gabjhn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 461
- 800
Niruhusu tu kwa ajili yakokwenye hii thread tu. Wewe ni Mwongo!! Hakuna Askofu anayejua Askofu mpya natamgazwa lini hii ni siri ya Kanisa katoliki na ikigundulika kuwa siri imetoka kabla ya kutangazwa jina la huyo aliyekuwa atangazwe linakatwa huko huko Vatican. Labda una agenda ya siri kumchafua Askofu Amani. Budget za masuala ya jimbo wanakaa viongozi wakuu wa idara kisha ndio lielekezwe kwenye parokia baada ya maamuzi ya jimbo. Hiyo halamshauri inakaa kujadili budget ya sherehe hewa? Ikiwa jambo hujui undani wake uliza usipotoshe watu kwa jambo usilolijua. Maandalizi yanayofanywa kwa kipindi kama hiki ni sala tu ya kuomba wapate Askofu wa jimbo.Waulize Geita na Singida walifanya nini kabla ya kutangazwa askofu. Walifanya maandalizi kabla. mwaka 2015 askofu alikuwa anatarajiwa kupatikana. Mchango wa 202M ukapitishwa...lakin hakupatikana. Kwa sasa Askofu Amani kasema yuko mbion kupatikana ndo maana kaleta bajeti ya 360M