kwani askofu kuwa na HUMMER kuna tatizo gani
Nafikiri hakuna tatizo kama amelinunua na analiendesha kwa gharama zake mwenyewe.
kwani askofu kuwa na HUMMER kuna tatizo gani
Hakutakiwa kukubali kupokea gari linalosifika kwa kuchafua mazingira ya dunia hii kwa kufuja mafuta kiasi hicho!kuna magari mengi sana ambayo yangeweza kumfaa kwa kazi zake,zile gari za wamisionari zinafaa sana kwa mazingira magumu,kwa kanisa lake la ki-dar es salaam hata RAV4 ingemtosha!
Ajabu iko wapi wewe?
Nenda uwaone waumini wa mtu huyu, ni watu wenye pesa zao na wanaheshimika mno katika jamii, si wale mazuzu ambao utasema labda wanadanganywa..Ni watu wenye uelewa kuliko wewe!
Nani aliyewaambia kwa Mungu wetu kuna umasikini?
Hakuna definition ya umasikini zaidi ya MENDE NA PANYA, mnataka watu wanaomtumikia Mungu aliye hai waishi na funza na Panya ndo muone wanaongea ukweli?
Acheni fikra mbofumbofu bana, mi naona sawa, ili mradi hakuna malalamiko kanisani kwake,,who are we to judge?
Sijawahi kusikia hivyo ndo unaniambia wewe, na je we unayehoji matumizi yao: wewe gari lako unapkia maskini wangapi? unaishi na wsiojiweza na yatima wangapi? UNASEMA HABARI YA YESU, je lini uliacha vipindi vya TV, overtime zako, likizo ukaenda kuomba watu wampokee? watu waache dhambi? kuwahudumia wagonjwa usiowajua? Kwa hiyo mie nikifanya overtime zangu na kupokea hela yote nikaamua kumpelekea mtumishi leo ili asiende shambani akahubiri ni mjinga?Unanishangaza! Kwa hiyo watu masikini hawataweza kushiriki katika kanisa hilo maana hawatakuwa na uwezo wa kutoa sadaka nyingi?
pambavu
hivi wewe ulieleta mada umeona wapi amefanya kosa;umechangia kulipia kodi pale TRA
TOUCH NOT MY ANNOINTING ZABURI 105:15
HIVI WEWE ULISHAZOE KUHUBIRIWA UTAJIRI NA WACHUNGAJI MASKINI NYIE MNATARAJIWA NINI;ULITAKA MCHUNGAJI AVAE KANDAMBILI AKUOMBEE GARI
WAPI UMEONA UKIHUBIRIWA NA WA KANDAMBILI UTAPATA KANDAMBILI;UKIHUBIRIWA NA WENYE HAMMER UNAPATA IMPERTATION YA HAMMER NDUGU;NDIO MAANA NILIWEKA MADA MOJA TUNAHITAJI KUWEPO KWENYE MADHABAHAU SAHIHI;USIWE KWENYE MAKANISA ILI MRADI MAMAKO BABAKO ALIBATIZWA HAPO;UTABEBA LAAANZA ZA BABAKO NA MAMAKO N A KUWEKEWA MIKONO NA WACHUNGAJI WOTE AITOKI
MIMI NAKUSHAURI HUYO ALIEKWAMBIA MARUFUKU KUTEMBELEA HAMMER MTU WA MUNGU AMEKUKOSANISHA NA MUNGU;NENDA PALE KANISANI UBUNGO KWA GWAJIMA UKATUBU DHAMBI ZAKO;LABDA NIKUELEZE BIBILIA INASEMA TUSHIKE UPINDE WA VAZI LA MANABII;SASA WEWE UMEKAMATA VAZI LA MTU HANA NYUMBA AMEKAA NYUMBA YA KUPANGA ANAKUOMBEA UPATE GOROFA HIYO IMANI DHAIFU;SO LABDA NIKUELEZE MI NIMESALI MARA MOJA PALE;HAKIKA WATU WANATOA PESA WENYEWE KWA KUYAJUA MAANDIKO
NENDA KASOME MALAKI 3:6-14 UITAJI KWENDA KWA SHEIKH YAHAYA HUSSEIN UKAWA TAJIRI LIJUE NENO UTAPATA UTAJIRI NDUGU
NAKUTAKIA TOBA NJEMA
HIVI WEWE ULISHAZOE KUHUBIRIWA UTAJIRI NA WACHUNGAJI MASKINI NYIE MNATARAJIWA NINI;ULITAKA MCHUNGAJI AVAE KANDAMBILI AKUOMBEE GARI
WAPI UMEONA UKIHUBIRIWA NA WA KANDAMBILI UTAPATA KANDAMBILI;UKIHUBIRIWA NA WENYE HAMMER UNAPATA IMPERTATION YA HAMMER NDUGU;
Labda kwa makanisa ya Katoriki na Lutheran lakini makanisa ya kipentekoste wako wazi kwa masuala ya pesa na wala wachungaji hawahusiki kabisa katika masuala ya pesa.
ni kweli sio marufuku kutembelea hammer kwa mchungaji.. lakini mimi ningekuuliza swali moja.. we umesema umesali hapo ubungo kwahiyo obvious inaonesha unamwamini yesu.. na unaamini anauwezo wa yote swali je kipindi kile yesu amekuja kulikuwa na vitu vya fahari yesu alikuwa anatoka mji hadi mji kwenda kuhubiri neno.. hivi kwani yesu asingeshindwa kuwa na farasi wa ukweli (au a carriage).. ili kumrahisishia usafiri na pia badala ya kulala sehemu nyingine angekuwa anafikia motels au gesti house...
same thing kwake paul, alivyokuwa anahangaika kwenda drom place to plave kwani alishindwa kuwa na vitu vyotehivi?
kwahiyo haojamaa wanahubiri utajirii.. wanahubiri injili???? nadhani hapa ndo tatizo linapoanza.. watu wanenda kwenye makanisa kuhubiriwa utajiri sio kuhubiriwa injili.. au sio???[/QUOTE]
Yesu alikuwa ndio anaanza na wayahudi hawakuwa wamemkubali bado hata ndani ya majengo ya kuabudu mfano hekaluni mara nyingine walimfukuza, hivyo hakuwa free kuwaita watu waje humo awahubirie badala yake alikuwa anahubiri nje, sasa hivi Tz kuna uhuru wa kuabudu, mnaweza kuwa na eneo maalumu na watu wakakusanyika na kuhubiriwa au kuabudu, sasa Yesu ulitaka apande farasi wakati yupo nje amekaa anahubiri, mara nyingi alitumia boti tena hata kusababisha siku nzima wavuvi wasivue ili aweza hubiri juu yake, mbona leo hii ingekuwa ishuu.
Yesu hakukataa utajiri isipokuwa mtu asitawaliwe nao kiasi cha kuufanya ndio badala ya Mungu, angalia mfano niliotoa wa vitu vya kitajiri ambavyo alivipokea hata kushutumiwa na wafuasi wake hapo juu.
WANAHUBIRI UTAJIRI? Hiyo inategemea na wewe umeelewa vipi, lakini sidhani kama kuna anayepokea huo "utajri" au hitaji lake kama hasimami katika wokovu, na pia Mungu kukupa kitu ni kama anaona kitampa Yeye utukufu zaidi na si kama kila uombacho kinaweza jibiwa utakavyo isipokuwa ni mapenzi yake Mungu.
Ni kweli ndugu yangu wako wanaofanya hivyo lakini je kama unaamini Mungu basi ifunike kwa damu ya Yesu na ombea hela yako imfikie mlengwa na kzia Mungu amkemee yule mwovu asiile hiyo sadaka yako, ukiona mtumishi wako ni mwizi basi ondoka, mwombe Mungu akupatie mahali sahihi pa kuabudu.SIO SIRI MUNGU ANAHUZUNIKA SANA.KWELI VIONGOZ WA DINI WANATANUA KWA MABILION TOKA KWA MICHANGO JAMAN THAT IS Y MIM NATUMIA ASILIMIA 95% YA FEDHA YANGU KUWAPA MASIKIN KULIKO PELEKA KANISAN NAKUPIGIWA MAKOFI. INAMUUMA SANA SANA SANA MUNGU WATU HAWANA KITU ILA WANAKAMULIWA MPAKA WANASEMA HV KWEL MUNGU NDIO ALIVYO AU? WANATUMIA KITABU CHA MALAK KUKAMUA WATU HATA HVYO KUMTOLEA MUNGU NI MOYO WA KWEL TOKA KWA WATU WA MUNGU, WATOAJI NIWATOAJI WALA HAWANA AJA YA MANENO MENG WANAMTOLEA MUNGU VYOTE WANAVYO KWA MOYO WOTE. Mungu fanya mabadiliko ktk kanisa Tanzania.
ni kweli sio marufuku kutembelea hammer kwa mchungaji.. lakini mimi ningekuuliza swali moja.. we umesema umesali hapo ubungo kwahiyo obvious inaonesha unamwamini yesu.. na unaamini anauwezo wa yote swali je kipindi kile yesu amekuja kulikuwa na vitu vya fahari yesu alikuwa anatoka mji hadi mji kwenda kuhubiri neno.. hivi kwani yesu asingeshindwa kuwa na farasi wa ukweli (au a carriage).. ili kumrahisishia usafiri na pia badala ya kulala sehemu nyingine angekuwa anafikia motels au gesti house...
same thing kwake paul, alivyokuwa anahangaika kwenda drom place to plave kwani alishindwa kuwa na vitu vyotehivi?
kwahiyo haojamaa wanahubiri utajirii.. wanahubiri injili???? nadhani hapa ndo tatizo linapoanza.. watu wanenda kwenye makanisa kuhubiriwa utajiri sio kuhubiriwa injili.. au sio???
