Askofu Bagonza: Kuna watu wanasali Novena kumlilia Mungu leo siku ya tano

na kuna washauri wa rais wanamshauri aige style ya awamu ya 4 asijali maneno ya watu yenye achanje mbuga tu mtaongea mchana na usiku mtalala :D :D :D :D :D
 
Sala/mafungo ya Novena sio sala ya kawaida kwa wale waliokulia kwenye ukristo kweli kweli wanaijua nguvu yake na husaliwa kwa siku tisa mfululizo. Lakini Novena ili iwe Novena ni lazima wanaoisali wawe watu wenye mioyo safi na uonevu/madai wanayoyapeleka kwa Mungu ni lazima yawe ya kweli yasiwe ya uongo. Lakini si wakati wote inatumika kwenye uonevu/madai tu bali pia mtu anaweza kuitumia pale anapokuwa anaomba kitu fulani au anapokuwa na shida fulani na anaomba Mungu amsaidie kupata suluhisho.

Kwa hiyo hao aliosema Dr. Bagonza kuwa wanasali Novena nafikiri waachwe wasali kwa imani yao kama watakuwa wasafi wa mioyo na wana madai ya kweli hakika Mungu atawajibu kwa wakati wake anaoona unafaa. Lakini kama ni madai ya uongo basi yatapita hivi hivi tu kama upepo na maisha yataendelea kama kawaida.
 
kumeibuka watu wqanaojiita maaskofu kumbe niwachumia tumbotu kama huyu aliyeharisha hapa na yule mwenzie mwanaharakati uchwara mwamakula wanaingilia mambo yasiyowahusu na ndiyo maana hawatafaulu katikaharakati zao.

1. hakuna sehemu serikali imetumia nguvu kuwataka watu wakachanjwe maana ni hiari na siyo lazima kwahiyo huyu jamaa ni muongo.

2. hakuna mwana ccm aliyepinga chanjo umeona ni kiongozi gani wa ccm ameibuka na kuipinga chanjo? huo ni uongo na uzandiki.

3.suala la mbowe wanaolivalia njuga kulipinga ni wana chadema pekeyao ulishaona mwana ccm analizungumzia suala ambalo liko mahakamani? usimhusishe kila mtu hao nchadema pekeyao.

4.suala la tozo mmeshaambiwa linashughurikiwa kwanini mnalifanya kama ajenda tena?

5.suala la katiba liko chadema lini umelisiukia kwa ccm huo ni uongo na askofu muongo huyo siaskofu bali ni mchumia tumbo mmekula hela za mabeberu zitapikeni tu hamna jinsi

Mengine yote hayana umuhimu askofu acha uchnganishi kama umekula hela za watu rudisha ulinde heshima yako najidharirisha
Kwanini umeamua kusomea ujinga!
 
kumeibuka watu wqanaojiita maaskofu kumbe niwachumia tumbotu kama huyu aliyeharisha hapa na yule mwenzie mwanaharakati uchwara mwamakula wanaingilia mambo yasiyowahusu na ndiyo maana hawatafaulu katikaharakati zao.

1. hakuna sehemu serikali imetumia nguvu kuwataka watu wakachanjwe maana ni hiari na siyo lazima kwahiyo huyu jamaa ni muongo.

2. hakuna mwana ccm aliyepinga chanjo umeona ni kiongozi gani wa ccm ameibuka na kuipinga chanjo? huo ni uongo na uzandiki.

3.suala la mbowe wanaolivalia njuga kulipinga ni wana chadema pekeyao ulishaona mwana ccm analizungumzia suala ambalo liko mahakamani? usimhusishe kila mtu hao nchadema pekeyao.

4.suala la tozo mmeshaambiwa linashughurikiwa kwanini mnalifanya kama ajenda tena?

