Askofu Amani apingwa vikali-Mbulu

Tafadhali ndugu..rudia kusoma kilichoandikwa. Kikao kilikuwa cha halimashauri ya walei,maparoko na Askofu...hakuna mahal pameandikwa waumini ndo wanapitisha


Acha upumbavu bwege wewe! wewe si Mkatoliki ndiyo maana hata hujui askofu anateuliwaje. acha uchochez paka shume mkubwa wewe
 
Katika hali mbaya tulinayo ya kiuchumi,kuna Maaskofu ambao wanatumia vibaya pesa za waumini na kuongeza mzigo wa michango. Askofu Amani wa jimbo katoliki la Moshi ambae ni msimamizi wa kitume katika jimbo katoliki la Mbulu amegonga mwamba na kupingwa vikali na halimashauri ya walei na maparoko alipokuwa akitafuta ridhaa ya kupitisha michango ya sherehe za kumsimika Askofu mpya wa Mbulu. Matumizi ya sherehe iyo ambayo ni million 360 yalipingwa vikali kwani ni makubwa mno na hayana ufafanuzi unaoeleweka.

Watu wengi walihoji kuhusu matumizi hayo katika kikao cha Halimashauri ya walei,maparoko na Askofu ambapo Askofu Amani alishindwa kutoa majibu yanayoeleweka.

Mwisho akasema tutatumia utaratibu wa bungeni wa ndio na hapana katika kupitisha hii michango,alipouliza mnapitisha hii michango wote waliitikia kwa kusema HATUTAKI..majibu hayo hajawahi kutokea katika historia ya jimbo la Mbulu.

Ifahamike kuwa kuna gari ambalo lipo bandarini limenunuliwa kisirisiri kwa ajili ya jimbo pasipo kuwashirikisha waumini wakati huo kuna magari yakutosha kwa ajili ya jimbo. Hayo ni matumizi mabovu ya pesa za waumini. Waumini wamechoka kuburuzwa na viongozi wasiojali maslahi ya jimbo .
Mambo ya barazani ni barazani lakini mambo ya ndani yanapaswa kuwa ya ndani tuu.
 
shetani akitaka kuvuruga anaibua watu wasumbue, wadhohofishe mchakato wa kumpata askofu Mpya, hofu ni kwamba anakuja "Mchaga" tena hapo. lkn Mungu akipanga huwezi kupangua.
 
Katika hali mbaya tulinayo ya kiuchumi,kuna Maaskofu ambao wanatumia vibaya pesa za waumini na kuongeza mzigo wa michango. Askofu Amani wa jimbo katoliki la Moshi ambae ni msimamizi wa kitume katika jimbo katoliki la Mbulu amegonga mwamba na kupingwa vikali na halimashauri ya walei na maparoko alipokuwa akitafuta ridhaa ya kupitisha michango ya sherehe za kumsimika Askofu mpya wa Mbulu. Matumizi ya sherehe iyo ambayo ni million 360 yalipingwa vikali kwani ni makubwa mno na hayana ufafanuzi unaoeleweka.

Watu wengi walihoji kuhusu matumizi hayo katika kikao cha Halimashauri ya walei,maparoko na Askofu ambapo Askofu Amani alishindwa kutoa majibu yanayoeleweka.

Mwisho akasema tutatumia utaratibu wa bungeni wa ndio na hapana katika kupitisha hii michango,alipouliza mnapitisha hii michango wote waliitikia kwa kusema HATUTAKI..majibu hayo hajawahi kutokea katika historia ya jimbo la Mbulu.

Ifahamike kuwa kuna gari ambalo lipo bandarini limenunuliwa kisirisiri kwa ajili ya jimbo pasipo kuwashirikisha waumini wakati huo kuna magari yakutosha kwa ajili ya jimbo. Hayo ni matumizi mabovu ya pesa za waumini. Waumini wamechoka kuburuzwa na viongozi wasiojali maslahi ya jimbo .
Kinyaiya amestaafu au amehishwa?
 
Suala Cyo Hela Ni Hatutaki Askofu Toka Moshi,tumechoka Kuongozwa Na Maskofu Toka Moshi Ni Wapiga Dili,jimbo Tangia Askofu Hhando Afariki Limerudi Sna Nyuma Kimaendeleo,tunahitaji Askofu Mzawa Na C Vingenevyo Na Ikiwa Vingnevyo Tutaitisho Mgomo Baridi Au Ikibidi Tutaandamana Kumpinga,,,,
 
Ni vema Kardinali Pengo aliangalie suala la Jimbo Katoliki la Mbulu kupatiwa Askofu Mzawa. Si kweli kwamba jimbo hilo halina mapadre wenye sifa. Ni vema wapatiwe Askofu mzawa sasa wajisimamie wenyewe.
 
Suala Cyo Hela Ni Hatutaki Askofu Toka Moshi,tumechoka Kuongozwa Na Maskofu Toka Moshi Ni Wapiga Dili,jimbo Tangia Askofu Hhando Afariki Limerudi Sna Nyuma Kimaendeleo,tunahitaji Askofu Mzawa Na C Vingenevyo Na Ikiwa Vingnevyo Tutaitisho Mgomo Baridi Au Ikibidi Tutaandamana Kumpinga,,,,
Hahahahaa..
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom