Taifa.

Taifa lililogawanyika
-Haliwezi kujibu ushirikina wa
kisomi (conspiracy)

-Haliwezi kuchanja chanjo kikamilifu

-Haliwezi kuingia vita dhidi ya corona

-Haliwezi kuwa na bajeti endelevu

-Linaongozwa na nguvu kuliko akili

-Haliwajibiki kwa pamoja mbele ya
umma

-Huwaona raia kuwa maadui wa Taifa.

Damu isiyo na hatia isipokomboa huangamiza na mateso ya mwenye haki ni hukumu kwa matawala asiyeona dhuluma.

Kuna watu wanaomba Novena leo siku ya 5.
Rais yuko Rwanda 😀😀😀
 
Anaandika Askofu Bagonza


Chanjo Mbowe ,Katiba mpya, Tozo za miamala na Rais Samia.

Mambo haya 5 yameshikilia mustakabali wa nchi kwa sasa. Amani, haki, Maendeleo na ustawi vinatikiswa. Jiulize:

1. Kwa nini itumike nguvu na jitihada za ziada kuwaaminisha watu wakachanje wakati afya ni mali yao?

2. Kwa nini wana CCM wapinge chanjo wakati afya ni sera ya ilani yao ya Uchaguzi?

3. Kwa nini suala la Mbowe kufunguliwa mashtaka ya ugaidi linapigiwa kelele na watu bila kujali itikadi zao?

4. Kwa nini tozo za mihamala zimeligawa bunge na serikali na kuusambaratisha uwajibikaji wa pamoja?

5. Kwa nini madai ya Katiba Mpya sasa yanaanza kusikika ndani ya CCM kuliko ilivyokuwa katika awamu ya 5?

6. Kwa nini watu wengi wakiwamo Wana CCM wanamlaumu Rais SSH kwa yote 4 (Mbowe, Tozo, Katiba Mpya na Chanjo)?

Ukweli usiotamkwa
a). Awamu ya 5 ilimwaga sumu kali kupinga chanjo na uwepo wa Corona. Waliopinga chanjo na corona hawawezi kuvinadi leo ikakubalika. Watafutwe wengine kutoka makundi yote.

b). Serikali na Chama tawala vimegawanyika juu ya chanjo. Kila mtu anatamani katiba mpya inayoruhusu Rais kuhojiwa bila ya anayehoji kupata madhara. Kuna wengi waliomuunga mkono lakini sasa wanafikiri vinginevyo.

c). Tuhuma za ugaidi dhidi ya Mbowe zimeligawa Taifa. Zimefuta mazuri yote ya awamu ya 6. Zimechochea madai ya Katiba Mpya. Waliomshauri Rais hawalitakii mema Taifa. Hata chama tawala wanataka haki za Binadamu. Urais uko mnadani.

c). Mpaka sasa mawaziri (wa fedha na Waziri wa Miamala ya simu) hawajatoa hoja zenye nguvu kuhalalisha tozo za juu kwa watumiaji. Wengi wanaona mawaziri wanamhujumu Rais au Rais ameruhusu kuhujumiwa.

d). Rais Samia ni "Rais wa Katiba" kwa mujibu wa Katiba. Kuna "wapotoshaji" pande zote (CCM na Upinzani) wanaosema Rais hapendi katiba mpya kwa sababu hii anaiona nzuri kwa kumleta madarakani. Muungano huu wa "wapotoshaji" si salama kwa Rais. Rais ana fursa nzuri ya kuweka historia. Anaelekea kuipoteza.

Muhimu
Kumshikilia Mbowe kwa tuhuma zinazoonekana "bambikizi", kunaua uwezekano wa maridhiano na mazungumzo ya kuliunganisha Taifa.

Taifa lililogawanyika
-Haliwezi kujibu ushirikina wa
kisomi (conspiracy)

-Haliwezi kuchanja chanjo kikamilifu

-Haliwezi kuingia vita dhidi ya corona

-Haliwezi kuwa na bajeti endelevu

-Linaongozwa na nguvu kuliko akili

-Haliwajibiki kwa pamoja mbele ya
umma

-Huwaona raia kuwa maadui wa Taifa.

Damu isiyo na hatia isipokomboa huangamiza na mateso ya mwenye haki ni hukumu kwa matawala asiyeona dhuluma.