5.suala la katiba liko chadema lini umelisiukia kwa ccm huo ni uongo na askofu muongo huyo siaskofu bali ni mchumia tumbo mmekula hela za mabeberu zitapikeni tu hamna jinsi

Mengine yote hayana umuhimu askofu acha uchnganishi kama umekula hela za watu rudisha ulinde heshima yako najidharirisha
Umesema sawa kabisa...Ukimtathimini huyu Askofu, yeye ni dikteta mzuri kuliko hata anaowatuhumu tena ana ego ya hali ya juu. Serikali haijakataza mtu kuchanja wala haijawanyima haki walio na doubts kuhusu chanjo kuikataa, hii ni demokrasia ya hali ya juu, ila yeye anataka kulazimisha watu wakachanjwe kwakua yeye anaiamini chanjo na hataki kuona mtu yeyote aliyekinyume na hicho anacho amini yeye anapewa haki yake...Huyu ni very selfish being, hakuna uaskofu hapo zaidi ya ushetani ambao unaji exercise kupitia maneno yake na matendo yake. Mimi kama mkristo mwenzake na haki ya kumnyooshea kidole kwakua katika hayo hakuna ukristo...Ukristo hauhusu wala hauwakosei adabu wengine, kisha haufanyi mambo yake yenyewe...

Kisha ni mtu asiyeeleweka kama anasimamia mambo ya kiroho au ya ki siasa...Kama ni askofu anachotafuta kwa watanzania ambao siyo wakriato ni nini? Akalihutubie kanisa lake kama afanyavyo Askofu Gwahima na siyo kujipa platform ya nchi nzima kwa maandiko yake kama vile alichaguliwa kwa katiba ya Tanzania...Hiyo ni insurbodination kwa Rais wa Tanzania ambaye ametoa uhuru kwa watanzania wa aina zote na kwakufanya hivuo ameilinda katiba ya nchi hii kisha ndiye aliyeliunganisha taifa kinyume na yeye anayetaka ku impose imani yake kwa watanzania hata ambao siyo wa kanisa lake.

He is just another attention seeker and selfish being, sorry to say this!
 
kumeibuka watu wqanaojiita maaskofu kumbe niwachumia tumbotu kama huyu aliyeharisha hapa na yule mwenzie mwanaharakati uchwara mwamakula wanaingilia mambo yasiyowahusu na ndiyo maana hawatafaulu katikaharakati zao.

1. hakuna sehemu serikali imetumia nguvu kuwataka watu wakachanjwe maana ni hiari na siyo lazima kwahiyo huyu jamaa ni muongo.

2. hakuna mwana ccm aliyepinga chanjo umeona ni kiongozi gani wa ccm ameibuka na kuipinga chanjo? huo ni uongo na uzandiki.

3.suala la mbowe wanaolivalia njuga kulipinga ni wana chadema pekeyao ulishaona mwana ccm analizungumzia suala ambalo liko mahakamani? usimhusishe kila mtu hao nchadema pekeyao.

4.suala la tozo mmeshaambiwa linashughurikiwa kwanini mnalifanya kama ajenda tena?

5.suala la katiba liko chadema lini umelisiukia kwa ccm huo ni uongo na askofu muongo huyo siaskofu bali ni mchumia tumbo mmekula hela za mabeberu zitapikeni tu hamna jinsi

Mengine yote hayana umuhimu askofu acha uchnganishi kama umekula hela za watu rudisha ulinde heshima yako najidharirisha
Nilitaka niifute hiyo '' Like'' moja uliyojiwekea ubakize negative like, lakini nimeshindwa, bahati yako
 
Mungu mwenyewe atatukumboa watanzania kwenye hila na udhalimu wa CCM. Mungu tunaomba utusaidie
 
kumeibuka watu wqanaojiita maaskofu kumbe niwachumia tumbotu kama huyu aliyeharisha hapa na yule mwenzie mwanaharakati uchwara mwamakula wanaingilia mambo yasiyowahusu na ndiyo maana hawatafaulu katikaharakati zao.

1. hakuna sehemu serikali imetumia nguvu kuwataka watu wakachanjwe maana ni hiari na siyo lazima kwahiyo huyu jamaa ni muongo.

2. hakuna mwana ccm aliyepinga chanjo umeona ni kiongozi gani wa ccm ameibuka na kuipinga chanjo? huo ni uongo na uzandiki.

3.suala la mbowe wanaolivalia njuga kulipinga ni wana chadema pekeyao ulishaona mwana ccm analizungumzia suala ambalo liko mahakamani? usimhusishe kila mtu hao nchadema pekeyao.

