Kwanini umeamua kusomea ujinga!kumeibuka watu wqanaojiita maaskofu kumbe niwachumia tumbotu kama huyu aliyeharisha hapa na yule mwenzie mwanaharakati uchwara mwamakula wanaingilia mambo yasiyowahusu na ndiyo maana hawatafaulu katikaharakati zao.
1. hakuna sehemu serikali imetumia nguvu kuwataka watu wakachanjwe maana ni hiari na siyo lazima kwahiyo huyu jamaa ni muongo.
2. hakuna mwana ccm aliyepinga chanjo umeona ni kiongozi gani wa ccm ameibuka na kuipinga chanjo? huo ni uongo na uzandiki.
3.suala la mbowe wanaolivalia njuga kulipinga ni wana chadema pekeyao ulishaona mwana ccm analizungumzia suala ambalo liko mahakamani? usimhusishe kila mtu hao nchadema pekeyao.
4.suala la tozo mmeshaambiwa linashughurikiwa kwanini mnalifanya kama ajenda tena?
5.suala la katiba liko chadema lini umelisiukia kwa ccm huo ni uongo na askofu muongo huyo siaskofu bali ni mchumia tumbo mmekula hela za mabeberu zitapikeni tu hamna jinsi
Mengine yote hayana umuhimu askofu acha uchnganishi kama umekula hela za watu rudisha ulinde heshima yako najidharirisha
Acha udiniManeno kama haya ni ngum sana kuyasikia kwa viongozi wa BAKWATA,
Umesema sawa kabisa...Ukimtathimini huyu Askofu, yeye ni dikteta mzuri kuliko hata anaowatuhumu tena ana ego ya hali ya juu. Serikali haijakataza mtu kuchanja wala haijawanyima haki walio na doubts kuhusu chanjo kuikataa, hii ni demokrasia ya hali ya juu, ila yeye anataka kulazimisha watu wakachanjwe kwakua yeye anaiamini chanjo na hataki kuona mtu yeyote aliyekinyume na hicho anacho amini yeye anapewa haki yake...Huyu ni very selfish being, hakuna uaskofu hapo zaidi ya ushetani ambao unaji exercise kupitia maneno yake na matendo yake. Mimi kama mkristo mwenzake na haki ya kumnyooshea kidole kwakua katika hayo hakuna ukristo...Ukristo hauhusu wala hauwakosei adabu wengine, kisha haufanyi mambo yake yenyewe...kumeibuka watu wqanaojiita maaskofu kumbe niwachumia tumbotu kama huyu aliyeharisha hapa na yule mwenzie mwanaharakati uchwara mwamakula wanaingilia mambo yasiyowahusu na ndiyo maana hawatafaulu katikaharakati zao.
1. hakuna sehemu serikali imetumia nguvu kuwataka watu wakachanjwe maana ni hiari na siyo lazima kwahiyo huyu jamaa ni muongo.
2. hakuna mwana ccm aliyepinga chanjo umeona ni kiongozi gani wa ccm ameibuka na kuipinga chanjo? huo ni uongo na uzandiki.
3.suala la mbowe wanaolivalia njuga kulipinga ni wana chadema pekeyao ulishaona mwana ccm analizungumzia suala ambalo liko mahakamani? usimhusishe kila mtu hao nchadema pekeyao.
4.suala la tozo mmeshaambiwa linashughurikiwa kwanini mnalifanya kama ajenda tena?
5.suala la katiba liko chadema lini umelisiukia kwa ccm huo ni uongo na askofu muongo huyo siaskofu bali ni mchumia tumbo mmekula hela za mabeberu zitapikeni tu hamna jinsi
Mengine yote hayana umuhimu askofu acha uchnganishi kama umekula hela za watu rudisha ulinde heshima yako najidharirisha
Nilitaka niifute hiyo '' Like'' moja uliyojiwekea ubakize negative like, lakini nimeshindwa, bahati yakokumeibuka watu wqanaojiita maaskofu kumbe niwachumia tumbotu kama huyu aliyeharisha hapa na yule mwenzie mwanaharakati uchwara mwamakula wanaingilia mambo yasiyowahusu na ndiyo maana hawatafaulu katikaharakati zao.
1. hakuna sehemu serikali imetumia nguvu kuwataka watu wakachanjwe maana ni hiari na siyo lazima kwahiyo huyu jamaa ni muongo.
2. hakuna mwana ccm aliyepinga chanjo umeona ni kiongozi gani wa ccm ameibuka na kuipinga chanjo? huo ni uongo na uzandiki.
3.suala la mbowe wanaolivalia njuga kulipinga ni wana chadema pekeyao ulishaona mwana ccm analizungumzia suala ambalo liko mahakamani? usimhusishe kila mtu hao nchadema pekeyao.
4.suala la tozo mmeshaambiwa linashughurikiwa kwanini mnalifanya kama ajenda tena?
5.suala la katiba liko chadema lini umelisiukia kwa ccm huo ni uongo na askofu muongo huyo siaskofu bali ni mchumia tumbo mmekula hela za mabeberu zitapikeni tu hamna jinsi
Mengine yote hayana umuhimu askofu acha uchnganishi kama umekula hela za watu rudisha ulinde heshima yako najidharirisha
we utakuwa KENilitaka niifute hiyo '' Like'' moja uliyojiwekea ubakize negative like, lakini nimeshindwa, bahati yako
Usipokuwa na hoja sio lazima kuchangiawe utakuwa KE
ANAYEANZA MMALIZEUsipokuwa na hoja sio lazima kuchangia
ANAYEANZA MMALIZE
Hili nalo nenO!kumeibuka watu wqanaojiita maaskofu kumbe niwachumia tumbotu kama huyu aliyeharisha hapa na yule mwenzie mwanaharakati uchwara mwamakula wanaingilia mambo yasiyowahusu na ndiyo maana hawatafaulu katikaharakati zao.