Kuna watu wanaomba Novena leo siku ya 5.
CCM imechanganyikiwa na Bagonza kachanganyikiwa. Sasa wanatuchanganya halafu nao wanajichanganya. Ama kweli, wakati mkirumbana kirusi kinavyekfa. Si muachane na kutunishiana misuli mkomboe watu wetu.
 
Anaandika Askofu Bagonza


Chanjo Mbowe ,Katiba mpya, Tozo za miamala na Rais Samia.

Mambo haya 5 yameshikilia mustakabali wa nchi kwa sasa. Amani, haki, Maendeleo na ustawi vinatikiswa. Jiulize:

1. Kwa nini itumike nguvu na jitihada za ziada kuwaaminisha watu wakachanje wakati afya ni mali yao?

2. Kwa nini wana CCM wapinge chanjo wakati afya ni sera ya ilani yao ya Uchaguzi?

3. Kwa nini suala la Mbowe kufunguliwa mashtaka ya ugaidi linapigiwa kelele na watu bila kujali itikadi zao?

4. Kwa nini tozo za mihamala zimeligawa bunge na serikali na kuusambaratisha uwajibikaji wa pamoja?

5. Kwa nini madai ya Katiba Mpya sasa yanaanza kusikika ndani ya CCM kuliko ilivyokuwa katika awamu ya 5?

6. Kwa nini watu wengi wakiwamo Wana CCM wanamlaumu Rais SSH kwa yote 4 (Mbowe, Tozo, Katiba Mpya na Chanjo)?

Ukweli usiotamkwa
a). Awamu ya 5 ilimwaga sumu kali kupinga chanjo na uwepo wa Corona. Waliopinga chanjo na corona hawawezi kuvinadi leo ikakubalika. Watafutwe wengine kutoka makundi yote.

b). Serikali na Chama tawala vimegawanyika juu ya chanjo. Kila mtu anatamani katiba mpya inayoruhusu Rais kuhojiwa bila ya anayehoji kupata madhara. Kuna wengi waliomuunga mkono lakini sasa wanafikiri vinginevyo.

c). Tuhuma za ugaidi dhidi ya Mbowe zimeligawa Taifa. Zimefuta mazuri yote ya awamu ya 6. Zimechochea madai ya Katiba Mpya. Waliomshauri Rais hawalitakii mema Taifa. Hata chama tawala wanataka haki za Binadamu. Urais uko mnadani.

c). Mpaka sasa mawaziri (wa fedha na Waziri wa Miamala ya simu) hawajatoa hoja zenye nguvu kuhalalisha tozo za juu kwa watumiaji. Wengi wanaona mawaziri wanamhujumu Rais au Rais ameruhusu kuhujumiwa.

d). Rais Samia ni "Rais wa Katiba" kwa mujibu wa Katiba. Kuna "wapotoshaji" pande zote (CCM na Upinzani) wanaosema Rais hapendi katiba mpya kwa sababu hii anaiona nzuri kwa kumleta madarakani. Muungano huu wa "wapotoshaji" si salama kwa Rais. Rais ana fursa nzuri ya kuweka historia. Anaelekea kuipoteza.

Muhimu
Kumshikilia Mbowe kwa tuhuma zinazoonekana "bambikizi", kunaua uwezekano wa maridhiano na mazungumzo ya kuliunganisha Taifa.

Taifa lililogawanyika
-Haliwezi kujibu ushirikina wa
kisomi (conspiracy)

-Haliwezi kuchanja chanjo kikamilifu

-Haliwezi kuingia vita dhidi ya corona

-Haliwezi kuwa na bajeti endelevu

-Linaongozwa na nguvu kuliko akili

-Haliwajibiki kwa pamoja mbele ya
umma

-Huwaona raia kuwa maadui wa Taifa.

Damu isiyo na hatia isipokomboa huangamiza na mateso ya mwenye haki ni hukumu kwa matawala asiyeona dhuluma.

Kuna watu wanaomba Novena leo siku ya 5.
Bibi keshaanza kuchemsha mapeeeeeema.

Na akitaka atoke alipo amtoe KATIBU MKUU KIONGOZI ALOPO SASA.
HUYU BWANA MHHHHHHH MALIZENI KUJAZA
 
Anaandika Askofu Bagonza


Chanjo Mbowe ,Katiba mpya, Tozo za miamala na Rais Samia.