4.suala la tozo mmeshaambiwa linashughurikiwa kwanini mnalifanya kama ajenda tena?

5.suala la katiba liko chadema lini umelisiukia kwa ccm huo ni uongo na askofu muongo huyo siaskofu bali ni mchumia tumbo mmekula hela za mabeberu zitapikeni tu hamna jinsi

Mengine yote hayana umuhimu askofu acha uchnganishi kama umekula hela za watu rudisha ulinde heshima yako najidharirisha
Hili nalo nenO!
 
Mwanafilosoph ya dini.
Ukitaka akuchambulie mambo huwa haegemei upande wowote.
Ila ukimchukulia kwa haraka waweza ona kama mpinzani.

Ni tabia za akina Sheikh Ponda(Maono kwanza)
Siku zote wanafalsafa husema yaliyo sahihi fanya na jamii

Tatizo huchukiwa na watawala
 
Siku zote BAGONZA ni mnafiki sana!

Anasema wanaopinga chanjo ni ccm! Ila wanaopinga Mbowe kukamatwa ni watu wote wakiwemo wana ccm!

Huyu mtu hana akili kabisa! Huku mtaani kila mtu wakiwemo wanachadema wanapinga hizo chanjo. Yeye asiangalie watu waliojazana hapo kwenye dayosisi yake tu.

Haka kajmaa kwanza ni kadikteta na ka kabila sana,! Kwenye dayosisi yake ni kama ka mungu flani hivi.

Kwa bagonza phd yake kwanza Mungu baadae!

Taifa hili haliwezi kugawanyika kwa sababu Mbowe kakamatwa kwa ugaidi.

Mbona Sabaya alipokamatwa yeye Bagonza alifurahia? Kwanini sasa asisubiri Mbowe ajitetee mahakamani?

Kuhusu hizo tozo. Hivi kipindi kile Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza tozo yeye alikuwa wapi kukemea kabla hazijapitishwa iwe sheria? au nae alikuwa amejiunga na kina Lisu kusaini petition ya kumtoa Diamond kwenye tuzo za bet?
Akili yako fupi Sana kumwelewa bagonza Rudi shule ukapigwe msasa
 
kumeibuka watu wqanaojiita maaskofu kumbe niwachumia tumbotu kama huyu aliyeharisha hapa na yule mwenzie mwanaharakati uchwara mwamakula wanaingilia mambo yasiyowahusu na ndiyo maana hawatafaulu katikaharakati zao.

1. hakuna sehemu serikali imetumia nguvu kuwataka watu wakachanjwe maana ni hiari na siyo lazima kwahiyo huyu jamaa ni muongo.

2. hakuna mwana ccm aliyepinga chanjo umeona ni kiongozi gani wa ccm ameibuka na kuipinga chanjo? huo ni uongo na uzandiki.

3.suala la mbowe wanaolivalia njuga kulipinga ni wana chadema pekeyao ulishaona mwana ccm analizungumzia suala ambalo liko mahakamani? usimhusishe kila mtu hao nchadema pekeyao.

4.suala la tozo mmeshaambiwa linashughurikiwa kwanini mnalifanya kama ajenda tena?

5.suala la katiba liko chadema lini umelisiukia kwa ccm huo ni uongo na askofu muongo huyo siaskofu bali ni mchumia tumbo mmekula hela za mabeberu zitapikeni tu hamna jinsi

Mengine yote hayana umuhimu askofu acha uchnganishi kama umekula hela za watu rudisha ulinde heshima yako najidharirisha
MaCCM akili zenu hazina akili kabisa, kila mtu mtamuona Audi yenu, kwa kua mmepoteza dira na muelekeo.
Futeni tu vyama vingi , au mnaogopa mtakosa hela za Mabeberu. Pumbavu kabisa.
 
MaCCM akili zenu hazina akili kabisa, kila mtu mtamuona Audi yenu, kwa kua mmepoteza dira na muelekeo.
Futeni tu vyama vingi , au mnaogopa mtakosa hela za Mabeberu. Pumbavu kabisa.
hahaaaa acha huu mchezo hauhitaji hasira utaumia kisaccos henu ndiyo hoiiii bin taaban mbwe ananyea debe huko
 
Back
Top Bottom