1. hakuna sehemu serikali imetumia nguvu kuwataka watu wakachanjwe maana ni hiari na siyo lazima kwahiyo huyu jamaa ni muongo.
2. hakuna mwana ccm aliyepinga chanjo umeona ni kiongozi gani wa ccm ameibuka na kuipinga chanjo? huo ni uongo na uzandiki.
3.suala la mbowe wanaolivalia njuga kulipinga ni wana chadema pekeyao ulishaona mwana ccm analizungumzia suala ambalo liko mahakamani? usimhusishe kila mtu hao nchadema pekeyao.
4.suala la tozo mmeshaambiwa linashughurikiwa kwanini mnalifanya kama ajenda tena?
5.suala la katiba liko chadema lini umelisiukia kwa ccm huo ni uongo na askofu muongo huyo siaskofu bali ni mchumia tumbo mmekula hela za mabeberu zitapikeni tu hamna jinsi
Mengine yote hayana umuhimu askofu acha uchnganishi kama umekula hela za watu rudisha ulinde heshima yako najidharirisha
Ni chaummaBagonza ni CCM au Chadema?
Siku zote wanafalsafa husema yaliyo sahihi fanya na jamiiMwanafilosoph ya dini.
Ukitaka akuchambulie mambo huwa haegemei upande wowote.
Ila ukimchukulia kwa haraka waweza ona kama mpinzani.
Ni tabia za akina Sheikh Ponda(Maono kwanza)
Maaskofu wa kikatoliki wako bize wanakunywa divai na ostiaAsante Baba Askofu Bagonza, hivi viongozi wengine wa dini na wazee wa Taifa hili wapo wapi!?
Akili yako fupi Sana kumwelewa bagonza Rudi shule ukapigwe msasaSiku zote BAGONZA ni mnafiki sana!
Anasema wanaopinga chanjo ni ccm! Ila wanaopinga Mbowe kukamatwa ni watu wote wakiwemo wana ccm!
Huyu mtu hana akili kabisa! Huku mtaani kila mtu wakiwemo wanachadema wanapinga hizo chanjo. Yeye asiangalie watu waliojazana hapo kwenye dayosisi yake tu.
Haka kajmaa kwanza ni kadikteta na ka kabila sana,! Kwenye dayosisi yake ni kama ka mungu flani hivi.
Kwa bagonza phd yake kwanza Mungu baadae!
Taifa hili haliwezi kugawanyika kwa sababu Mbowe kakamatwa kwa ugaidi.
Mbona Sabaya alipokamatwa yeye Bagonza alifurahia? Kwanini sasa asisubiri Mbowe ajitetee mahakamani?
Kuhusu hizo tozo. Hivi kipindi kile Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza tozo yeye alikuwa wapi kukemea kabla hazijapitishwa iwe sheria? au nae alikuwa amejiunga na kina Lisu kusaini petition ya kumtoa Diamond kwenye tuzo za bet?
MaCCM akili zenu hazina akili kabisa, kila mtu mtamuona Audi yenu, kwa kua mmepoteza dira na muelekeo.kumeibuka watu wqanaojiita maaskofu kumbe niwachumia tumbotu kama huyu aliyeharisha hapa na yule mwenzie mwanaharakati uchwara mwamakula wanaingilia mambo yasiyowahusu na ndiyo maana hawatafaulu katikaharakati zao.
1. hakuna sehemu serikali imetumia nguvu kuwataka watu wakachanjwe maana ni hiari na siyo lazima kwahiyo huyu jamaa ni muongo.
2. hakuna mwana ccm aliyepinga chanjo umeona ni kiongozi gani wa ccm ameibuka na kuipinga chanjo? huo ni uongo na uzandiki.
3.suala la mbowe wanaolivalia njuga kulipinga ni wana chadema pekeyao ulishaona mwana ccm analizungumzia suala ambalo liko mahakamani? usimhusishe kila mtu hao nchadema pekeyao.
4.suala la tozo mmeshaambiwa linashughurikiwa kwanini mnalifanya kama ajenda tena?
5.suala la katiba liko chadema lini umelisiukia kwa ccm huo ni uongo na askofu muongo huyo siaskofu bali ni mchumia tumbo mmekula hela za mabeberu zitapikeni tu hamna jinsi
Mengine yote hayana umuhimu askofu acha uchnganishi kama umekula hela za watu rudisha ulinde heshima yako najidharirisha
hahaaaa acha huu mchezo hauhitaji hasira utaumia kisaccos henu ndiyo hoiiii bin taaban mbwe ananyea debe hukoMaCCM akili zenu hazina akili kabisa, kila mtu mtamuona Audi yenu, kwa kua mmepoteza dira na muelekeo.
Futeni tu vyama vingi , au mnaogopa mtakosa hela za Mabeberu. Pumbavu kabisa.
Bagonza mnamwelewa nyie mapopomaAkili yako fupi Sana kumwelewa bagonza Rudi shule ukapigwe msasa