Mambo haya 5 yameshikilia mustakabali wa nchi kwa sasa. Amani, haki, Maendeleo na ustawi vinatikiswa. Jiulize:

1. Kwa nini itumike nguvu na jitihada za ziada kuwaaminisha watu wakachanje wakati afya ni mali yao?

2. Kwa nini wana CCM wapinge chanjo wakati afya ni sera ya ilani yao ya Uchaguzi?

3. Kwa nini suala la Mbowe kufunguliwa mashtaka ya ugaidi linapigiwa kelele na watu bila kujali itikadi zao?

4. Kwa nini tozo za mihamala zimeligawa bunge na serikali na kuusambaratisha uwajibikaji wa pamoja?

5. Kwa nini madai ya Katiba Mpya sasa yanaanza kusikika ndani ya CCM kuliko ilivyokuwa katika awamu ya 5?

6. Kwa nini watu wengi wakiwamo Wana CCM wanamlaumu Rais SSH kwa yote 4 (Mbowe, Tozo, Katiba Mpya na Chanjo)?

Ukweli usiotamkwa
a). Awamu ya 5 ilimwaga sumu kali kupinga chanjo na uwepo wa Corona. Waliopinga chanjo na corona hawawezi kuvinadi leo ikakubalika. Watafutwe wengine kutoka makundi yote.

b). Serikali na Chama tawala vimegawanyika juu ya chanjo. Kila mtu anatamani katiba mpya inayoruhusu Rais kuhojiwa bila ya anayehoji kupata madhara. Kuna wengi waliomuunga mkono lakini sasa wanafikiri vinginevyo.

c). Tuhuma za ugaidi dhidi ya Mbowe zimeligawa Taifa. Zimefuta mazuri yote ya awamu ya 6. Zimechochea madai ya Katiba Mpya. Waliomshauri Rais hawalitakii mema Taifa. Hata chama tawala wanataka haki za Binadamu. Urais uko mnadani.

c). Mpaka sasa mawaziri (wa fedha na Waziri wa Miamala ya simu) hawajatoa hoja zenye nguvu kuhalalisha tozo za juu kwa watumiaji. Wengi wanaona mawaziri wanamhujumu Rais au Rais ameruhusu kuhujumiwa.

d). Rais Samia ni "Rais wa Katiba" kwa mujibu wa Katiba. Kuna "wapotoshaji" pande zote (CCM na Upinzani) wanaosema Rais hapendi katiba mpya kwa sababu hii anaiona nzuri kwa kumleta madarakani. Muungano huu wa "wapotoshaji" si salama kwa Rais. Rais ana fursa nzuri ya kuweka historia. Anaelekea kuipoteza.

Muhimu
Kumshikilia Mbowe kwa tuhuma zinazoonekana "bambikizi", kunaua uwezekano wa maridhiano na mazungumzo ya kuliunganisha Taifa.

Taifa lililogawanyika
-Haliwezi kujibu ushirikina wa
kisomi (conspiracy)

-Haliwezi kuchanja chanjo kikamilifu

-Haliwezi kuingia vita dhidi ya corona

-Haliwezi kuwa na bajeti endelevu

-Linaongozwa na nguvu kuliko akili

-Haliwajibiki kwa pamoja mbele ya
umma

-Huwaona raia kuwa maadui wa Taifa.

Damu isiyo na hatia isipokomboa huangamiza na mateso ya mwenye haki ni hukumu kwa matawala asiyeona dhuluma.

Kuna watu wanaomba Novena leo siku ya 5.
Heshima kwako Baba Askofu Bagonza.Umeongea ukweli na kuthibitisha hilo tazama/someni mabandiko ya CCM kukujibu.Wanaweza hata kumtusi Baba Askofu kwa ukosefu wa nidhamu na kutokujali kwao Wananchi.
Wanajidai kuwatumikia wanyonge huku wakiwaumiza Wananchi wasio na hatia.
 
Ni watu wenye akili tu ndiyo huweza kuwajua wenye akili.
Siku zote BAGONZA ni mnafiki sana!

Anasema wanaopinga chanjo ni ccm! Ila wanaopinga Mbowe kukamatwa ni watu wote wakiwemo wana ccm!

Huyu mtu hana akili kabisa! Huku mtaani kila mtu wakiwemo wanachadema wanapinga hizo chanjo. Yeye asiangalie watu waliojazana hapo kwenye dayosisi yake tu.

Haka kajmaa kwanza ni kadikteta na ka kabila sana,! Kwenye dayosisi yake ni kama ka mungu flani hivi.

Kwa bagonza phd yake kwanza Mungu baadae!

Taifa hili haliwezi kugawanyika kwa sababu Mbowe kakamatwa kwa ugaidi.

Mbona Sabaya alipokamatwa yeye Bagonza alifurahia? Kwanini sasa asisubiri Mbowe ajitetee mahakamani?

Kuhusu hizo tozo. Hivi kipindi kile Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza tozo yeye alikuwa wapi kukemea kabla hazijapitishwa iwe sheria? au nae alikuwa amejiunga na kina Lisu kusaini petition ya kumtoa Diamond kwenye tuzo za bet?
Ni wale wenye akili tu ndio huweza kuwaelewa watu wenye akili kubwa kama Askofu Bagonza. Wewe huwezi kumuelewa au umemwelewa lakini unapotosha makusudi.
 
Anaandika Askofu Bagonza


Chanjo Mbowe ,Katiba mpya, Tozo za miamala na Rais Samia.

Mambo haya 5 yameshikilia mustakabali wa nchi kwa sasa. Amani, haki, Maendeleo na ustawi vinatikiswa. Jiulize:

1. Kwa nini itumike nguvu na jitihada za ziada kuwaaminisha watu wakachanje wakati afya ni mali yao?

2. Kwa nini wana CCM wapinge chanjo wakati afya ni sera ya ilani yao ya Uchaguzi?

3. Kwa nini suala la Mbowe kufunguliwa mashtaka ya ugaidi linapigiwa kelele na watu bila kujali itikadi zao?

4. Kwa nini tozo za mihamala zimeligawa bunge na serikali na kuusambaratisha uwajibikaji wa pamoja?

5. Kwa nini madai ya Katiba Mpya sasa yanaanza kusikika ndani ya CCM kuliko ilivyokuwa katika awamu ya 5?

6. Kwa nini watu wengi wakiwamo Wana CCM wanamlaumu Rais SSH kwa yote 4 (Mbowe, Tozo, Katiba Mpya na Chanjo)?

Ukweli usiotamkwa
a). Awamu ya 5 ilimwaga sumu kali kupinga chanjo na uwepo wa Corona. Waliopinga chanjo na corona hawawezi kuvinadi leo ikakubalika. Watafutwe wengine kutoka makundi yote.

b). Serikali na Chama tawala vimegawanyika juu ya chanjo. Kila mtu anatamani katiba mpya inayoruhusu Rais kuhojiwa bila ya anayehoji kupata madhara. Kuna wengi waliomuunga mkono lakini sasa wanafikiri vinginevyo.

c). Tuhuma za ugaidi dhidi ya Mbowe zimeligawa Taifa. Zimefuta mazuri yote ya awamu ya 6. Zimechochea madai ya Katiba Mpya. Waliomshauri Rais hawalitakii mema Taifa. Hata chama tawala wanataka haki za Binadamu. Urais uko mnadani.

c). Mpaka sasa mawaziri (wa fedha na Waziri wa Miamala ya simu) hawajatoa hoja zenye nguvu kuhalalisha tozo za juu kwa watumiaji. Wengi wanaona mawaziri wanamhujumu Rais au Rais ameruhusu kuhujumiwa.

d). Rais Samia ni "Rais wa Katiba" kwa mujibu wa Katiba. Kuna "wapotoshaji" pande zote (CCM na Upinzani) wanaosema Rais hapendi katiba mpya kwa sababu hii anaiona nzuri kwa kumleta madarakani. Muungano huu wa "wapotoshaji" si salama kwa Rais. Rais ana fursa nzuri ya kuweka historia. Anaelekea kuipoteza.

Muhimu
Kumshikilia Mbowe kwa tuhuma zinazoonekana "bambikizi", kunaua uwezekano wa maridhiano na mazungumzo ya kuliunganisha Taifa.