Sijawahi kusikia hivyo ndo unaniambia wewe, na je we unayehoji matumizi yao: wewe gari lako unapkia maskini wangapi? unaishi na wsiojiweza na yatima wangapi? UNASEMA HABARI YA YESU, je lini uliacha vipindi vya TV, overtime zako, likizo ukaenda kuomba watu wampokee? watu waache dhambi? kuwahudumia wagonjwa usiowajua? Kwa hiyo mie nikifanya overtime zangu na kupokea hela yote nikaamua kumpelekea mtumishi leo ili asiende shambani akahubiri ni mjinga?
wajinga ndio waliwao......wanaojiita wachungaji wote wezi na matapeli tu.
[URL="http://rickdaniels17.wordpress.com/200
Personally I dont think there is such a thing as too much for a person who preaches Gods word. As stated before, there is so much work that goes into the organization of a church there should be some type of compensation.
overtime ni zaidi ya mshahara wangu, na ukisema hadi umalize mahitaji yako yote, kweli kuna kitu utapeleka kwa mungu?ukiamua kuchukua overtime yako yote ukampelekea mtumishi wakati bado una mahitaji yako mengine utakuwa mpumbavu sana. Siku hizi kila kitu ni kazi, asilimia kubwa ya wachungaji na maaskofu wamekuwa tu hivyo maana ni ajira ambayo hulipi kodi tra. Wamebaki wachache sana ambao wanamtumikia mungu kikweli bila kuangalia maslahi yao binafsi kwanza. Unataka kuniambia magari yote duniani yameisha mpaka ununue gari ya 250ml? Na kwamba waumini wote wa huyo askofu wanajimudu kimaisha? mnanyonywa bado mnanyonyeka tu.
Tatizo lako pretty ni dogo
uroman/ulutheran/
hili ni tatizo kubwa sana na ndilo lililofanya wajanja wakakimbia na kuhamia kwenye madhabahu zilizo sahihi;najua si tatizo lako
tatizo la kuwafwata wazazi wetu bila kujua kila mtu atajibu kwa mema yake na mabaya yake;babako mamako hatojibu dhambi zako siku ya mwisho;achana na dini ya baba dini ya mama fwata sehemu utakapoponya roho yako na siku ya mwisho kuwepo kwenye ufalme wa mungu;najua unaitaji ufahamu zaidi kuelewa hili ila ni nafsi yako inaitaji kukubali kurekebishwa kuondoa laana za mabab/mababu zetu baada ya hapo unasafishwa;unachgotakiwa kufanya nenda sehemu ambayo utapenya utaokoa roho yako sikwambii uende wapi ila nimefua=rahi kati ya hao ni hayo uliyoandika;usione aibu mwombe mungu akusamehe ;utoke kwenye dini za wazazi;
ibrahim alitoka kwa babale tera ndipo alipofanikiwa usiogope kutoka dini ya babako;nakutakia maisha mema natumaini kuleta mada hapa mungu ana makusudi ya kuokoa roho zako
swala la hammer usiogope kwa ushauri usikae kwenye m,akanisa ya wachungaji wanaozoe kuomba pesa;nenda kanisa ambalo mchungaji/askofu anafundisha neno la mungu kwa akili yako na ufahamu wako bila kusukumwa na baba wala mama yako unaingia mfukoni na kumtolea mungu hiyo ndio neema tuliyo nayo;zamani tulikuwa makanisa hayo hayo tunatoa pesa kwa kulazimishwa mara makadi kibao ya nini ujenzi;jengo bila kujua ujenzi ni huo huo unajenga majengo;soma neno la mungu ndilo uzima
yohana 6:63
neno ni roho tena ni uzima
yer 1:12
nalisikiliza neno nipate kulitimiza
huyu bwana amekuwa na imani ya ajabu na ndio maana kanisani kwake akuna wajinga wanaaooomba nauli baada ya ibada kama wapo njo nikupe hammer na wewe;ukiwa na imani ukilijua neno ukaacha dhambi mungu akuwachi fwata mungu anayoitaji utaona mwenyewe;we uzinzi wewe tamaa wewe ulevi wewe shida za ndoa kwa nini umaskini usikujie na kizazi chako;tuache dhambi hammer zipo jamani zipo nasema;mi nimwona mungu wa isaka yakobo na ibrahimu na gwajima;nilikuwa pale nikaomba kwa imani gari
Hivi fungu la 10% na sadaka kanisani nani ane kula haswa? Zinaenda wapi kwa Mungu au wapi? Maana utasikia toa ndugu toa ulicho nacho ukikificha Mungu anaona wapi sasa zinako elekea nani anakula au kufaidi pesa za kanisa?