Taifa lililogawanyika
-Haliwezi kujibu ushirikina wa
kisomi (conspiracy)

-Haliwezi kuchanja chanjo kikamilifu

-Haliwezi kuingia vita dhidi ya corona

-Haliwezi kuwa na bajeti endelevu

-Linaongozwa na nguvu kuliko akili

-Haliwajibiki kwa pamoja mbele ya
umma

-Huwaona raia kuwa maadui wa Taifa.

Damu isiyo na hatia isipokomboa huangamiza na mateso ya mwenye haki ni hukumu kwa matawala asiyeona dhuluma.

Kuna watu wanaomba Novena leo siku ya 5.

nawaonea huruma sana washarika wa huyu askofu
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Yaani wewe na akili zako unaamini maelezo ya Polisi kuwa Mbowe ni gaidi alitaka kulipua vituo vya petrol station? —Wakati mwingine uwe unatumia common sense
Usinichokoze.

Mie nasema kwamba hiyo tuhuma ni ndogo. Kuna kubwa zaidi. Kwa mfano, Mbowe alifadhili matukio ya ughaidi wa mabomu ya Olasiti Arusha.

Watu kadhaa walikufa. Msimamizi Mkuu wa ughaidi huo alikuwa mwanachadema aitwaye Mohammed Mtoi.

Upelelezi wa kipolisi ulikuwa unaendelea. Lakini Mbowe akaagiza Kurugenzi ya usalama ya Chadema kuharibu uchunguzi kwa kuua mhusika muhimu--Mohammed Mtoi. Mtoi aliuawa kwenye ajali ya gari.

Mwenzake na Mtoi--Renatus Mulashani (Pichani)--aliyekuwa naye katika gari siku hiyo alinusurika kifo lakini mguu ulivunjika na kutibiwa kwa zaidi ya Mwaka.

Hili ni tukio moja tu. Kuna matulio mengi kama haya yaliyotekelezwa na wafuasi wa Chadeama chini ya ufadhili wa Mbowe.

Kwa ufupi, Mbowe anafadhili ughaidi. Najua, naelewa na kuamini hivyo. Polisi hawajamwonea. Shikeni adabu zenu msije mkaumbuka wote.

Mbowe-is-a-Terrorist.

1627921635752.png

Renatusi Mulashani--aliponea chupuchupu kwenye ajali ya kupangwa iliyochukua uhai wa Mohammed Mtoi.
 
Usinichokoze.

Mie nasema kwamba hiyo tuhuma ni ndogo. Kuna kubwa zaidi. Kwa mfano, Mbowe alifadhili matukio ya ughaidi wa mabotu ya Olasiti Arusha.

Watu walikufa. Msimamizi Mkuu wa ughaidi huo alikuwa MOhammed Mtoi. Upelelezi wa kipolisi ukawa unaendelea.

Mbowe akaagiza Kurugenzi ya usalama kuharibu uchumguzi kwa kuua mhusika muhimu--Mohammed Mtoi. Mtoi aliuawa kwenye ajali ya gari.

Mwenzake aliyekuwa naye alinusurika kifo lakini mguu ulivunjika na kutibiwa kwa zaidi ya Mwaka--Renatus Mulashani (Pichani). Hili ni tukio moja tu. Ukitaka nitaongeza.

Kwa ufupi, Mbowe anafadhili ughaidi. Najua, naelewa na kuamini hivyo. Polisi hawajamwonea. Shikeni adabu zenu msije mkaumbuka wote. Mbowe-is-a-Terrorist.

View attachment 1877632

Renatusi Mulashani--aliponea chupuchupu kwenye ajali ya kupangwa iliyochukua uhai wa Mohammed Mtoi.
Nasikia kama sauti ya Madelu.
Kumbe mama amon ndiye Madelu!

Wale mlioko kwenye maombi ya novena kazeni hapo hapo. Mungu atajibu wala hatakawia.
 
Tumia akili japo kidogo Iboya2021 . Huyu ana PhD ya uhakika ya mambo ya dini.

Tang miaka ya mitume watawala huonywa na viongozi wa kiimani wanapopotoka. Katika hoja zako umekuwa ukiwataja Cdm as if hawana haki ya kudai haki za msingi eg. Katiba mpya au hata mwenyekiti wao kutendewa haki !!!.

Tumia akili vizuri
Kiongozi wa dini ni sauti ya Mungu ndani ya wanadamu
 
Back
Top Bottom